Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

ipi hio? kwan mim nimewahi kucomment humu? hio ndo comment yangu ya kwanza humu.. pia kila gari ina recommended gearbox oil yake.. ukitoa dip stick utaona jina la oil inayotakiwa
Unatupa shule sisi tunaonyemelea X-trail za of a ya mwisho wa mwaka kule SBT
 
Kuna gari isiyochemsha usipofuatilia matunzo? Acheni kutisha vijana wenye dream za kumiliki SUV but hela imepelea hivyo X-trail ndo kimbilio kwao
Mkuu sijatisha watu lakin ni ukwel usiopingika kuwa kuna vitu ukikosea tu xtrail inachemsha hapohapo ndo maana nikaomba kupata uzoefu
 
Mkuu sijatisha watu lakin ni ukwel usiopingika kuwa kuna vitu ukikosea tu xtrail inachemsha hapohapo ndo maana nikaomba kupata uzoefu
Gari hizi za kisasa ukikosea hata mafuta Lazima upate majibu (immediately) kwenye dashboard au zikuumbue safarini.
NB : nilisikia stori za kuondoa themostat kwenye Gari imported. Sijajua busara ya hilo
 
Gari hizi za kisasa ukikosea hata mafuta Lazima upate majibu (immediately) kwenye dashboard au zikuumbue safarini.
NB : nilisikia stori za kuondoa themostat kwenye Gari imported. Sijajua busara ya hilo
part kubwa ya injini ya extrail ni aluminium, na sio cast iron, sasa aluminium ikipata joto sana fasta inabend ndo maana ukiwa na xtrail inabidi uwe nayo makini mno na mfumo wake wa upoozaji yaani inabid uupatie ile kitu inataka
 
part kubwa ya injini ya extrail ni aluminium, na sio cast iron, sasa aluminium ikipata joto sana fasta inabend ndo maana ukiwa na xtrail inabidi uwe nayo makini mno na mfumo wake wa upoozaji yaani inabid uupatie ile kitu inataka
Usitutisheeee
 
part kubwa ya injini ya extrail ni aluminium, na sio cast iron, sasa aluminium ikipata joto sana fasta inabend ndo maana ukiwa na xtrail inabidi uwe nayo makini mno na mfumo wake wa upoozaji yaani inabid uupatie ile kitu inataka
95% ya engine za siku hizi ni aluminum
 
part kubwa ya injini ya extrail ni aluminium, na sio cast iron, sasa aluminium ikipata joto sana fasta inabend ndo maana ukiwa na xtrail inabidi uwe nayo makini mno na mfumo wake wa upoozaji yaani inabid uupatie ile kitu inataka
So zinaharibika zikiwa bongo huko Japan engine haipati "joto Sana"?
 
Back
Top Bottom