Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Naunga mkono hoja
www.jamiiforums.com
Kuna haja gani ya kuchangisha michango ya harusi ilihali una uwezo? Mnaumiza sana wasiokuwa na uwezo.
Katika maisha ya kila siku, kuna mambo mbalimbali ya kijamii yanafanyika na yanahitaji msaada kwa jamii inayokuzunguka. Mojawapo ya mambo hayo ni suala la harusi/sherehe baada ya kufunga ndoa ama kwa anayeolewa(mwanamke) au kwa anayeoa(mwanaume). Imezoeleka kuwepo utaratibu wa...