Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

Yaan sasa hiv mtu anataka kuoa yeye kero inakua kwa watu wngne..yaan unastukia umeingizwa kwenye group sjui la watu uliosoma nao shule ya msing.marra sekondari mara wap sjui..mara group la ndugu wa ajabu ajabu..ndugu wa family yako kweli iala sjui mtoto wa mjomba ake mama gan sjui huko etc etc

Halaf watu wazima wanachat ujinga..msg simu inajaa had inapata moto...

Mim sitak..nasema sitak..(msemo wa shemej yenu huu)

Enewei ishu ndo hyo

Michango imekua miing sana.ukigeuka huku mwenyekit wa jumuia nae anakukimbikiza na daftar la michango

Michango michango michango

Ya harus imezid sasa

Ifike mahal kila mtu abebe mzigo wake..mbona kwenye mambo ya maana hamsaidiani...ushawia skia watu wanajichanga kumchangia mtu mtaj wa biashara...

Nasemaje...juzi nilianza left magroup kama sina akil nzur...well ...niliya mute lakin bado naona kero kubwa...

Kisingizio ooh ukipata shida hutasaidiwa...well in life watu wanaoweza kukusaidia ile kwelkwel hawazid wa3...wengne ni kupotezeana muda tu

Uzi tayar...wale wapenda magroup na michango ya harus najua mtaponda...kuna watu kwa kupenda kuongoza kamati za harus hawajambo ..wanahis wanaongoza kamat za bungen .
Sawa kabisa. Nami naanza ku"left".
 
Bro. Hata mimi nilikuwa na mtazamo huo..Ila niliubadili yaliponikuta..nilikuwa spendi magroup ya michango michango..
Sasa mim sio wew...ifike mahala harus mtu ajigaramie..mbona wenzetu wanafanya hvyo
 
Itakua uko loaded wewe
Yan hata kikiwaka unavuta atm card yako unatoa miamala ya kutosha so hujali wala nini!
Kwa ambao kila kukicha afadhali ya jana siwashauri kabisa mfate ushauri wa mtoa mada,tulieni humo yakikufika zile elf 5 na 10k huwa za msingi sana!
 
Tunataka mzunguko wa pesa mtaani.
Hizo pesa mnazochanga zinatawanyika kwa watu waliojiajiri...wapiga picha, wapishi, wapiga tarumbeta, nk nk.

Mleta mada acha hizo bhana...usipochanga sisi wajasiriamali tule wapi?
 
"Mimi sitak nasema Sitak"

Shemeji yetu hapo anakuwa amekugomea nini mfano?
Hapo namsengenya labda hyo nguo yako kwakwel hapana..au mmmh..pilau ndo linapikwa hivyo???

Au.."katika basi"..ndo utaskia "sitaki..nasema sitaki"
 
Itakua uko loaded wewe
Yan hata kikiwaka unavuta atm card yako unatoa miamala ya kutosha so hujali wala nini!
Kwa ambao kila kukicha afadhali ya jana siwashauri kabisa mfate ushauri wa mtoa mada,tulieni humo yakikufika zile elf 5 na 10k huwa za msingi sana!
Mimi sichangii chochote zaidi ya gharama za matibabu na msiba tu.
 
Mods..mambo ya kutuunga uzi wakongwe wa jf kama sis mnatukera...nyie achen

Mtu tokea 2012 mnaniungia uzi utafkir mtoto aliejiunga jf 2020
 
Inategemea na uwezo wa mtu lakini mimi sichangii wedding, sendoff wala kipaimara.
Bro..kwa.mtu mzima life ni kusapotiana..sio lazima utoe Kama fulani alichotoa..toa/changia kutokana na mfuko wako...hata buku itakuwa Kama mark alart kwa watu / mtu uliyemchangia..japo now days ukichanga 100 tarajia kupata 100 nawe..hata kama uliyemchangia anauwezo wa kutoa zaidi ya hio..hata jali Hali yAko..

Michango ni uwekezaji.
 
Sasa mim sio wew...ifike mahala harus mtu ajigaramie..mbona wenzetu wanafanya hvyo
Hatujafika kwa wenzetu aisee..then hao ni mabepari sisi ni wajamaa..haukatazwi..Ila jua watu wanakuchora tu..maana Kama Sio harusi Basi Kuna msiba..kuumwa nk..watakuacha ufight mwenyewe
 
Wazo langu ni serikali kuingilia kati na kupiga maraufuku michango isiyo ya maendeleo. Mfano harusi, na mifano yake. Watanzania huu utamaduni ni wa nchi za kipato cha chini. Mungu ametujalia kuingia kipato cha kati, kwa hiyo michango ya harusi inaondoka yenyewe. Naomba wabunge waokoe hili janga ni tishio kwa wananchi maskini na matajiri pia.
 
Hatujafika kwa wenzetu aisee..then hao ni mabepari sisi ni wajamaa..haukatazwi..Ila jua watu wanakuchora tu..maana Kama Sio harusi Basi Kuna msiba..kuumwa nk..watakuacha ufight mwenyewe
Wew unaelekea huwa unafanywa mwenyekit kabisa..acha hyo tabia mbaya..kama huna uwezo usifanye harus.sio kusumbua watu..misiba changia..mgonjwa changia..ada changia.ila sherehe..ni aibu
 
Mimi nimeishafanya uamuzi wa kutochangia harusi hovyo. Ni watu wachache tu walio karibu sana na mimi ndio ninaowachangia. Hata hivyo viwango vya kuchangia wanvyoviweka havinipi shida kwa sababu harusi za watu nisiowajua siendi hata nikipewa kadi. Kwa hiyo mimi najiamulia ni nani nimchangie na kiasi gani. Lakini uamuzi huo umenifanya nichukiwe na watu. Mimi sijali. Niko tayari kuchangia mtoto wa jirani aliyekosa au kupungukiwa karo, au mgonjwa aliye hospitalini, au mtu aliyefiwa. The paradox is mgonjwa anakaa hospitali miezi watu hawaendi kumjulia hali au wanaokwenda hawaendi na msaada wowote. Lakini akifariki hao hao wanalala kwenye msiba siku tatu au hata nne na michango wanatoa kwa mbwembwe kwa kuwa watu wanakuwa wanashuhudia. Lengo hapa ni kujitangaza na sikusaidia. It is completely irational.
lakini pia mjiulize nyie hamkuchangiwa? wadogo zako wakitaka kuoa hutaomba michango? tuanzie hapo kwanza ingawa hata mimi sikubaliani kabisa na suala la michango
 
Unatoa mchango,
Unatoa zawadi,
Unatafuta nguo+viatu.

Baada ya mwezi wanaachana.
Kuna mmoja hapa juzi Kati aliniletea kadi nimchangie

Huyu ni demu niliyempenda Sana nilitamani awe mke wangu .

Wakati namtokea alijibu nyodo Sana akaenda kwa kibosile Fulani ambaye ni kitombi ile mbaya yaani kitaa tunamjua[emoji1787][emoji1787]

Basi nikavunga mchango wao wakaona.

Umepita mwaka mmoja tu nasikia wameachana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nikasema afadhali hela yangu nilinywea bia[emoji1][emoji1][emoji1787]
 
Back
Top Bottom