Sawa kabisa. Nami naanza ku"left".Yaan sasa hiv mtu anataka kuoa yeye kero inakua kwa watu wngne..yaan unastukia umeingizwa kwenye group sjui la watu uliosoma nao shule ya msing.marra sekondari mara wap sjui..mara group la ndugu wa ajabu ajabu..ndugu wa family yako kweli iala sjui mtoto wa mjomba ake mama gan sjui huko etc etc
Halaf watu wazima wanachat ujinga..msg simu inajaa had inapata moto...
Mim sitak..nasema sitak..(msemo wa shemej yenu huu)
Enewei ishu ndo hyo
Michango imekua miing sana.ukigeuka huku mwenyekit wa jumuia nae anakukimbikiza na daftar la michango
Michango michango michango
Ya harus imezid sasa
Ifike mahal kila mtu abebe mzigo wake..mbona kwenye mambo ya maana hamsaidiani...ushawia skia watu wanajichanga kumchangia mtu mtaj wa biashara...
Nasemaje...juzi nilianza left magroup kama sina akil nzur...well ...niliya mute lakin bado naona kero kubwa...
Kisingizio ooh ukipata shida hutasaidiwa...well in life watu wanaoweza kukusaidia ile kwelkwel hawazid wa3...wengne ni kupotezeana muda tu
Uzi tayar...wale wapenda magroup na michango ya harus najua mtaponda...kuna watu kwa kupenda kuongoza kamati za harus hawajambo ..wanahis wanaongoza kamat za bungen .
Sasa mim sio wew...ifike mahala harus mtu ajigaramie..mbona wenzetu wanafanya hvyoBro. Hata mimi nilikuwa na mtazamo huo..Ila niliubadili yaliponikuta..nilikuwa spendi magroup ya michango michango..
Fanya hvyoSawa kabisa. Nami naanza ku"left".
Hapo namsengenya labda hyo nguo yako kwakwel hapana..au mmmh..pilau ndo linapikwa hivyo???"Mimi sitak nasema Sitak"
Shemeji yetu hapo anakuwa amekugomea nini mfano?
Mimi sichangii chochote zaidi ya gharama za matibabu na msiba tu.Itakua uko loaded wewe
Yan hata kikiwaka unavuta atm card yako unatoa miamala ya kutosha so hujali wala nini!
Kwa ambao kila kukicha afadhali ya jana siwashauri kabisa mfate ushauri wa mtoa mada,tulieni humo yakikufika zile elf 5 na 10k huwa za msingi sana!
Inategemea na uwezo wa mtu lakini mimi sichangii wedding, sendoff wala kipaimara.Bro. Hata mimi nilikuwa na mtazamo huo..Ila niliubadili yaliponikuta..nilikuwa spendi magroup ya michango michango..
Bro..kwa.mtu mzima life ni kusapotiana..sio lazima utoe Kama fulani alichotoa..toa/changia kutokana na mfuko wako...hata buku itakuwa Kama mark alart kwa watu / mtu uliyemchangia..japo now days ukichanga 100 tarajia kupata 100 nawe..hata kama uliyemchangia anauwezo wa kutoa zaidi ya hio..hata jali Hali yAko..Inategemea na uwezo wa mtu lakini mimi sichangii wedding, sendoff wala kipaimara.
Hatujafika kwa wenzetu aisee..then hao ni mabepari sisi ni wajamaa..haukatazwi..Ila jua watu wanakuchora tu..maana Kama Sio harusi Basi Kuna msiba..kuumwa nk..watakuacha ufight mwenyeweSasa mim sio wew...ifike mahala harus mtu ajigaramie..mbona wenzetu wanafanya hvyo
Wew unaelekea huwa unafanywa mwenyekit kabisa..acha hyo tabia mbaya..kama huna uwezo usifanye harus.sio kusumbua watu..misiba changia..mgonjwa changia..ada changia.ila sherehe..ni aibuHatujafika kwa wenzetu aisee..then hao ni mabepari sisi ni wajamaa..haukatazwi..Ila jua watu wanakuchora tu..maana Kama Sio harusi Basi Kuna msiba..kuumwa nk..watakuacha ufight mwenyewe
lakini pia mjiulize nyie hamkuchangiwa? wadogo zako wakitaka kuoa hutaomba michango? tuanzie hapo kwanza ingawa hata mimi sikubaliani kabisa na suala la michangoMimi nimeishafanya uamuzi wa kutochangia harusi hovyo. Ni watu wachache tu walio karibu sana na mimi ndio ninaowachangia. Hata hivyo viwango vya kuchangia wanvyoviweka havinipi shida kwa sababu harusi za watu nisiowajua siendi hata nikipewa kadi. Kwa hiyo mimi najiamulia ni nani nimchangie na kiasi gani. Lakini uamuzi huo umenifanya nichukiwe na watu. Mimi sijali. Niko tayari kuchangia mtoto wa jirani aliyekosa au kupungukiwa karo, au mgonjwa aliye hospitalini, au mtu aliyefiwa. The paradox is mgonjwa anakaa hospitali miezi watu hawaendi kumjulia hali au wanaokwenda hawaendi na msaada wowote. Lakini akifariki hao hao wanalala kwenye msiba siku tatu au hata nne na michango wanatoa kwa mbwembwe kwa kuwa watu wanakuwa wanashuhudia. Lengo hapa ni kujitangaza na sikusaidia. It is completely irational.
Kuna mmoja hapa juzi Kati aliniletea kadi nimchangieUnatoa mchango,
Unatoa zawadi,
Unatafuta nguo+viatu.
Baada ya mwezi wanaachana.