Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,523
Mpwa mm nasubili mwaliko tu na nitakuja na kijiko bila kusahau ndizi.
Teh teh teh disposable vijiko vitakuwepo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpwa mm nasubili mwaliko tu na nitakuja na kijiko bila kusahau ndizi.
Nimeacha kuchangia harusi na sherehe zote. Kwenye shughuli yangu ya harusi sihitaji pia mchango wala zawadi kwanza nyumba yangu ni ndogo, kupokea zawadi za mchina.
Yaani huelewiki nini unachoongea hapa!Tusipindishe maneno kwa manufaa ya ushabiki this is what i said
So to you its all about eating and drinking no matter hao maharusi wanakwenda kuanza maisha yao vipi..... for you the occassion its all about feeding tumbo lako na kuhakikisha mchango wako umetumika??????
So this means A amechanga..... A anahakikisha alichokichanga anakwenda anakila na its worth mchango wake..... Hajali B ambaye ndio anafunga ndoa anakwenda kuishi vipi (nyumba ya kupanga..... na shughuli nyingine..... mara nyingi siku hizi hata bibi Harusi anakuwa na mimba tayari) huyu A hajali hayo
kesho A atakapokuwa na function anategemea huyu B ambaye ndio kwanza kapata haya majukumu mengine ya maisha amchangie
Siku hizi michango imezidi hadi birthday tunatakiwa kuchangia.
Ngumu sana kuindoa hii tabia bila ya any enforcing mechanism.
Ningekuwa mimi ndiyo govt, ningetunga ka-regulation kadogo chini ya income tax act na kufanya ungangari ufuatao:
1) vikao vyote vya maadalizi lazima viwe registered - otherwise it's illegal with a Tshs 2M fine when found. Inawezekana bana!!
2) kodi (say 25% ya michango yote) zikatwe na zielekezwe kwenye barabara, pembejeo, shule na hospitali.
Inawezekana bana!
Sasa we unataka kwenda kula wenzako walivyochangia..Agrrrr!! Chako chako chetu chako?
Its shows your way of thinking
Harusi kwako equals kula
I REST MY CASE
na hivyo vyakula si vimepatikana kwa hela uliyochanga wewe
So to you its all about eating and drinking no matter hao maharusi wanakwenda kuanza maisha yao vipi..... for you the occassion its all about feeding tumbo lako na kuhakikisha mchango wako umetumika??????
Hahaha yaani mpaka mtu anaamua kuoa hajui anaenda kuanza maisha vp? Lol
so you are simply telling me kwamba until unaenda kuoa haujui unaenda vipi kuanza maisha??? That is absurd and ridiculous
to me a definition of poor person is the person who is living under one dollar, a person who lacks food and shelter, halafu hii issue ya kwamba if you dont have a house you are poor nani kasema?????
My friend you are either blind or you dont know what you are saying...... defn of poor Having little or no wealth and few or no possessions. Lacking in a specified resource or quality; (You see you might be wealthy in material things but poor in thinking... which am afraid am getting into that conclusion)....... Also look what I wrote They are Still Poor and they dont have a house ...... Did you see the AND......(means ni masikini na hawana hata nyumba) Hope am understood.
Tusipindishe maneno kwa manufaa ya ushabiki this is what i said
So to you its all about eating and drinking no matter hao maharusi wanakwenda kuanza maisha yao vipi..... for you the occassion its all about feeding tumbo lako na kuhakikisha mchango wako umetumika??????
So this means A amechanga..... A anahakikisha alichokichanga anakwenda anakila na its worth mchango wake..... Hajali B ambaye ndio anafunga ndoa anakwenda kuishi vipi (nyumba ya kupanga..... na shughuli nyingine..... mara nyingi siku hizi hata bibi Harusi anakuwa na mimba tayari) huyu A hajali hayo
kesho A atakapokuwa na function anategemea huyu B ambaye ndio kwanza kapata haya majukumu mengine ya maisha amchangie
Yaani huelewiki nini unachoongea hapa!
Wewe! Labda unafikiri vingine na unaandika vingine!Je hapa ni nani ambaye haeleweki???????
Wewe! Labda unafikiri vingine na unaandika vingine!
yaani nikikuuliza utarudia yaleyale ambayo nimeshindwa kukuelewa!Uliza ambapo haukuelewa ueleweshwe sio kutoa comment just because you can.....
Ngumu sana kuindoa hii tabia bila ya any enforcing mechanism.
Ningekuwa mimi ndiyo govt, ningetunga ka-regulation kadogo chini ya income tax act na kufanya ungangari ufuatao:
1) vikao vyote vya maadalizi lazima viwe registered - otherwise it's illegal with a Tshs 2M fine when found. Inawezekana bana!!
2) kodi (say 25% ya michango yote) zikatwe na zielekezwe kwenye barabara, pembejeo, shule na hospitali.
Inawezekana bana!