Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

Acheni kulalamika tu chukueni hatua, acheni kuchangia. Mimi nilishaacha kuchangia harusi huu mwaka wa tatu sasa na watu wemeshanijua na wala hakuna anayeniletea kadi.

Sijui unaishi katika jamii ya namna gani ndugu yangu, nadhani watu wamalazimika kukuzoea kwa tabia yako hiyo.
Any way, kuna wakati michango ya harusi inazuia kufanya shughuli nyingine za maendeleo, lakini hii tabia imeshakuwa ni mazoea sasa, na inapokuja kwa mtu ambaye ni wa karibu (Mtoto, kaka, Dada, house maid n.k) kwa kweli tunalazimika kuwaambia wale marafiki zetu washiriki pamoja nasi kusheherekea siku yao ya kuanza maisha.

Tukienda katika ideal condition, bwana harusi anaafford chakula chake pamoja na mke wake na wasimamizi wao, baada ya hapo nadhani ndipo concept ya michango inakuja, kwamba watu tunapenda tushiriki nao chakula baada ya ibada, jambo ambalo haliko kwenye uwezo wa walio wengi, hivyo tunahimizana kuchangia kile chakula na gharama za maandalizi.
Ukiangalia gharama zinaongezeka kadiri idadi inavyozidi kuwa kubwa (ingekuwa wageni ni 2-10 wanaweza kukaa kwenye sitting room nyumbani kwao, sasa mmekuwa 300, inakuja gharama za ukumbi, MC nk, ingekuwa unataka kuchanga TZS20,000/= sasa inalazimika kumegwa kiasi iende kucover hizo gharama nyingine)

Nachokiona mimi ni kuwa kuna haja ya sisi waTanzania kujenga tabia ya kuprioritize mambo kwa umuhimu wake, tumeona watu wakichanga millions of shillings kwa ajili ya harusi lakini hawawezi kukutana na mahitaji yao ya muhimu, mfano elimu bora kwa watoto wao, kuwahudumia wana ndugu wagonjwa na masikini n.k. Mimi niliwahi kuhudhuria kikao kimoja na nilishangaa kuona ndugu ambaye mara nyingi hulia shida akichanga TZS 200,000/=, nikajiuliza hivi angechanga hata robo ya hicho kiasi angekuwa amefanya kosa? Anyway, ifike mahali tuwekeze nguvu kwenye mambo ya maana zaidi, tusikie kuna harambee za kupeleka watoto masomoni, kujengeana nyumba bora, kupeana mitaji ya kuanzisha biashara n.k
Good day.
 
Je umegundua baada ya muda au miaka mingapi kuwa huu ni utamaduni wa kipuuzi?
Je umechanga au kuchangiwa na wangapi ndipo ulipokuja kugundua ni utamaduni wa kipuuzi?
Sijawahi kuchangiwa kwenye harusi ni nikioa tafanya harusi kwa uwezo wangu kama ni maji wote tutakula maji na mikate sababu a wedding is much more than festivity......
 
Sidhani kamani upuuzi . Kiasi fulani upuuzi unaweza kuwa kuweka viwango fulani vya michango. Lakini michango ya harusi in general sio Upuuzi


  • waafrika utamaduni wetu ni wa ki "society" zaidi. kuliko tamaduni nyingine. Ni utaduni huo ndio maana tuna extended family, tunashirikiana kwenye misiba/harusi. kule bukoba nasikia hata mtoto akishida darasa la saba kijiji kinachanga karo kama mzazi hana uwezo
Mambo hya ya michango yamechangiwa zaidi Uchumi. Uchumi wa sasa hauruhusu mtu binafsiuwez kuhimili gharama za harusi/msiba . wakati huchumi hauruhusu utamaduni unatutaka tuwashiri kishe ndugu jamana marafiki . Ndio maana kuna michango.

Naelewa kuchangia Misiba, sababu hili ni jambo la shida na tunahitaji kuzika mfu. lakini kuhusu sherehe, kama huna hela ya kutosha ni lazima ufanye sherehe? hivi ndoa bila sherehe kubwa huwa haiwi ndoa? kama una marafiki, ndugu, jamaa ambao watataka kukuchangia ni sawa, lakini inapofikia kulazimisha watu wakuchangie hiyo ni mbaya sana, na INAKERA.
kwa kweli nadhani waTZ inabidi sasa tuangalie ni vitu gani tuvipe umuhimu.
 
Thats why ninasema the all notion ya Harusi (kulingana na mila na tamaduni zetu) imebadilika Harusi imekuwa sio tena jamaa kwenda kujumuika na mwenzao na kusherekea sherehe yake (you need to pay for the ticket like in some sort of a show)........ that's why I asked NI NANI ALILETA HUU UTAMADUNI WA KIPUUZI

Mkuu maendeleo yanagharama zake.
Zamani watu walikua wafugaji na wakulima so shughuli kama hii ni swala la kwenda ghalani na kuchota msosi au kuingia zizini kuchukua kitoweo, ndugu na jamaa ni kuja kusaidi shughuli tu,
Tena zilikuwa zinafanyika msimu wamavuno tu.
Now dayz things are different, mfano kwenu iringa unanda kazi bk unaamua kuoa huko huko, hebu pata picha
 
Listen ndugu yangu takujibu swali moja baada ya jingine
Ndio watu wakioana ndio wanaanza maisha...... (tunaongelea majority, %age, nipe statistics za watu wanaoa for the first time na wale wa 2nd au 3rd time... kwahiyo its still stands watu wengi wanoa ndio wanaanza maisha na wengi huwa hata nyumba hawana... wanaenda kupanga)

Wedding Industry Grows ( Grows kwa faida ya nani unajua kuna kitu kinaitwa economy cycle; mzunguko wa pesa na pesa je inakuwa injected kutoka wapi na vipi???......) hii inanikumbusha kukuza ajira kwa kuwa na mabaa mengi sababu tunapata kazi za mabar maid na wabeba soda.....

Kwahiyo watu wanaanza maisha baada ya kuoana sio? maana yake ni kuwa ikiwa mtu hakuwahi kuoa wala kuolewa anakuwa hajawahi kuanza maisha, na hivyo anakuwa hajawahi kuishi sio?

Yeah tunapata kazi za mabar maids, wabeba soda na wabeba box vilevile
 
Kwahiyo watu wanaanza maisha baada ya kuoana sio? maana yake ni kuwa ikiwa mtu hakuwahi kuoa wala kuolewa anakuwa hajawahi kuanza maisha, na hivyo anakuwa hajawahi kuishi sio?
???????? !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Tunaposema Watanzania ni maskini sio kwamba kina Rostam, Chenge na wengine hawapo....... Its all about percentage........ Majority ya wafunga ndoa ndio huwa wanakwenza kuanza maisha
 
???????? !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Tunaposema Watanzania ni maskini sio kwamba kina Rostam, Chenge na wengine hawapo....... Its all about percentage........ Majority ya wafunga ndoa ndio huwa wanakwenza kuanza maisha

Kwahiyo wewe bado hujaanza maisha hapo ulipo unasubiri harusi uchangiwe mtaji sio
 
Kwahiyo wewe bado hujaanza maisha hapo ulipo unasubiri harusi uchangiwe mtaji sio
Ndoa ni safari....... watu wanapofunga ndoa ndipo wanapoanza safari yao ya maisha yao watu hawa wawili..... soon watakuwa na familia hata kama walikuwa wanapanga kila mtu kwenye nyumba ndogo inabidi wakapange nyumba ya kuwatosha wao wawili na kuanza maisha kama familia.... Do you get my drift....
 
Ndoa ni safari....... watu wanapofunga ndoa ndipo wanapoanza safari yao ya maisha yao watu hawa wawili..... soon watakuwa na familia hata kama walikuwa wanapanga kila mtu kwenye nyumba ndogo inabidi wakapange nyumba ya kuwatosha wao wawili na kuanza maisha kama familia.... Do you get my drift....

Noted with thanks

Kwa ambao hamjaoa au kuolewa endeleeni kusubiri kuanza maisha tu...na pia endeleeni kusubiri 20% za michango ya harusi ili muanze maisha. Jitahidini sasa mchangie wenzenu kwa hali na mali ili ile 20% mtakayopata iwe inatosha kununua viwanja na kulipa ada za watoto
 
na hivyo vyakula si vimepatikana kwa hela uliyochanga wewe

So to you its all about eating and drinking no matter hao maharusi wanakwenda kuanza maisha yao vipi..... for you the occassion its all about feeding tumbo lako na kuhakikisha mchango wako umetumika??????
 
Noted with thanks

Kwa ambao hamjaoa au kuolewa endeleeni kusubiri kuanza maisha tu...na pia endeleeni kusubiri 20% za michango ya harusi ili muanze maisha. Jitahidini sasa mchangie wenzenu kwa hali na mali ili ile 20% mtakayopata iwe inatosha kununua viwanja na kulipa ada za watoto

Again I dont know where you are getting this facts..... My own lifestyle, uwezo au kutokuwa na uwezo.... its not the mirror of the whole society.... People are not poor by choice or lack of trying...... it just happens most people by the time they marry nowadays.. they are still poor and they dont have a house.... sio kwamba walikuwa wanangoja... No.. it just happens they cat afford it.... Now wanaongezewa mzigo wa madeni ya watu (20 wanaowajua na wengine kama 80 wasiowajua) ambao soon or later they will come back to ask for the loan they had given them.... alas the loan was not used for something constructive.... No!!!!! it was used in a one day festival.
 
So to you its all about eating and drinking no matter hao maharusi wanakwenda kuanza maisha yao vipi..... for you the occassion its all about feeding tumbo lako na kuhakikisha mchango wako umetumika??????
Hahaha yaani mpaka mtu anaamua kuoa hajui anaenda kuanza maisha vp? Lol
 
so to you its all about eating and drinking no matter hao maharusi wanakwenda kuanza maisha yao vipi..... for you the occassion its all about feeding tumbo lako na kuhakikisha mchango wako umetumika??????

so you are simply telling me kwamba until unaenda kuoa haujui unaenda vipi kuanza maisha??? That is absurd and ridiculous
 
Again I dont know where you are getting this facts..... My own lifestyle, uwezo au kutokuwa na uwezo.... its not the mirror of the whole society.... People are not poor by choice or lack of trying...... it just happens most people by the time they marry nowadays.. they are still poor and they dont have a house.... sio kwamba walikuwa wanangoja... No.. it just happens they cat afford it.... Now wanaongezewa mzigo wa madeni ya watu (20 wanaowajua na wengine kama 80 wasiowajua) ambao soon or later they will come back to ask for the loan they had given them.... alas the loan was not used for something constructive.... No!!!!! it was used in a one day festival.

How old are you my friend?
 
again i dont know where you are getting this facts..... My own lifestyle, uwezo au kutokuwa na uwezo.... Its not the mirror of the whole society.... people are not poor by choice or lack of trying...... it just happens most people by the time they marry nowadays.. They are still poor and they dont have a house.... Sio kwamba walikuwa wanangoja... No.. It just happens they cat afford it.... Now wanaongezewa mzigo wa madeni ya watu (20 wanaowajua na wengine kama 80 wasiowajua) ambao soon or later they will come back to ask for the loan they had given them.... Alas the loan was not used for something constructive.... No!!!!! It was used in a one day festival.

to me a definition of poor person is the person who is living under one dollar, a person who lacks food and shelter, halafu hii issue ya kwamba if you dont have a house you are poor nani kasema?????
 
ndio utamaduni tuliojijengea waafrica wa kuomba omba,mpaka raisi anatembeza bakuli.mie nadhani tuache wema wa mshumaa-unateketea huku unawaka.ni kuwa na msimamo tu unaletewa kadi unaipotezea-ukiwa na function 'usishurutishe' watu wakuchangie kwa kuwatembezea kadi za michango-jiandae mwenyewe kwa uwezo wako,huna uwezo acha mpaka uwe nao.:teeth:
 
to me a definition of poor person is the person who is living under one dollar, a person who lacks food and shelter, halafu hii issue ya kwamba if you dont have a house you are poor nani kasema?????
My friend you are either blind or you dont know what you are saying...... defn of poor Having little or no wealth and few or no possessions. Lacking in a specified resource or quality; (You see you might be wealthy in material things but poor in thinking... which am afraid am getting into that conclusion)....... Also look what I wrote They are Still Poor and they dont have a house ...... Did you see the AND......(means ni masikini na hawana hata nyumba) Hope am understood.
 
Hahaha yaani mpaka mtu anaamua kuoa hajui anaenda kuanza maisha vp? Lol

Tusipindishe maneno kwa manufaa ya ushabiki this is what i said
So to you its all about eating and drinking no matter hao maharusi wanakwenda kuanza maisha yao vipi..... for you the occassion its all about feeding tumbo lako na kuhakikisha mchango wako umetumika??????

So this means A amechanga..... A anahakikisha alichokichanga anakwenda anakila na its worth mchango wake..... Hajali B ambaye ndio anafunga ndoa anakwenda kuishi vipi (nyumba ya kupanga..... na shughuli nyingine..... mara nyingi siku hizi hata bibi Harusi anakuwa na mimba tayari) huyu A hajali hayo

kesho A atakapokuwa na function anategemea huyu B ambaye ndio kwanza kapata haya majukumu mengine ya maisha amchangie
 
Back
Top Bottom