Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nadhani sasa m2 akitaka kuoa au kuolewa,wajipange sio kuchangisha watu cz ts becaming too much.ela yote yaishia kwenye michango mpk unashindwa kufanya maendeleo yako... au wadau mnasemaje?
kha! wadau bora michango ya harusi. mi nliletewa kadi ya mchango wa birthday yan nlichoka akili mwili na damu. . . saiv naanza kuzipotezea make nahisi nafanyia kazi michango tu!
tatizo hata kama unataka harusi ndogo, wazazi wanakwambie wao wamechangia sana lazima wachangishe hata kama upendi. infact kwenye maswala ya harusi, kama una wazazi huna maamuzi. inakera sana
Harusi yako au ya wazazi?
nadhani sasa m2 akitaka kuoa au kuolewa,wajipange sio kuchangisha watu cz ts becaming too much.ela yote yaishia kwenye michango mpk unashindwa kufanya maendeleo yako... au wadau mnasemaje?
Halafu kuna mijitu ni mijinga sijapata kuona.
Yaani hata ku-reason nayo haiwezekani.
Ukiiambia kwamba maisha ni magumu, people are barely making ends meet, haielewi.
Yenyewe inataka tu kuunguza mamilioni ya shilingi siku ya harusi.
Mtu kama unataka harusi ya gharama kubwa kwa nini usiigharamie mwenyewe kuliko kusumbua watu wakuchangie....
aisee mdau unasema kweli? tshs 50 elfu? seriously nauliza. nimependa idea yake ila alifanyafanyaje kwa 50 elfu?Mimi nimeshastaafu kuchangiachangia, naona ni unafiki tu, yaanai badala kusaidia wazazi wako nyumbani watu tumeandamwa na michango. Nimepoteza marafiki wa 4 wananichukia kisa sijawachangia harusi yao. Poltelea pote, ndoa nitafunga bila kuomba thumni ya mtu. kUNA RAFIKI YANGU MMOJA NAYE YUKO mentally liberated amefunga harusi ya sh elfu 50, hapahapa dar, na ilifana ni ya kuigwa. Njoo uombe mchango wa kununua kiwanja nitakupa si harusi
mimi nilishaliweka wazi hili, ugonjwa na kifo nitachanga. Habari ya harusi sijui graduation sitaki kusikia.