Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mna pesa za kuchezea. . . .
sijatoa hata moja, uwezo wangu ni 50,000 tu, nimpe nani nimwache nani......yangu macho.....
sijatoa hata moja, uwezo wangu ni 50,000 tu, nimpe nani nimwache nani......yangu macho.....
habari tanzania....huwa najiuliza bila majibu ya uhakika,kuna umuhimu gani wa mtu anaogopa kufunga harusi kisa sherehe ambayo hata ukichangiwa bado inatumika yote kwenye sherehe?nafikiri we have to change tuwe tunachangishana kwenye mambo ya dharura na siyo harusi ambayo unaweza enda kwa kanisa au shekhe na kumaliza hiyo shughuli bila ya kuleta usumbufu kwa watu.nawasilisha
Kwanini hiyo 50,000 usimtafute mtu asiejiweza umpe akale chakula?
dah......
Umenitonesha kidonda.....
Mfanyakazi mwenzangu kaka yake anaoa..50,000
mfanyakazi mwenzangu anaolewa 50,000
kuna harusi 2 kwenye kikundi chetu 100,000
binamu zangu 2 wanaoa na kuolewa 100,000
khaaaaa......!!!!!
sijatoa hata moja, uwezo wangu ni 50,000 tu, nimpe nani nimwache nani......yangu macho.....
habari tanzania....huwa najiuliza bila majibu ya uhakika,kuna umuhimu gani wa mtu anaogopa kufunga harusi kisa sherehe ambayo hata ukichangiwa bado inatumika yote kwenye sherehe?nafikiri we have to change tuwe tunachangishana kwenye mambo ya dharura na siyo harusi ambayo unaweza enda kwa kanisa au shekhe na kumaliza hiyo shughuli bila ya kuleta usumbufu kwa watu.nawasilisha
Heri lawama kuliko fedheha! Ukatoe 300,000 ubaki unapiga miayo? Huo mshahara unalipwa sh.ngapi?
Siku hizi hata kamati watu wamezishtukia, hapa mbeya kima cha chini mwanakamati 50,000 hadi kufikia 100,000! Wengine,wanakuwa katika zaidi ya moja. Huko si ni kutafuta sifa kama mshumaa? Unamulikia wengine, lakini hatima ya huo mshumaa ni nini?
unaungua loh.........
Kwanza hizi kamati hizi kamati hizi........
Muhusika asipokuwa makini tu wanamchakachua hahaah......loh.....