PAPAA JIWE
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 863
- 149
Napata kadi za kuchangia
harusi karibu kila mwezi naletewa karibu kadi 3, @50,000
approximately =150 , 000 .
Haya majanga sana ,mshahara wangu 550,000 , which means 30% michango
harusi ,Ninaacha haya mambo ,mimi mwenyewe sitafanya hiyo mambo, yaani
kila weekend tupo busy kuchangisha harusi ,kama tunataka kutokomeza
umasikini na wakati tunatiana umasikini ,siwezi tena.Jamani kama huna
uwezo usisumbue watu bwana ,funga ndoa ya kawaida tuache mambo ya
kuiga
cha kushangaza kijana anaomba msaada sh 500,000 kama mtaji afanye biashara hakuna aliye tayari kumsaidia ila akitangaza harusi hata mil 20 atachangiwa!
Inakera sana me kuna jamaa nilimwambia kua nimeacha utaratibu wa kuchangia harusi izo message alizonifurumishia hatari..
Napata kadi za kuchangia harusi karibu kila mwezi naletewa karibu kadi 3, @50,000 approximately =150 , 000 .
Haya majanga sana ,mshahara wangu 550,000 , which means 30% michango harusi ,Ninaacha haya mambo ,mimi mwenyewe sitafanya hiyo mambo, yaani kila weekend tupo busy kuchangisha harusi ,kama tunataka kutokomeza umasikini na wakati tunatiana umasikini ,siwezi tena.Jamani kama huna uwezo usisumbue watu bwana ,funga ndoa ya kawaida tuache mambo ya kuiga
I believe jamii inaelimika sana sherehe kubwa za harusi zitakw sio big deal tena. Kwa wale waliofanikiwa kutochangia harus hongereni. Na wale ambao bado tunachangia tunatoa lkn 95% kwa kunung'unika sana na kuumia coz ni ndugu, jamaa au rafiki huna jinsi. Kwa hii trend tutafika mahali huu utamaduni utachange completely kila mtu atafanya harusi ya uwezo wake sio kutegemea michango
Hapo umenena mkuu, "RAHA ZAKE ZITUPE SHIDA SISI" kama hana uwezo anatangaza harusi ya nini? Mpaka anageuka ombaomba.
Napata kadi za kuchangia harusi karibu kila mwezi naletewa karibu kadi 3, @50,000 approximately =150 , 000 .
Haya majanga sana ,mshahara wangu 550,000 , which means 30% michango harusi ,Ninaacha haya mambo ,mimi mwenyewe sitafanya hiyo mambo, yaani kila weekend tupo busy kuchangisha harusi ,kama tunataka kutokomeza umasikini na wakati tunatiana umasikini ,siwezi tena.Jamani kama huna uwezo usisumbue watu bwana ,funga ndoa ya kawaida tuache mambo ya kuiga
Michango ya harusi ni majanga, halafu wanadai utafikiri ni deni yaani ni kero.
Hii kitu Ina chosha akili people they spend too much money for nothing hizi smart married three yrs ishakua majangas na umewachangisha watu weee hao hao wanakamati ndio watakulia mkeo, auwakimuona anagegedwa hawakwambii!! That's bull shit!! Ndoa moyoni lisherehe Kubwa la ninj
Hii pia inasababisha watu kukosana maana unaweza kuwa unamatatizo kibao muda huo lakin jamaa akiona hujamchangia anakuchukia....!! Tujifunze kujiandaa wenyewe.
Watu wachangie Ada za shule na Wagonjwa Michepuko imezidi sasa michango ya harusi haina budi ifutweKwa wengi wetu tukishaoa au kuolewa tunaanza kutokuona umuhimu tena wa kuchangia wenzetu. Si vizuri. Changia lakini kwa kiwango unachokimudu. Ukiwa huna genuinely, bajeti imebana kwa nini usimwambie mhusika? Na kama huna kiwango kinachotarajiwa si utoe kilichopo?
Tuache uzungu. Utamaduni wa kuchangiana ni mzuri. Unajenga udugu tukiondoa hizi takataka za kuwekeana viwango na kulazimishana.
Watu wachangie Ada za shule na Wagonjwa Michepuko imezidi sasa michango ya harusi haina budi ifutwe
Tabia ya u-ombaomba michango ya arusi inakera sana. Watu wanapenda ufahari wkt hawana uwezo. Kaa na ndugu zako wa karibu muandae shughuli. Msitusumbue sisi watu baki (majirani)