Najua kwamba kutoa ni moyo na sio utajiri ......... na Waa Tanzania kuchangiana ni jambo la kawaida katika shughuli mbalimbali za kijamii ...... sio siri upande fulani inaumiza lakini kukwepa pia inakuwa vigumu .......Jamani kumbe hii michango mbalimbali tunayotoa ukiijumlisha kumbe ni balaa hebu angalia yaliyonisibu tangu januari hadi sasa na bado
- Michango kwa ndugu zangu 300,000
- Michango kwa marafiki 200,000
- Michango kwa ninaofanyanao kazi 150,000
- Michango kwa ninaosali nao 200,000
- Michango ya ndugu wa mke wangu 200,000 ,,,,,,,,,, hapa imevuka 1m