Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

Hivi ni sawa jamaa anataka kuoa hana hata sent mfukoni anategemea michango ya washkaji...?...Mi naona Harusi BOMBA ni ile jamaa anaandaa kila kitu anawaita washkaji kwenda kushuhudia,kumpongeza na kumpa zawadi....Au wana JF mnasemaje..?

Wazo zuri kabisa. Lakini waswahili hakuna atakayeleta zawadi! Jiandae kugharamia each and everything without anticipation of zawadi
 
ukiwachangisha watu hawapendi wanapenda kula bure ...hata kama ni sherehe yako lakini ni vizur uchangie chochote kitu ...

wengine usipowachangisha hawaji kusherekea pamoja nawew
 
sasa unataka kwenda kula tu bila kuchangia?! .........


Grad PA
 
saw mkuu wang ila niliona ni vema mwenye harusi alipe kwanza ndo aalike washkaji wampe company....
 
ukiwachangisha watu hawapendi wanapenda kula bure ...hata kama ni sherehe yako lakini ni vizur uchangie chochote kitu ...

wengine usipowachangisha hawaji kusherekea pamoja nawew
Ni kweli wengine kuchangia harusi ushakuwa ugonjwa. Atasahau hata kulipa ada za wanafunzi anahangaikia nichango ya harusi. Watu kama hao wape kadi za mchango zisizo na kiwango ili wachange kwa kutafuta sifa.
 
  • Kwanza maana ya sherehe ya harusi ungeielewa la sivyo ni kujibebea km Wanayama
    • Ni kuwatambulisha wenzako Mabibi na Mabwana kuwa hii mali sasa ni yangu msinigongee tena
    • Na kwa Mwanamke ni hivyo hivyo kuwa mlisema siolewi sasa huyu jamaa ni wangu na mlionianza na kunizalisha ovyo sasa ni bado
    • kuwakutanisha Wazazi wa pande zote ili wajuane
    • inazuia kutengani ovyo ovyo kwani mashahizi walikuwepo
    • Ni kitu cha Siku moja tu lakini ni kwa maisha yako yote kwani haina tofauti na sherehe (sherehe wa Siku ya kufa) Ni lazima wakusindikize kwa sherehe hata ya huzini)
Kwa hiyo ni lazima usaidiwe kuiandaa sherehe
 
Nyumbani nina kadi 13 za michango mpaka sasa na sijui nifanye nini na mbaya zaidi mambo ni magumu hata maziwa ya watoto nashindwa kununua.

Najiuliza Mbona mimi nilijiandaa mwenyewe na kuanza kujikusanya pesa ya bajet kwa muda wa mwaka mpaka ilipotimia nikaita washkaji kama 20 nikawambia bila kuhitaji michango ila wapo walioniona najidai na wengine wakashindwa kunielewa, kiukweli naamini harusi ni personal issue ambayo mnatakiwa muifaye kifamilia zaidi na kama una rafiki unamkaribisha unamuandalia kile ulichonacho kwani huoni wazungu kwenye kadi za mialiko wanakwambia come with your drinks, ndio maana siku hizi ukienda kwenye harusi watu wanalalamika nimetoa laki 5 wananipa bia 2 tu?? Nyambafu
 
Watanzania HAtuna budi tubadilike, mtu alikuwa anauguliwa, hukuwahi hata siku moja kumpelekea matunda au juice kwa ajili YA mgonjwa. Mgonjwa kafariki, mchango wako ni Elfu kumi, Huku ukijua anahitaji chakula kwa ajili ya waombelezaji, ikiwemo na wewe mwomba mchango wa sherehe za harusi, gharama za maziko kwa mwili wa marehemu na gharama zote zinazoambatana.

Maziko yanapita mtu kajisimamia mwenyewe kwa Msaada wa Mwenyezi Mungu. Baada ya muda unakuwa na sherehe ZA harusi, unamwendea huyo mfiwa unataka akuchangie LAKI MOJA, akikuambia hana ugomvi, hivi hii ni haki kweli?

Jamani tubadilike na kusaidiana KWENYE mambo yenye tija, sherehe ZA harusi ni MBWEMBWE TU, SAY NO TO MICHANGO YA HARUSI
 
Nilishaamua, sichangii tena harusi coz nilipofanya yangu sikuomba mchango wa mtu! Nashukuru na ndugu zangu wakaiga mfano wangu so michango ya harusi nooo....!! Tena ni Big Noooo....!!

Nachangia elimu, magonjwa, misiba na mambo mengine ya maana.

Harusi unafanya ndogo unaalika watu unaowamudu wale, wanywe, wacheze mpaka wachoke, wakitoka hapo wakathimuliane huko mtaani!! Kuoa ukaoe wewe kukuchangia tukuchangie sisi, why??
 
Watanzania HAtuna budi tubadilike, mtu alikuwa anauguliwa, hukuwahi hata siku moja kumpelekea matunda au juice kwa ajili YA mgonjwa. Mgonjwa kafariki, mchango wako ni Elfu kumi, Huku ukijua anahitaji chakula kwa ajili YA waombelezaji, gharama ZA maziko kwa mwili wa marehemu NA gharama zote zinazoambatana.

Maziko yanapita mtu kajisimamia mwenyewe kwa Msaada wa Mwenyezi Mungu. Baada ya muda unakuwa na sherehe ZA harusi, unamwendea huyo mfiwa unataka akuchangie LAKI MOJA, akikuambia hana ugomvi, hivi hii ni haki kweli?

Jamani tubadilike na kusaidiana KWENYE mambo yenye tija, sherehe ZA harusi ni MBWEMBWE TU SAY NO TO MICHANGO YA HARUSI

Mtu kama huyu unamwambia live, mie huwa nawaambia kabisaa harusi sichangii ukinipa kadi unapoteza bure.

Kwenye mambo mengine shiriki ipasavyo tena mwanzo mwisho tena ikibidi toa michango mikubwa coz utapoanza kukataa michango wataanza kukufuatilia ushiriki wako katika maswala ya kijamii ili kukubagua.

Kwa mfano amefariki mtu hapo mtaani kwenu, watu wengi hutoa mia tano au buku! Toa hela ndefu kweli kweli ili kuonyesha kwa nini huchangii harusi au sherehe. Shiriki mwanzo hadi mwisho, I mean kuanzia kuchimba kaburi mpaka uhakikishe maziko yamefanyika na penye gape jitolee ipasavyo!!

Ila ukigoma kutoa michango ya harusi na kwenye misiba usionyeshe tofauti siku yakikukuta bro umekwishaa!! Unasusiwa live mbele ya kadamnasi, mi napenda watu mtaani/kazini kwangu wanavyoanza kuniiga msimamo wangu tu. Kifupi wamenikubali kwa sana
 
Mtu kama huyu unamwambia live, mie huwa nawaambia kabisaa harusi sichangii ukinipa kadi unapoteza bure.

Kwenye mambo mengine shiriki ipasavyo tena mwanzo mwisho tena ikibidi toa michango mikubwa coz utapoanza kukataa michango wataanza kukufuatilia ushiriki wako katika maswala ya kijamii ili kukubagua.

Kwa mfano amefariki mtu hapo mtaani kwenu, watu wengi hutoa mia tano au buku! Toa hela ndefu kweli kweli ili kuonyesha kwa nini huchangii harusi au sherehe. Shiriki mwanzo hadi mwisho, I mean kuanzia kuchimba kaburi mpaka uhakikishe maziko yamefanyika na penye gape jitolee ipasavyo!!

Ila ukigoma kutoa michango ya harusi na kwenye misiba usionyeshe tofauti siku yakikukuta bro umekwishaa!! Unasusiwa live mbele ya kadamnasi, mi napenda watu mtaani/kazini kwangu wanavyoanza kuniiga msimamo wangu tu. Kifupi wamenikubali kwa sana




I salute salute with a big up Mkuu Ligogoma, nami nimeanza, japo watu hawaelewi, mtu ukamwambia huwezi atakufuatilia hadi kero
 
Nilishaamua, sichangii tena harusi coz nilipofanya yangu sikuomba mchango wa mtu! Nashukuru na ndugu zangu wakaiga mfano wangu so michango ya harusi nooo....!! Tena ni Big Noooo....!!

Nachangia elimu, magonjwa, misiba na mambo mengine ya maana.

Harusi unafanya ndogo unaalika watu unaowamudu wale, wanywe, wacheze mpaka wachoke, wakitoka hapo wakathimuliane huko mtaani!! Kuoa ukaoe wewe kukuchangia tukuchangie sisi, why??

Huo ndiyo uamuzi kuntu! Nafuata nyayo
 
Nilishaamua, sichangii tena harusi coz nilipofanya yangu sikuomba mchango wa mtu! Nashukuru na ndugu zangu wakaiga mfano wangu so michango ya harusi nooo....!! Tena ni Big Noooo....!!

Nachangia elimu, magonjwa, misiba na mambo mengine ya maana.

Harusi unafanya ndogo unaalika watu unaowamudu wale, wanywe, wacheze mpaka wachoke, wakitoka hapo wakathimuliane huko mtaani!! Kuoa ukaoe wewe kukuchangia tukuchangie sisi, why??

utakuwa mdogo wangu, si bure.
Nina zaidi ya miaka 5 nimeachana na huo upuuzi, kwenye elimu, magonjwa na misiba ndipo ninapotoa my hard erned money.
 
Back
Top Bottom