mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,967
- 6,465
Heh wee bado unachangiaga, labda nikupe elfu 5Habari za leo,
Jamani hili swala la michango harusi naona limekuwa jipu, tena jipu lililoota kwenye paji la uso.
Mtu anakuomba mchango wa harusi, alafu anakuwekea kiwango cha chini kuchanga.
Mwisho wa mwezi huu wa tano imenitoka Tsh 950,000 kwa michango mbali mbali. Sasa najiuliza kwa mshahara upi enzi hizi za JPM??
Usipochanga, muomba mchango anajenga uhasama mbaya, hata salamu hapokei
Hivi kwa mwendo huu, na kwa kipato chetu kidogo, maisha yatakuwaje.
Jamani tubadilike
Dahh
950000
Ungeweza kununua ata till za tigo pesa, mpesa, airtel money, kwa 500000 zote nyingine zikawa mtaji
Ukaweka mwamvuli na kuajiri mdada
Kwa mwezi zote ungepata 500000
Kwa mwaka zaidi ya 6000000
Kwa miaka kumi 60,000000
Siyo lazima ziwepo cash ila ungeweza kusolve matatizo ya zaidi ya sh 60,000,000 ata zaidi kwa mtaji huo