Wandugu, leo napenda kuwakumbusha kuwa kwa kujidai wewe ni mwema kwa kuchangia kila harusi iliyo mbele yako, unajimaliza mwenyewe (nakulinganisha na mtu anayepiga punyere a.k.a punyere kwa kuangalia picha za utupu mtandaoni).
MBINU YA KUKWEPA MICHANGO
Usiwe na maneno ya diplomasia kwa anayeomba mchango, mjibu live kuwa mi sikupi mchango na usinisumbue *****! Kwa jibu hili atapanic na hatarudi tena kwako, kisha chukua hiyo 50,000 au 100,000 kaweke akiba kuwa na malengo baada ya mwaka una akiba ya kutosha.