ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Jamani wanajamvini, imenibidi tu nije nitoe dukuduku langu huku jamii forum, kiukweli kuna huu mtindo wa kufunga ndoa ambapo huwa unaambatana na sherehe kubwa inayogharamiwa na michango ya hiari toka kwa ndugu na marafiki. Huu utaratibu umekuwa ukiathiri watu mbalimbali kiuchumi nikiwemo mimi, ambapo unakuta mtu kila mwezi unapata kadi c chini ya 6, na kila moja ni 50 elfu kwenda juu, hii inatokana na jamii ya kijamaa tuliyonayo watanzania ambapo tunakuwa na ukaribu na wetu wengi.
Kiukweli nimechanga nimechoka, na ninaomba tu litoke tamko kuwa kila mtu anaetaka kuoa basi agaramie harusi yake. Mana imekuwa kero. Unachopata kidogo wanataka uwape halaf wewe hufaidiki na kitu chochote yani ni kama umetupa hela. Huu utaratibu kwa nchi za wenzetu hamna. Wao wanachofanya ni kuchanga tu kizawadi tena co lazma.
Kwa usawa huu maisha magumu halaf unakuja kutuomba tukupe ela ukanunue mwanamke(kuoa) hapana . Watanzania tubadilike.
Mtu kodi sijalipa. Nadaiwa mikopo na wewe eti unakuja nataka kuoa unichangie mfyuuuuuuuuu matulu yako
Kiukweli nimechanga nimechoka, na ninaomba tu litoke tamko kuwa kila mtu anaetaka kuoa basi agaramie harusi yake. Mana imekuwa kero. Unachopata kidogo wanataka uwape halaf wewe hufaidiki na kitu chochote yani ni kama umetupa hela. Huu utaratibu kwa nchi za wenzetu hamna. Wao wanachofanya ni kuchanga tu kizawadi tena co lazma.
Kwa usawa huu maisha magumu halaf unakuja kutuomba tukupe ela ukanunue mwanamke(kuoa) hapana . Watanzania tubadilike.
Mtu kodi sijalipa. Nadaiwa mikopo na wewe eti unakuja nataka kuoa unichangie mfyuuuuuuuuu matulu yako