driller
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 1,116
- 246
Watu wengine jamani huwa hawana aibu,unakuta mtu hamjaonana karibu miaka mitatu siku anakutafuta mnaonana unaanza kufurahi,unashangaa anakutolea kadi ya mchango ha!! kuna watu wanajua kuchuna sura.
hata kama sijaonana nae miaka kumi asseee kama msimamo wangu ni kutochanga nitamwambia aisee mimi hapa nimesitisha hili swala tangu muda mrefu sana.... unajua inatakiwa tuishi maisha ya uhalisi wa mioyo yetu bwana.... unampa live hapo hapo yani kupunguza matatizo khaaa