makoye78
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 672
- 229
Amua tu mkuu, weka msimamo, na isikusumbue watu wengine watakuonaje.Nikupe mfano, mimi hiyo biashara ya kuchangia harusi nilishaona haifai ..... nimeiacha siku nyingi sana .....sichangii, saaaana nikiamua kukupa mchango ni shilingi za kiTanzania elfu ishirini tu. Sababu ni kuwa siamini ktk dhana hiyo.Nachangia mambo mengine ya muhimu na maendeleo zaidi.Ila kama na wewe unaamini na unategemea kuwa utawahitaji waje kukuchangia harusi yako siku zijazo ............
Mkuu, mie nilioa siku nyingi sana! Sikuwachangisha, na wala by then hawakuiona thamani ya ndoa yangu! Hivyo hata hongera zao sijawahi kusikia wakinipa tangu nimeoa, hata kuulizia watoto wangu ambao ndiyo matunda ya ndoa, sijawasikiaga!