Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

Yaani nikipata m/ke asiyependa miharusi nitafurahi!!!!!!!!

Pamoja na mambo mengine, huwa namwomba Mungu anijalie msichana aliye huru na utumwa huu. Naamini nitampata tu! Miaka 27 ya uhai wangu, sijachangia harusi jumla ya 15,000. Hivyo, sipendi kuomba michango.
 
Poleni sana, mimi huwa sichangii harusi wala wanangu walipooa na kuolewa sikuchangisha mtu.

Ni ulimbukeni tu, kisa cha kutaka kuiga tembo...

Jikune unapofikia.
 
Bandugu, nina washkaji wa4 nimeshatoa michango ya 100,000 each. Mbili zimevunjika in 2 years 2 zingine zina utata balaa sitegemei zi last hata 2 more years.
Kuanzia sasa nina propose bila warranty ya miaka 6 kuendelea sitoi laki au zaidi. michango ya 50 watupe warranty hata ya 3 years. Wasipotimiza waturudishie hela zetu!
This is getting out of control, nimechoka kupoteza hela yangu. Mshkaji nilitoa kilo 5 baada ya miezi 18 wameachana!! Kidogo nipigan ngumi!
 
kaka huo ni ubahili unajitafutia sababu, kwa nini unatabiri ndoa za wenzio kuvunjika unachangia uvunjifu huo au nini?? Mchango ni kitu kingine na ndoa ni kitu kingine. pale wewe unachangia sherehe huchangii tabia wala maisha yao, sherehe ikiisha kapesa kako kameisha tena unatoa vilaki mnaenda wawili na unywaji wako si huwa unamaliza kahela kote na kukopa zetu tusiokunywa???
tutaona ndoa yako kama itadumu
 
Bandugu, nina washkaji wa4 nimeshatoa michango ya 100,000 each. Mbili zimevunjika in 2 years 2 zingine zina utata balaa sitegemei zi last hata 2 more years.
Kuanzia sasa nina propose bila warranty ya miaka 6 kuendelea sitoi laki au zaidi. michango ya 50 watupe warranty hata ya 3 years. Wasipotimiza waturudishie hela zetu!
This is getting out of control, nimechoka kupoteza hela yangu. Mshkaji nilitoa kilo 5 baada ya miezi 18 wameachana!! Kidogo nipigan ngumi!

me nakerwa pale mchango wa harusi unapogeuzwa deni,,,aaaaah
 
Hahahaaaaaaaaa! SEMA WEYE!!!!!!!!!! Mimi kwenye mada yangu nimesema NIMEONEKANA GAIDI MULLAH OMAR! LOL! Wenye ndoa zao ukweli kama huu hawataki usemwe kabisaaa!!!!!!!!!! Hahahaaaaaaaa!

Tutachanga tu kujionesha hatua fulia ama kulowekea ila money back guarantee ni kujisumbua! LOL!
 
Mie nilishasema pawepo na dhamana, ndoa ikivunjika tu, hiyo dhamana ifanye kazi ya kulipa hela walizochanga watu.
 
Back then I'd have fully co-signed your idea but I've since evolved and decided to put my foot down and I no longer donate my super hard earned money to worthless, pointless, and meaningless causes.

It's a total sea change in what I've undergone.

Now I'd instead rather donate it to people and places who genuinely need it most and other good/worthy causes.

Weddings need not be lavish in my opinion. If a couple wants to have a lavish wedding then they ought finance it themselves and not impose on others by pestering them with donations requests and such. Times are hard anyway...shoot.
 
kaka huo ni ubahili unajitafutia sababu, kwa nini unatabiri ndoa za wenzio kuvunjika unachangia uvunjifu huo au nini?? Mchango ni kitu kingine na ndoa ni kitu kingine. pale wewe unachangia sherehe huchangii tabia wala maisha yao, sherehe ikiisha kapesa kako kameisha tena unatoa vilaki mnaenda wawili na unywaji wako si huwa unamaliza kahela kote na kukopa zetu tusiokunywa???
tutaona ndoa yako kama itadumu

hahaha lastname hujaelewa tu penyewe nimepost kwa kiswahili?
Wapi nimetabiri ndoa za watu kuvunjika?
I think I have touched a raw nerve here. Hehehe! Maana umeanza personal attacks ghafla.
Utakuta bajeti ya harusi million 50. Watu wanachanga harusi inafanyika 2 years later hawako wote. Kwanza unakuta nyumba wanaishi ya kupanga.
Sisi ni mabingwa wa kuja na vitu senseless sana.
 
Bandugu, nina washkaji wa4 nimeshatoa michango ya 100,000 each. Mbili zimevunjika in 2 years 2 zingine zina utata balaa sitegemei zi last hata 2 more years.
Kuanzia sasa nina propose bila warranty ya miaka 6 kuendelea sitoi laki au zaidi. michango ya 50 watupe warranty hata ya 3 years. Wasipotimiza waturudishie hela zetu!
This is getting out of control, nimechoka kupoteza hela yangu. Mshkaji nilitoa kilo 5 baada ya miezi 18 wameachana!! Kidogo nipigan ngumi!

Sio warranty 2, na insuarance pia
 
Michango ya harusi imezidi jamani ila mtoto wa akikosa ada ya shule hakuna anaejali.
 
Kwa hiyo laki yako moja inanunua miaka mingapi?

Toa milinganyo kabisa watakaotaka kukaa mika 60 kwenye ndoa wajue wakuchaji milioni ngapi.

Kwamba "jamaa anataka kwa laki yake moja tukae kwenye ndoa angalau miaka mitano, sisi tunapanga kukaa miaka 60, 60/5 = 12, kwa hivyo "mchango" sawa wa kudai ni laki mara 12, shilingi milioni 1 na laki 2".

Hapo vipi?
 
Michango ya harusi imezidi jamani ila mtoto wa akikosa ada ya shule hakuna anaejali.

Michango si kodi.

Usilaumu michango kuzidi, jilaumu wewe mwenyewe kwa kushindwa kukataa michango.

In general, wabongo tumezidi unafiki wa kulalamikia pembeni, wakati watu wanaleta michango hatuwaambii kwamba tumezidiwa.

Kila mmoja angesema ukweli kuhusu hii michango ingepungua, na watu wangefanya harusi realistic zaidi. Tatizo tunailea wenyewe.

Moja ya vitu ambavyo sitakaa kufanya maisha haya ni kumchangisha mtu mchango wa harusi yangu.
 
Duh!
Hilo nalo neeno!!!
...
Mimi nahisi hii michango isiwe ya lazima! Ili kupesha lawama kama hizo! Yap! Haiingii akilini namkuta shemiji yenu anagegeduliwa! Eti niendelee naye kisa na mkasa kunamtu kachangia milioni!!!!
...
Nadhani tupunguze lawama kwa wanandoa! Kisa chenyewe nini?! Umechangia!!!!
Tuangalie na sababu za kuachana kwao bas!!!!!!
 
Hujakosea mkuu ni wazo zuri!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom