BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Bado mnachangia harusi tu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Michango si kodi.
Usilaumu michango kuzidi, jilaumu wewe mwenyewe kwa kushindwa kukataa michango.
In general, wabongo tumezidi unafiki wa kulalamikia pembeni, wakati watu wanaleta michango hatuwaambii kwamba tumezidiwa.
Kila mmoja angesema ukweli kuhusu hii michango ingepungua, na watu wangefanya harusi realistic zaidi. Tatizo tunailea wenyewe.
Moja ya vitu ambavyo sitakaa kufanya maisha haya ni kumchangisha mtu mchango wa harusi yangu.
Poa tu! Isipotimia si kuna refund ya difference!Kwa hiyo laki yako moja inanunua miaka mingapi?
Toa milinganyo kabisa watakaotaka kukaa mika 60 kwenye ndoa wajue wakuchaji milioni ngapi.
Kwamba "jamaa anataka kwa laki yake moja tukae kwenye ndoa angalau miaka mitano, sisi tunapanga kukaa miaka 60, 60/5 = 12, kwa hivyo "mchango" sawa wa kudai ni laki mara 12, shilingi milioni 1 na laki 2".
Hapo vipi?
Kuna harusi mama alichangia million 5,
Shemeji million 10.mimi sikutoa kitu na sikwenda nilikuwa mbali.
Ata mwaka aikupita ndoa ikafa. Uyo binamu yangu wa kiume alikuwa kicheche na mlevi. Na uyo binamu alikuwa choka mbaya tu kila kitu amefanyiwa wala awez kuona uchungu.
Bora michango hiyo ingekua KUMSOMESHA fulani, lakini kula na kunywa kwenye harusi tu....
SIPENDI.....