Wandugu huku kwa huyu mganga anayetibu magonjwa sugu kama vile,ukimwi,kisukari,presha,kifafa nk. Ni mbaya kwani watu ni wengi maelfu kwa maelfu huku huduma muhimu kama chakula,malazi,mahali pa kujisaidia, mawasiliamo ya simu hakuna. Kupata huduma siku izi inachukua adi siku tatu.
Wandugu huku kwa huyu mganga anayetibu magonjwa sugu kama vile,ukimwi,kisukari,presha,kifafa nk. Ni mbaya kwani watu ni wengi maelfu kwa maelfu huku huduma muhimu kama chakula,malazi,mahali pa kujisaidia, mawasiliamo ya simu hakuna. Kupata huduma siku izi inachukua adi siku tatu.
Wandugu huku kwa huyu mganga anayetibu magonjwa sugu kama vile,ukimwi,kisukari,presha,kifafa nk. Ni mbaya kwani watu ni wengi maelfu kwa maelfu huku huduma muhimu kama chakula,malazi,mahali pa kujisaidia, mawasiliamo ya simu hakuna. Kupata huduma siku izi inachukua adi siku tatu.
Jamaa anazikusanya sana, na pia wagonjwa wanapona, lakini wanatakiwa wawe makini wasipate magonjwa mengine ya kuambukizana.
Mama aonekana loliondo je?dawa,je?mwarabu amekwenda kulipa fadhila kwani ana maliza wanyama,je baba alikwenda kwa njia ya kuangalia unyayo wa mtu wa kale akachukua share yake ya dawa na sasa zamu ya mama?
Mama aonekana loliondo je?dawa,je?mwarabu amekwenda kulipa fadhila kwani ana maliza wanyama,je baba alikwenda kwa njia ya kuangalia unyayo wa mtu wa kale akachukua share yake ya dawa na sasa zamu ya mama?
huyu babu ukisimuliwa unaona ni utan ila ukiona watu wanavyopona ndo utaamini dunia inaenda mwisho jamani