Wambugani
JF-Expert Member
- Dec 8, 2007
- 1,757
- 277
Wandugu huku kwa huyu mganga anayetibu magonjwa sugu kama vile,ukimwi,kisukari,presha,kifafa nk. Ni mbaya kwani watu ni wengi maelfu kwa maelfu huku huduma muhimu kama chakula,malazi,mahali pa kujisaidia, mawasiliamo ya simu hakuna. Kupata huduma siku izi inachukua adi siku tatu.
Mtaka cha uvunguni sharti ainame!