Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

Nimeikuta hii habari kule kwenye habari na hoja mchanganyiko.............

 
Ingefaa akina Muhogomchungu na Zubeda waendelee kukosa imani ili wenye imani wakapone,wasikute foleni kwanza,najua baadae watakuja kufumbuka na kukimbilia huko. Ubaya wa dawa kama hii ,hauponi kama hauna imani. Heko mchungaji,ushuhuda wa Mzee Ali
 
mnaacha kujadili thread ya mleta mada mnaanza kujadili udini!!!
 

kaka hii dawa si ya kisayansi, ushaambiwa na daktari mwenzako kwamba amepona sasa kipi ndugu yangu huelewi? kuna madaktari wenzako wa maabala waliipima hii dawa wakakuta ni sumu haifai kwa matumizi ya kiumbe chochote sasa hapo napo utasemaje?
hii dawa ni ya ki maajabu - madaktari wenzako sasa hivi wako fileni loliondo kama huna taarifa.
 
Tanzania sasa itajulikana ulimwengu mzima na Mungu lazima ana malengo yake kuifunua hiyo dawa hapa tanzania nchi masikini. Ni bahati iliyoje mtanzania kufunuliwa dawa inayotibu maradhi sugu pamoja na ukimwi!! Tumwache Mungu aitwe Mungu.

jamaa anapendekeza tuongeze gharama za VISA kwa wale wanaokuja kutibiwa toka nje, Mapato yanaweza kusaidia ujenzi wa miundobimbu huko loliondo.
 
Ubarikiwe kwa mtazamo huo. Hakuna upuuzi mkubwa na wa kihistoria tuliofanya watanzania kama kumrejesha kwenye madaraka makubwa ya nchi yetu mtu anayesema hajui kwa nini watu wake ni maskini na wakati huo huo anawaahidi maisha bora kwa kila mtu!!!!!

Kwa kweli ni upuuzi wa kihistoria, ukizingatia kwamba alikiri mwenyewe eti miaka miwili ya mwanzo ya utawala wake alikuwa akijifunza!!! Halafu bado akarudishwa madarakani!! Huwa ninajipa moyo kwa kusema at least mimi sio miongoni mwa waliompa kura yangu!
 

Pole sana; wewe na Jenerali Ulimwengu mna mawazo kama ya mwanambuzi ya kuamini kuwa mtu kazaliwa hapa Duniani na mwisho wake ni hapa hapa Duniani.Vitabu vya Hadithi vinawapoteza sana. Jenerali maisha si kuuza gazeti tu.
 
Kwa wanaoamini sioni sababu ya kutokwenda! kwa wanaosubiri agundue mzungu wasubiri as well!
 
Maswala ya kutumia chombo kimoja kwa kundi la watu ndiyo maisha ya watanzania karibu 75% waishio vijijini, 75% ya watanzania wanalala mahali ambapo hapatamaniki kwa karne ya sasa, maji yao si safi na salama, wengine bado wanajisaidia maporini kama loliondo. Barabara zetu nchini zinazounganisha mikoa yetu watu tunachimba dawa maporini tuwapo safarini kama loliondo tu. Hatuna umeme wa uhakika, tiba bado duni. Tatizo la BABU ni nini? Come out with utafiti wa kutosha. Mbona tunabwabwaja bila kuangalia hatari katika changamoto aliyoleta Mch.Ambilikile? Kubwa zaidi katoka KIIMANI, maana yake ni ibada tayari. Bila imani imekula kwako.
Simaanishi babu yuko sahihi lakini hatukujipanga tulipokuwa tunawasikia akina kakobe, lwakatare, lusekelo, she yahya, ndodi na sasa babu katu-challenge. Something must done to protect our nation.
 
I have read the General's Story from the beggining to the end. What i have discovered is that most Tanzanians write things by assumptions. THE WORD RESEARCH to us Tanzanians is quite ambiguous word. This is what is also facing mr Ulimwengu. ''What testimony is he looking for if thousands and thousands of people are scrambleling for KIKOMBE every day!!! I guese he need to conduct research in order to satisfy himselves. I believe in one way or another Mr Ulimwengu has a relative or neighbour saffering from one of the deseases mentioned by people and MEDIAs that they can be cured at BABUs place. I advice him there fore to take somebody to BABus home to get the MEDICs and there after wait to see the results.
NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK OUT???
 

.
Isaya 14:13-16 and Ezekiel 28:13-19.
.
 

Direct attack with weak reasons and evidence.
 

God of where? wa Yelusalem au Loliondo or Africa? God has no chase a power! Ulimwengu anaweza kuwa sahihi. Tusubili tuone.
 
Kama vile baadhi yenu hamtaki kuamini lakini pia tusibishe kama hatukuwa wagonjwa tukaenda kutibiwa halafu hatukupona. Usiseme ni uongo kama hujajaribu ikashindikana.
Ikiwa unataka kuthibitisha basi nenda kaone mwenyewe ndipo uwe na haki ya kupinga. Ni kichekesho kulinganisha hii na DECI, ni vitu viwili tofauti, usiseme eti tufanye uchunguzi wa maabara maana yeye mwenyewe anakiri kwamba hajui nini kilichomo humo, hii ni mchanganyiko wa mti na imani, sasa sijui content ya imani katika dawa hiyo itapimwaje.
Inachekesha pia, kwamba tunataka watu wasiende lakini waliokwenda wanasema wamepona, nadhani kila anaeugua atataka kwenda kutibiwa, ikishindikana angalau hatakuwa amekosa nafasi. Kama watu walikuwa hospitalini kwa miezi kadha, wakatoroka wakaenda huko wakarudi wamepona, halafu wewe unamwambia mwongo, atakucheka tu kwa vile yeye anajua alivyokuwa na alivo baada ya kwenda huko.
TUNAOTAKA KUBISHA NA KUSHAMBULIA TUKACHUNGUZE KARIBU PALE, kama ni uwongo tutauona, kama ni kweli tutaona, na kama ada ni sh 500 tu, tena mwenyewe wala haishiki yeye!!!!
Waliosema wajengewe vyoo sio yeye ni watu wanaoangalia kwa nje, kama amekataza hata wenye usafiri wasichaji nauli kubwa, iweje kama anataka pesa, ISIWE TUNATAKA KUBISHA TU KILA KITU HATA BILA KUJARIBU



 
Prove ni utapeli, usiseme tu juu juu. Kama vile kusema anaponyesha inataka proof, hata kubisha haponyeshi inataka proof pia.

Namuunga Mkono Ulimwengu 100% .. Kisukari na magonjwa mengine yanatibika na herbs za kawaida pia.. hapo babu si mpingi lakini linapokuja swala zima la HI5 "HIV" .. ni utapeli "nukta"
 
Babu mwenyewe hajasema chochote kuhusu kuijaribu dawa yake maabara, ni watu wa wizara ya afya ndio walisema SIO BABU, tunazusha mengi mno, kwani mtu akienda kuichukua akaondoka nayo akaipime ana nini??


 
God of where? wa Yelusalem au Loliondo or Africa? God has no chase a power! Ulimwengu anaweza kuwa sahihi. Tusubili tuone.

.
Hivi yule wa Yerusalemu sii ndie huyu wa Africa eeeh?
Ukitaka kuwasiliana na huyu wa Yerusalemu inakulazimu kwenda hija huko huko au;
.
 
Kwa mara ya kwanza Jenerali kaanguka.

Anawakebehi watu walokata tamaa na maisha kwa matatizo mbalimbali yaliyosababishwa na mfumo ambao yeye pia alishiriki kuujenga. Kwa nini asiuchambue mfumo uliopo? Poor jenereali, kashindwa kabisa kuanalyze chanzo cha tatizo na uhusiano na mfumo wa kitawala uliopo. Wanamchambua Babu wa watu badala ya mfumo. Jenerali that is too low of you!

Besides sijui kama amewahi kuugua na/au kuuguza mtu aliyelala kitandani miaka 7 au 8, aliyezunguka na kula makemikali ya maabara (ambayo Ulimwengu anayaita ya kisayansi) bila matumaini ya kupona. Sometimes Ulimwengu usiandike tu for the sake of it.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…