Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

Wajinga ndio waliwao!!! Kwa hiyo Dr ndodi,kakobe,shehe yahya ndio bye bye!
Halafu jamaa hachukui hela nyingi simple 500 Tsh.
 
Yani kwa hayo mawili tu ndio umehitimisha kuwa ni mgonjwa? Unang'atwa kweli
 
jamani, kipindupindu ana hoja nzito!, kuna mtu alishajifanya nabii kule mkuranga lakini eti wakati akipokea ufunuo simu ikiita ufunuo unapotea ghafla!.. kuna mtu anajifanya nabii kule Tabata, anawaambia baadhi ya kina dada alale nao ndo wapone!.

Wengine kati ya hawa wanaojiita "Waponyaji "ukiachilia ugonjwa wa akili, wanakumbwa na mapepo, yanawadanganya, yanawaambia wao ni manabii n.k, lengo ikiwa ni kuwadanganya watu ili wayatumikie na kuyaabudu, yanawapa matumaini ya kuponya maradhi kama vile ukimwi, uzazi n.k... lakini at the end of the day yanawapeleka kusiko kabisa, unaweza kujikuta umegeuka kuwa mchawi bila kujijua, kwa kufuata mambo haya ya waganga!

Tuweni makini wanadamu, Shetani ni laghai mbaya kabisa
 
jamani, kipindupindu ana hoja nzito!, kuna mtu alishajifanya nabii kule mkuranga lakini eti wakati akipokea ufunuo simu ikiita ufunuo unapotea ghafla!.. kuna mtu anajifanya nabii kule Tabata, anawaambia baadhi ya kina dada alale nao ndo wapone!.

Wengine kati ya hawa wanaojiita "Waponyaji "ukiachilia ugonjwa wa akili, wanakumbwa na mapepo, yanawadanganya, yanawaambia wao ni manabii n.k, lengo ikiwa ni kuwadanganya watu ili wayatumikie na kuyaabudu, yanawapa matumaini ya kuponya maradhi kama vile ukimwi, uzazi n.k... lakini at the end of the day yanawapeleka kusiko kabisa, unaweza kujikuta umegeuka kuwa mchawi bila kujijua, kwa kufuata mambo haya ya waganga!

Tuweni makini wanadamu, Shetani ni laghai mbaya kabisa

mkuu nashukuru kwa kutoa mifano zaidi,unakumbuka mambo ya 'tabata masalia'waliishia wapi wale wachungaji waliotaka kukwea pipa bila tikiti.wangepata huduma za madaktari mapema ingekuwa safi.
 
imani. Na si ajabu na ni kweli. Kama huamini waulize viongozi wako wa juu serikalini akiwemo pm na presdaa.

na batilda buriani alikuwa huko juzi .
Halafu huyo c mganga ni pastor mstaafu mbona mnakuwa kama wagalatia
 
Presidaa alisema anaenda kuangalia mabaki ya nyayo teh! kumbe katoka kunywa dawa kwa jiti 5
 
imani. Na si ajabu na ni kweli. Kama huamini waulize viongozi wako wa juu serikalini akiwemo pm na presdaa.
sasa kama kinachoponya ni imani , kwa nini watu waende kwa huyo mtu,? afu cjaelewa mpk leo huyu mtu ni mganga au mchungaji?
 
even placebo(kanyaboya) can cure!!!

nakubaliana na wewe placebo can cure but tusiwakatishe tamaa hao wanaokwenda huko!IMANI YAO ITAWAPONYA!nawatakia mafanikio mema wote wanaoitafuta afya!naelewa ni jinsi gani mnavyopata mahangaiko kwa kutambua kwamba una gonjwa la kutisha!once again nawatakia mafanikio mazuri!
 
nakubaliana na wewe placebo can cure but tusiwakatishe tamaa hao wanaokwenda huko!IMANI YAO ITAWAPONYA!nawatakia mafanikio mema wote wanaoitafuta afya!naelewa ni jinsi gani mnavyopata mahangaiko kwa kutambua kwamba una gonjwa la kutisha!once again nawatakia mafanikio mazuri!

hawakatishwi tamaa,wanaelimishwa tu.
 
Hao ambao wamepona inawezekana nao nivichaa au ?
 
mimi naibeza kazi yake!kama amegundua dawa afuate taratibu,aende muhimbili kuna kitengo cha traditional medicine aeleze jinsi inavyofanya kazi,dose,inaingiaje na kutokaje mwilini,madhara yake(side effects),inaingiliana vipi na dawa nyingine(interaction with other drugs),inatumikaje kwa makundi maalum mfano watoto,wazee au wajawazito.
Imefanyiwa majaribio lini,wapi na kwa nani?haya ni baadhi ya maswali ambayo anatakiwa kuyatolea ufafanuzi.bila kujibu maswali haya halafu unaibuka from nowhere na kujidai unatibu!huu ni ukichaa wa aina fulani.naomba apate huduma ya psychiatry haraka iwezekanavyo.
Waulize babu zako zamani walikuwa wanajitibu kwa kutumia dawa gani
 
dawa gani hiyo inayotibu kisukari,ukimwi,B.P kwa pamoja
Haya magonjwa ni tofauti sana na visababishi vyake ni tofauti, kamwe haiwezi kutibu yote haya.

Jee, unajuwa kwa nini Muarubaini ukaitwa Muarubaini?
 
Kumbuka hajawaita, lakini waliotibiwa awali ndio wanaowapeleka ndugu zao huko ili nao wakapate uponyaji. Kama madaktari hospitalin wameshindwa kutibu watu wanajaribu tiba nyingine. waziri wa afya jana kasema watu waende wakatibiwe, yawezekana hata yeye alishaenda huko. TBC1 wameripoti kuwa watu 800 - 1000 wanafika kupata tiba kwa "Dr".

............. Mungu akasema;..... watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
......Sitawaacha mpotee.
...... niawaletea watu wakuwasaidie
.... Musa tengeneza nyoka wa shaba ili watu wakimuangalia wapone.
 
Kwa wale wataalamu wa magonjwa ya akili wanaweza kugundua mambo mawili muhimu hasa kwa jinsi anavyojieleza.
1.grandiose delusion-ile hali ya kujikweza ati yale majani lazima ayaombee yeye ili yaweze kukutibu.
2.hallucination-eti mungu alimuonyesha noti ya 500 na hivyo hii ndio bei ya matibabu.

Mwenye masikio na asikie,huyu mtu ni mgonjwa na anahitaji tiba haraka iwezekanavyo.


Ni kawaida ya binaadamu kudharau kitu na kusema kila aina ya maneno ya dharau juu ya kitu hicho na hasa ikiwa si yeye anayekihitaji. Nasema hivyo kwa sababu kama ni wewe ndio ungekuwa unaumwa na moja ya magonjwa hayo yaani Kisukari, Presha, Kansa, na hata HIV, naumekuwa ukitumia kila aina ya dawa zinazojulikana leo hii katika fani ya Tiba (Hospital na Kienyeji) lakini zote hizo bado hujapata nafuu, sidhani kama ukisikia dawa kama hii hutaacha kwenda kujaribu, kwa kuwa tu ati ushatumia dawa nyingi na hujapona. Waswahili husema uongo wa mganga nafuu kwa mgonjwa. Mi nafikiri it worth to try, in case haitibu basi utakuwa hujijutii zaidi na iwapo itakuwa inatibu basi utakuwa umepona. Baada ya kusikia habari za mganga huyu nilijaribu kufuatilia kwanza kupata ukweli juu ya huyu mtu kama kweli yupo na je kweli anatibu. Katika jitihada hizo nilimpigia simu jamaa yangu aliyepo A town, na yeye akasema anasikia habari hizo na ili kuwa na uhakika akawasiliana na Rafiki yake ambaye anafanya kazi halmashauri ya Loliondo, na yule bwana alienda hadi pale kwa huyo bwana na akakuta kweli kuna watu wengi na wanapata tiba. Yeye hakwenda tibiwa ila dereva wake alikuwa akisumbuliwa na kisukari na akapatiwa dawa hiyo. Na toka amepata hiyo dawa ni wiki sasa imepita na hali yake anasema ni nzuri na sukari iko normal. Pia kuna jamaa wanafanya kazi hapa Dar, CBA Banki hapa Dar. Hawa jamaa walikuwa wanasumbuliwa na sukari, lakini nao wanasema hali yao ni nzuri na wanakula kila aina ya chakula walichokatazwa kama soda, mafuta, sukari nk na pamoja na hayo hali zao ni bomba. Sasa mi nafikiri tuache watu wajaribu may be watafanikiwa.
 
Back
Top Bottom