muda si mrefu hapa moshi... mzee mmoja aliyekatwa mguu huko india kwa kusumbuliwa na sukari na mpaka kuwa anajipiga insulin ku control sukari na hata sukari kuanza ku affect macho yake...ameniambia amepona na tangu arudi ana siku nne hajui dawa wala insulin vipo wapi na macho yanapona .... mashuhuda ni wengi wengi waliopona .... JWTZ wameweka kambi zao za matent kuhudumia wanaotafuta tiba .. naambiwa pia red cross wapo njiani .... jana kulikuwa na watu zaidi ya elfu hamsini na magari 2000