Tatizo ni kwamba kasumba ya majibu yasiyo na maadili imekuwa utamaduni kwa wengi humu.Tumia maneno mazuri Yenye busara kidogo kumtazamia mwenzio kuwa shoga ni kosa kubwa Sana
Sawa sawaNaona kila mtu bunafsi ana wakati wake wa mwisho
Pongezi kwao hao hawajakitia unajisi kitanda cha ndoa. Ijapokuwa ni wachache bado wanastahili pongeziSio wote walio oa wanachepuka, wapo wasio chepuka
Nina mama na baba tena ungeona nilivyo fanana na bi mkubwa usingesema hayo , mama yangu now ana 70 na mzee 82 hawana ndoa wala hawajui pete na vyeti ni niniNina wasiwasi na hilo, sababu nina uhakika hauna uhusiano mzuri na mama yako,lol...ungekua na foundation nzuri ya wazazi particularly mama usingekataa ndoa....hivyo kusema unapenda mabinti zako nina wasiwasi sana..
Dah ππPongezi kwao hao hawajakitia unajisi kitanda cha ndoa. Ijapokuwa ni wachache bado wanastahili pongezi
Tukija kiimani ALIYE KWENYE NDOA lakini anachepula ni MZINZI huyu ni wa ovyo machoni kwa MunguSio wote walio oa wanachepuka, wapo wasio chepuka
Ni vyema ukawa una-reply baada ya kuelewa kilichoandikwa na siyo kutoa comment based on feeling.Pole sana umepita kwenye jamii ya hovyo ambayo imekuwa mfano mbaya hadi imekukatisha tamaa ya kuoa. Mwisho wa siku utakuja kuolewa wewe sasa( ashakum si matusi) mashoga wengi ukiwauliza walianzaje ushoga huwa wana sababu kabisa konki. Moja wapo ni kama hizo zako.
Huo ndio ukweli, na adhabu yao n ziwa la moto tena moto wa mileleTukija kiimani ALIYE KWENYE NDOA lakini anachepula ni MZINZI huyu ni wa ovyo machoni kwa Mungu
Ambaye HAJAOA lakini ANAZINI huyu naye ni MWASHERATI naye ni wa ovyo kwa Mungu
Wote maandiko wanasema hawataurithi Ufalme
Kwahiyo Gari ni matako kila mtu anayo....!!Gari ni Mali? una shida kwenye ubongo wako.
Kwahiyo kaka yako yeye ndio hana mke? ni mtawa?
Vijana mliozaliwa miaka ya 2000 kuja juu bahati mbaya mmezaliwa na roho ila hamna nafsi, too bad nawasikitikia sana.
Mahakama ikiamua watoto wabaki na mama, bado baba anatakiwa atunze watoto na awasomeshe ingawa kwenye mgao watoto hawafikiriwi, mgao wa baba ni pamoja na watoto!Mimi nipo kwenye ndoa na ninapambana bila kuchoka nichomoke kwenye ndoa kutokana na mambo ya ndani ya ndoa yalivyo.
Nilikuwa kimya nasoma maoni ya wanaokataa ndoa na wanaoipa chapuo ndoa.
Hoja yangu imebase kwenye mantiki zolizowekwa na sheria. Sheria ya ndoa ya Tanzania inapeleka hasara kubwa kwa wanaume na kumfaidisha sana mwanamke.
KUna vitu vingi havijakaa sawa kwenye ndoa ambavyo vinawasababisha vijana kuwa bold and clear kukataa ndoa.
- Sheria ya ndoa inamtaka mwanaume kumtunza mke wakati wote wawapo kwenye ndoa
- Sheria ya ndoa inammilikisha mwanamke mali za mwanaume za ndani ya ndoa. Hapa maana yake jasho la mwanaume linagawanywa kuwa jasho la wanandoa wote wakati wa ndoa
- Endapo wakaamua kutalikiana, mwanaume hupewa gawio lisiloakisi jasho lake na mwanamke hupata gawiwo zaidi ya jasho lake.
- Sheria ya ndoa haimpi jukumu mwanamke ndani ya ndoa bali majukumu.yote anapewa.mwanamume
Tuzungumze maboresho ya sheria ya ndoa ndipo vijana waanze kurejea ndoani.
Mie.mwenyewe nataka leo kesho.kutemana na mwanandoa mwenzangu..
Upo sawa, lakini wapiganie mabadiliko ya Sheria kama wanawake walivyopigania wakisaidiwa na wanasiasa.Ndoa ni wito. Kupinga ndoa ni mpango shetani.. ili aje aintroduce ndoa zake za kishetani shetani.. kupinga ndoa ni kumpinga Mungu na mapenzi yake ya ndoa kwa mwanadamu na makusudi anayotaka yapitisha kupitia ndoa
Ndoa asili yake ni ya rohoni, kitendk cha ndoa kuongozwa na sheria dunia ni janga hiloUpo sawa, lakini wapiganie mabadiliko ya Sheria kama wanawake walivyopigania wakisaidiwa na wanasiasa.
Kwel mkuu ila kubali kataa ndoa nying zimekaa kimchongo hasa hzi za mijin
SawaTumia manenos mazuri Yenye busara kidogo kumtazamia mwenzio kuwa shoga ni kosa kubwa Sana
Mamlaka gani iko tayari kusikiliza hoja za vijana ?! Hii serikali inayowanyima vijana ajira na kutoa upendeleo kwa wanawake au ipi ?!! Mamlaka zinazowafunga jela wanaume kwa kesi za uongo za ubakaji ?!!Kwa hiyo solution ni kukataa ndoa au kuongea na mamlaka husika juu ya maboresho ya baadhi ya sheria za ndoa!
Wazee mnapaswa kurudisha jando.πππ ewe mwanadamu wape neno hawa raia.. wapinga ndoa..
Ndoa haijawahi kuacha kuwa npango wa Mungu. Ujuaji wa binadamu wa kisasa hauwezi kufanya ndoa isiwe mpango wa Mungu.
Lakini pia kama unapinga ndoa unakuwa na agenda gani nyingine? Panga ndoa na uweke suluhu zake, ukipinga ndoa sisi tutajiuliza unataka nini, tuendeleze uzinzi na uasherati? Tupromote punyeto au turuhusu watoto wetu wawe mashoga na wasagaji?
Changamoto za ndoa ziwekewe solutions, na kama mmoja au wawili wanashindwa kumudu ndoa, wasiwe chanzo cha kufanya wengine wazikatae kwa kutoa sababu zosizo na mantiki.
πππ ewe mwanadamu wape neno hawa raia.. wapinga ndoa..
Mabinti zako nao wakikua watakutana na wakataa ndoa na wataishia kuzalishwa alafu watakua wametimiza lengo lako la kukataa ndoaMm nakataa ndoa ila nabinti zangu wawil mapacha nawapenda mno ,naomba nisihusishwe na chuki ya wanawake mkuu.