Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

ZIpo sheria ambazo zilipitia michakato halali lakini baadaye zikatambulika ni batili kwa sababu zilikuwa zinakiuka ustawi wa wadau wa sheria hizo

Sheria ya sasa ya ndoa ni mkataba unaokiuka haki za binadamu
 
Nimefatilia hoja kadhaa za wanaopinga ndoa kimsingi hoja zao zimejikita kwenye masuala ya kisheria na mienendo ya kimaadili ya wanawake wa leo hii. Wanaokataa ndoa hawapingi mahusiano ya mwanamke na mwanaume wala kutetea mahusiano ya jinsia moja kikubwa wanachokipinga ni sheria ya ndoa.

Mambo kama kugawana mali mkitalakiana wakati aliezitafuta ni mwanaume, mambo kama mwanamke kuweza kuchukua mkopo kwa jina la mumewe na mume ndie atawajibika kulipa bila kujali huo mkopo alinufaika nao au mke aliutuma kwa mambo ya ovyo ndio moja ya mambo yanayopingwa na wakataa ndoa kwa kuwa yanamkandamiza mwanaume.

Inawezekani sheria iliwekwa kuwalinda wanawake maana kwa kipindi hicho sheria inatungwa wanawake walikua wanawekwa nyuma katika nyanja nyingi kama elimu, ajira, kurithi mali n.k lakini character za wanawake wa kipindi hicho ni tofauti na wa leo.

Hawa wanawake wa leo tayari washajanjaluka kwaiyo wanatumia huo mwanya wa sheria kama nafasi ya upigaji ndio hawa wakina mobeto wanavizia kuzaa na wenye hela wakijua mzigo wa child support utakua mkubwa au kina klyn wanaonyemelea wazee matajiri kwa hesabu za kupata mgao kwenye mali ambazo hawajachangia chochote.

Bahati mbaya sana watetezi wa ndoa utetezi wao umejikita kwenye kejeri na dhiaka bila kupangua hoja za wanaokataa ndoa.

Binafsi nakubaliana na wanaokataa ndoa, sheria ya ndoa inahitaji kufanyiwa marekebisho. Kulingana wakati tuliopo sheria inatakiwa kumwangalia mwanamke kama predator na sio innocent creature kama ilivyo sasa kwa sababu hawa wanawake wa leo character zao ni tofauti kabisa na wanawake wa kipindi ambacho izo sheria zilitungwa
 
Robert Heriel akatumia neno Kali Sana akawaita 'NGEDERE' maana Wanapenda kuchuma visivyo vya kwao. Wana tabia ya kupe.

Ila hii wiki,vijana wa kataa ndoa wamecharuka sana,sijui wamepata na nini.
Siyo ngedere tu bali "ngedere wa maonyesho"

JF hii bana we acha tu.

Ushapona sawasawa doc au mpaka nikamuulize mpwa wangu?
 
Ogopa sana mwanamke anayekulazimisha kumuoa, anayekupigia kelele kila muda za eti tuoane tuoane, mpaka unioe n.k

Anadai kuwa mke mdogo huyo ndiye amani ya moyo wake. Mke huyo humpatia tabasamu la moyo. Anadai tatizo la mke mkubwa ni chuki, visa na minuno isiyo na miguu

Kaka mkubwa, unafahamu anayokufanyia mkeo mdogo?
Kama una tabia ya kukagua simu ya mwanamke uache mara moja, na hiyo miaka 50+ uliyonayo utakuja kufa kiholo kama mbuzi wa kafara

Kaka mkubwa, kabla hatujafahamiana, hata mimi nimewahi kumtongoza huyo mkeo, ila nilikuja kukimbia hilo balaa baada ya kugundua kuwa huyo mwanamke ana damu ya dudu ya kujaribu mikuyenge ya kila aina

Kaka mkubwa, pesa unazompatia za matumizi anazitumia kuandaa msosi kwa ajili ya kijana mmoja mrefu hivi, mweupe na mvaa mi ear phone nyeupe ndefu na vipensi visivyoistili vyema mironjo yake. Kwa mtazamo, huyo kijana anao. Kama anampeleka mkeo peku, basi jua tu ushauvaa

Bado ana ka kibenteni kengine keusi keusi hivi ambako kanamfanyia visa vya hapa na pale. Unaporudi nyumbani na kumkuta mkeo yuko na majonzi, jua tu sio kwa sababu yako, bali ni maumivu anayopatiwa na huyo kijana

Kaka mkubwa, unagharamia sana aisee, chumba cha mkeo kimesheheni mali ndani. Pongezi sana, unamjali! Isingekuwa kuficha codes ningelikutajia pako vipi na nisingehitaji kujibu swali la nilifika vipi humo ndani

Kaka mkubwa, mkeo ana bahati ya mtende. Hujawahi hata siku moja kuwahi tukio. Mkeo anagegedewa kwenye kitanda chako, ila tu unapofika kwako, dakika tano nyuma, mkeo anakuwa amekwisha agana na kipande cha kidali chenye midevu yake

Kaka mkubwa, mkeo sio mkimya kama unavyomuona, wala usidhani kwamba anaogopa wanaume kama anavyoku act ia. Kaka, umepigwa. Nakuomba utulie hivyo hivyo kama unaogeshwa, ukikurupuka tu, kile kiwanja mlichonunua na kile kiduka cha nafaka mtakipiga pasu. Mkeo tayari kashaandaa mashambulizi, pia wanaume wawili wamekwisha weka hisa zao hapo

UJUMBE: KATAA NDOA, NDOA NI WIZI, NDOA NI USALITI, NDOA NI KIFO, NDOA NI ZAIDI YA SHETANI, NDOA NI JEHANAMU

KIJANA, UTAKUFA KINYAKYUSA. ACHANA NA NDOA

MTAKUJA KUNIKUMBUKA
 
[emoji23][emoji23]Wew si umeninyima mpwawako
Bado mchakato unaendelea. Tena kafika jana tu. Nishampa mwongozo hapa na leo jioni tutakutafuta mpwa. Tatizo ni huyo dkt maana anakaba mpaka penati. Juzi nikamwona anajibebisha kwako kisa eti ana mafua. Kwani wewe umegeuka hospitali? [emoji51][emoji51][emoji51]

Kama PM yako iko open sema nije nikutumie snaps zake leo umuone. Tunakutaka sana katika ukoo wetu mpwa [emoji91][emoji91][emoji91][emoji3590][emoji3590]
 
Mental case.

Naanza kuamini kwenye hili kundi kuna vijana mnazibuliwa mitaro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…