Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Huyo bodaboda siku mwambie akusimulie pia kuhusu wadada wastaarabu,wanaojielewa siyo huyo mmoja tu akubadilishie mtizamo wako. Don't generalize na kutoa conclusion
Yaani hao wadada ambao wanaonekanaga wastaarabu,bodaboda akikufungukia,unaweza ukawa mseja milele,hongera sana wadada wanaojielewa,ambao hawajatulia,wajjstahi basi,maana unaweza ukawa na mapungufu,watu hawakwambii,ukawa unazidi kujitangaza kwa kugawa hovyo,ni sawa na mwanaume mwenye kibamia,mkewe anamjua kua ana kibamia,halafu anakua anamcheat mkewe,hiyo ni mbaya,mkeo anapata aibu na wewe mume mwenye kibamia,unajidhalilisha.
 
Kwakweli vijana msioe, tafuta watoto ufanye mambo yako yatakupa furaha, kuoa ni kujivika mabomu makubwa sana na kujisogeza karibu na kifo, hata Wanasayansi wakubwa wenye akili timamu hawakuoa, if you want to achieve grater things tafuta mwanamke mwenye akili au usioe kabisa...
Pitapita zangu baada ya shughuli nimekaa na mwana mmoja tunapanga mipango bodaboda ikashuka imebeba mdada mida ya saa 12 jioni, nikamwambia boda akirudi anipitie...

Alivyorudi akanambia broo unajua nini? Nikamjibu sijui!!! Broo sidhani kama nitaoa nikamuuliza kwanini? akajibu unamuona huyu mdada nimeshuka nae? Nikamjibu ndio, akasema huyu binti amekuja sokoni kuemea buhongwa hapo akapigiwa simu na hawara yake akaacha kapu la mboga kwa muuza mboga akadaka boda chap ili hawai kuchezea kongamano. Nikamuuliza amejuaje ni mke wa mtu? akasema anamjua vizuri alafu kavaa na pete, then akamwambia boda baada ya d.k 15 atampigia amfate amchukue.....

nikwamwambia boda wazo lako ni sahii imagine hapo mwanamke anarudi home mkavuuu kabeba kapu la mboga kumbe katoka kuchezea "boloyang"

Kuoa ni kujivika mabomu kudadeki
Buhongwa Mwanza,
Nilisha pigiaga sana hiyo kitaa,
Mademu, ronyo ronyo saaana,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwakweli vijana msioe, tafuta watoto ufanye mambo yako yatakupa furaha, kuoa ni kujivika mabomu makubwa sana na kujisogeza karibu na kifo, hata Wanasayansi wakubwa wenye akili timamu hawakuoa, if you want to achieve grater things tafuta mwanamke mwenye akili au usioe kabisa...
Pitapita zangu baada ya shughuli nimekaa na mwana mmoja tunapanga mipango bodaboda ikashuka imebeba mdada mida ya saa 12 jioni, nikamwambia boda akirudi anipitie...

Alivyorudi akanambia broo unajua nini? Nikamjibu sijui!!! Broo sidhani kama nitaoa nikamuuliza kwanini? akajibu unamuona huyu mdada nimeshuka nae? Nikamjibu ndio, akasema huyu binti amekuja sokoni kuemea buhongwa hapo akapigiwa simu na hawara yake akaacha kapu la mboga kwa muuza mboga akadaka boda chap ili hawai kuchezea kongamano. Nikamuuliza amejuaje ni mke wa mtu? akasema anamjua vizuri alafu kavaa na pete, then akamwambia boda baada ya d.k 15 atampigia amfate amchukue.....

nikwamwambia boda wazo lako ni sahii imagine hapo mwanamke anarudi home mkavuuu kabeba kapu la mboga kumbe katoka kuchezea "boloyang"

Kuoa ni kujivika mabomu kudadeki
Unaweza ukagongewa demu wako..!! Unless otherwise uwe mpiga nyeto au mnunuzi wa makahaba hapo ndo hutagongewa
 
Back
Top Bottom