Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Maumivu ya nafsi ni makubwa kuliko maumivu yoyoteee.

yoteyametimia
Accumen Mo
scolastika
buccaneer

Msisahau na kusoma post #94

#YNWA
Kama umeamua kutokuoa that Good for you Ila hutakua wa-kwanza na kutokuoa sio jambo la msingi sana Kama usiwe kero kwa wale ambao wanampango wa kuoa wako walioa wanafurahia maisha sana na wako walioa ndoa inawatesa,

Ambao hawajaoa wanakuwa na wakati mgumu sana wanapokua wazee unaweza ukaiponda sana ukiwa na nguvu ili wakati nguvu huna utajikuta unaoa bila kupenda
 
Mkuu kuoa siyo ishu,ishu ni kuambiwa haya;-

1.Hakuna kuachana Hadi kifo kiwatenganishe!

2.huruhusiwi kuwa na mwingine ubaki na mmoja tu hiyo ndio Amri ya Mungu!!

Mungu tusaidie wanaume, ndio maana ukishafikiri hayo unaweza ku -treaty kwenye Tabia za ajabu kama ulevi kupindukia au ngono uzembe!!
 
Mm FlyingDutchman nikiwa mojaa ya magreat thinkers wachache tunaopatikana JF smhn kama ntamuuz MTU yyte Kwa kujitanabaisha napenda Kuwambia vijaa that say it's a scam

Vijana wachache, wavivu ndo wanaojaribu kupotosha majority

Kijana tafuta pesa ukipata settle, oa kijana tengeneza familie hao ndo nduguzo

" Fainali uzeeni when solitude hit you ,it's when you will realise that only the empire you built will offer you consolation"

Good evening Africa ni hayo TU.
 
Mm FlyingDutchman nikiwa mojaa ya magreat thinkers wachache tunaopatika JF smhn kama ntamuuz MTU yyte Kwa kujitanabaisha napenda Kuwambia vijaa that's say it's a scam

Vijana wachache, wavivu ndo wanaojaribu kupotosha majority

Kijana tafuta pesa ukipata settle, oa kijana tengeneza familie hao ndo nduguzo

" Fainali uzeeni when solitude hit you it's when you will realise that only the empire you built will offer you consolation"

Good evening Africa ni hayo TU.
Umekuja na I'd mpya? Mbona kama ni rickboy
 
Mm FlyingDutchman nikiwa mojaa ya magreat thinkers wachache tunaopatika JF smhn kama ntamuuz MTU yyte Kwa kujitanabaisha napenda Kuwambia vijaa that's say it's a scam

Vijana wachache, wavivu ndo wanaojaribu kupotosha majority

Kijana tafuta pesa ukipata settle, oa kijana tengeneza familie hao ndo nduguzo

" Fainali uzeeni when solitude hit you it's when you will realise that only the empire you built will offer you consolation"

Good evening Africa ni hayo TU.
Naunga hoja mkono mkuu ...
 
Back
Top Bottom