Huo Yuanjia
Senior Member
- Feb 18, 2023
- 116
- 943
Wengi wanaokataa ndoa hawana nguvu za kiume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora nini ? Ukomalie ndoa ufe au uzalishe uendelee kuishi na mtoto umlee?
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba "ukalala naye mbele". Umenikumbusha hotuba za JPM aisee.Usijali. Ila kuna mjinga alinitoa kwenye reli nikalala naye mbele
Watoto watakaa kwangu mkuu , ninae mama mzur sana atawalea vizur sna huku nikipambana kutuma chochote kitu , angalau mama afurahie na wajukuu wake
Ina weza ikawa kwa sababu kamari unaweza kula pesa hii haionyeshi kwamba kamari ni kitu kizuri bado .Sio kila ndoa ina stress, kuna watu wapo single ila wana stress kuliko hata wenye ndoa. Ni majaaliwa ya mwenyezi tu.
Ni kwel mkuu bora ucheze kamari tuHata mimi waniombee
japo wanasema bora ufuge majini yatakuletea hela kuliko kufuga kiumbe Ke
ila mimi nasisitiza nita OA
kama ni bomu acha linilipukie tu
Ukweli ni kwamba tumeagizwa tuzaliane lakini hatujaagizwa kuoana kuwa ni lazima.
Kabisa mkuu, nitaoa siwezi kuacha kuoa kisa kuogopa changamoto za ndoa.Hata mimi waniombee
japo wanasema bora ufuge majini yatakuletea hela kuliko kufuga kiumbe Ke
ila mimi nasisitiza nita OA
kama ni bomu acha linilipukie tu
Inatokea ata kwenye ndoa watoto kubakwa na hata kulawitiwa kabsa , kwa hiyo bado sio sababu.Jana kuna single dad alileta uzi humu ana watoto wawili aliwapeleka kulelewa kwa bibi yao(mama yake huyo single dad)wa kiume miaka 8 anambaka mdogo wake(miaka 5) mpaka kumuumiza. Sasa hapo mnazalisha nini mkuu. Bora mkatae ndoa na kuzalisha ili kulinda kizazi kijacho
Wanawake sahihi ni yupi kama wanaweza igiza ata miaka 20Kama hauna mwanamke sahihi USIOE. Mwenye mwanamke sahihi OA. Maisha ya ndoa ni mazuri pale tu unapokua na mwanamke sahihi, kinyume chake utakufa mapema.
Mfano wako hauendani na madaIna weza ikawa kwa sababu kamari unaweza kula pesa hii haionyeshi kwamba kamari ni kitu kizuri bado .
Mkuu haya matukio yanaweza kutokea popote, kwanza wanawake wenyewe HAWAJUI KULEA siku hizi.Jana kuna single dad alileta uzi humu ana watoto wawili aliwapeleka kulelewa kwa bibi yao(mama yake huyo single dad)wa kiume miaka 8 anambaka mdogo wake(miaka 5) mpaka kumuumiza. Sasa hapo mnazalisha nini mkuu. Bora mkatae ndoa na kuzalisha ili kulinda kizazi kijacho
Inatokea ata kwenye ndoa watoto kubakwa na hata kulawitiwa kabsa , kwa hiyo bado sio sababu.
Hasa wanaoachwa upande wa mama , mtoto ili awe mtoto hasa wakiume akae na baba yakeWatoto wanaolelewa na single parent wana matatizo mengi,stress sana na kujishtukia. Ndo maana nasema mnazalisha kizazi cha ovyo
Yaani kufa kuko karibu sana na idadi ya wanawake wa sifa hizo nzuri imepungua.Kama hauna mwanamke sahihi USIOE. Mwenye mwanamke sahihi OA. Maisha ya ndoa ni mazuri pale tu unapokua na mwanamke sahihi, kinyume chake utakufa mapema.
Mkuu haya matukio yanaweza kutokea popote, kwanza wanawake wenyewe HAWAJUI KULEA siku hizi.
So sometimes ni kuomba Mungu watoto wanalelewa na jamii yote ni kuwa makini tu.
Hasa wanaoachwa upande wa mama , mtoto ili awe mtoto hasa wakiume akae na baba yake