lost cousin
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 212
- 369
NI AJABU NA KWELI
Hapa nyumbani nmehamia miezi 2 imepita nmekuta ndoa mbili na single mama 2 na single male 1 na mimi jumla single male 2.
HIVI SASA Yule single male mwenzangu kahama kahamia single mama na zile ndoa 2 si ndoa tena maana hyo nyumba nzima hakuna ndoa tena.Wote singular tu.
Mahusiano ni changamoto sana siku hz.
Hii ni hapa maskani nilipo sjui kaya zingne huko hali ikoje
Mungu tusaidie vijana wa zama hizi maana sasa ni umekuwa wakati mbovu sana kwa maendeleo ya jamii,ustawi wa familia na afya ya mahusiano.
SIJUI TATIZO NI NINI KWAKWELI.
Hapa nyumbani nmehamia miezi 2 imepita nmekuta ndoa mbili na single mama 2 na single male 1 na mimi jumla single male 2.
HIVI SASA Yule single male mwenzangu kahama kahamia single mama na zile ndoa 2 si ndoa tena maana hyo nyumba nzima hakuna ndoa tena.Wote singular tu.
Mahusiano ni changamoto sana siku hz.
Hii ni hapa maskani nilipo sjui kaya zingne huko hali ikoje
Mungu tusaidie vijana wa zama hizi maana sasa ni umekuwa wakati mbovu sana kwa maendeleo ya jamii,ustawi wa familia na afya ya mahusiano.
SIJUI TATIZO NI NINI KWAKWELI.