Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Unaweza kukuta kuna mtu nae yupo kwenye hii kampeni ya kataa ndoa ila yeye mwenyewe ameoa na ana familia yake,

Social media ni zaidi ya uijuavyo.
 
Mitihani yote niliyompa yule binti kanipigia mabanda kila kiunzi nilichomwekea mtoto wa kike kakiruka, mkuu mambo yakiwa sawa namweka ndani kuna kipindi akaniambia we km una wanawake zako huko endelea nao tu sitakufuatilia Ila isiwe sababu ya kunisahau mimi najua mwanaume hawezi kua na mwanamke mmoja, nikasema eenhe hapa ndio penyewe napenda niwe treated like a king ulisikia wapi mfalme ana mke mmoja?
Oa sasa uone cha mtema kuni. Atajisahaulisha kila kitu alichokwambia. Mtagawana hako kavitz kati kwa kati. Kachepuke uone.
 
Back
Top Bottom