Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Hayajakukuta wewe, aliyoandika wengine yametukuta ila tuko kimya tuu, sio lazima umwamini lakini kama una la kujifunza chukua linaweza kukusaidia maishani mwako
Boss na wewe alipita na mpunga akaenda kujenga gorofa mbili? Hizo pesa zinaibiwa over night?

Ninyi mnaona ni kawaida mtu kuchepusha pesa nyingi hivyo msigundue? Mnakuwa mko kuzimu au?

Sijasema kuwa watu hampigwi ila nakataa hii story ya jamaa yenu ni chai, kama ilipaswa iwe fundisho ni sahihi... hamna kingine.
 
Sio kila pesa ni hard earned, and to some of us to make money and to start again is just a game..
BTW sapiosexual nikulize utaiba vitu ambavyo hamna?
Therefore it was not hard earned money right? We unafanya kazi ya kuprint pesa au kudownload? Kumbe ni sahihi alivyozipiga huyo bi mdada.

Unazungumzia hizo international per-diem as if ni peke yako unalipwa humu ndani kwamba wote hatujui what it takes!! Kwamba unalundikiwa macash mkononi sio? 🤣

Na kwa taarifa yako hakuna watu wagumu kuwaibia pesa kama walio na pesa tayari, wenye akili ndogo ndio huibiwa kirahisi, tell me you are not the one! 😅

Deuces up man!
 
Therefore it was not hard earned money right? We unafanya kazi ya kuprint pesa au kudownload? Kumbe ni sahihi alivyozipiga huyo bi mdada.

Unazungumzia hizo international per-diem as if ni peke yako unalipwa humu ndani kwamba wote hatujui what it takes!! Kwamba unalundikiwa macash mkononi sio? 🤣

Na kwa taarifa yako hakuna watu wagumu kuwaibia pesa kama walio na pesa tayari, wenye akili ndogo ndio huibiwa kirahisi, tell me you are not the one! 😅

Deuces up man!
International organization perdiem, mileage and hardship ni kama shing ngap kwa siku kwa Miaka mitatu Mrs Sapiosexual?.. lots of hate and envy on your face darling...
Why don't you deal with the fact that you are dating dead broke @$$ niggas in the name of sapiowhat😀😀
 
International organization perdiem, mileage and hardship ni kama shing ngap kwa siku kwa Miaka mitatu Mrs Sapiosexual?.. lots of hate and envy on your face darling...
Why don't you deal with the fact that you are dating dead broke @$$ niggas in the name of sapiowhat😀😀
A real proud sapio... 🤣

Kuhusu hayo mengine, you don't know a damn thing! do you?? Japo ni kweli i never dated a rich guy, neither a broke a** niggas!

where you rich? 😉
 
Hzo ni zuga tu,lgbtq wanaingia kwenye ndoa kuzuga tu ila ukweli marinda washatatuliwa na wengi wanaingia ili kutojulikana na kupunguza pressure kwao ila mlioamua kujilipua ndio kama hvyo mmekuja n
Kwahiyo hata hata wewe huko kwenye ndoa umeingia kuzuga ila ni...,...
 
Do your father and mother share the same idea and stance? Just imagine. If they were as gullible as you are where would you be today? Stop this stupidity of generalizing everything as if all things are the same. What you went through are just normal. What you need to do is move ahead instead of generalizing one incident as if it is a typical replica of every marriage. Try to sit down and ponder on the matter afresh and see another side of it.
We jamaa yaani kufilisiwa na mwanamke, akaamua kutumia pesa zangu kujenga kwa ndugu zake "IS JUST NORMAL"??

Yaani vaporizing my hard earned money is NORMAL??

#YNWA
 
Usipambane na nature hutafanikiwa. Unatakiwa uje na takwimu kwamba. Tangu ujue ndoa ni ngap zimeishi na ngapi zimekufa na kutokana na ndoa tumefanikiwa kupata taasisi ya familia au jamii bora ngap au zimefeli ngapi. Usiige huu ujinga wa wazungu. Wao kwanza wamemkataa Mungu kwenye fahamu zao na kuamini sayansi. Pili wakaanza kupambana na taasisi ya ndoa kwa kukataa utawala wa mwanaume na kujifanya wanaleta haki sawa kitu ambacho kwa asili hakiwezekani. Tatu baada ya kuua taasisi ya familia sasa wamekuja na LGBTQ kuua uzao kabisa. Na ukiwasikiliza nyie wote ni kama mna hoja lakin chanzo ni kumkataa Mungu kuwatawala. Mungu ndie aliyeumba hii dunia na akaweka utaratibu ili tuishi vizur lazima ufuatwe. Sasa watu wanapambana na nature matokeo yake wanatokea masingle mothers kibao. Watoto wanalelewa bila baba. Wengine watoto wa maabara. Broda mtoto kwenye ukuaji asipoisikia sauti ya baba na Mama kwenye ukuaji kisaikolojia hayuko sawa. Huko ulaya Asia na Amerika leo hii serikali zinachangangikiwa watu hawazai kisa nini maisha magumu. Broda Rudi kwenye asili acha mbambamba. Hatuumbi dunia mpya. Ulikuwa watu wako hiv usifikir unavumbua dunia nyingine.

Haloo braza kwani wanavyotombew-a wanaume wenzako huko mtaani kwako HUONI?😳😳😳

Yaani:- Wanavyotendewa wenzako huko mtaani kwako HUONI?

#YNWA
 
Haloo braza kwani wanavyotombew-a wanaume wenzako huko mtaani kwako HUONI?😳😳😳

Yaani:- Wanavyotendewa wenzako huko mtaani kwako HUONI?

#YNWA
Hiyo mbona haijaanza leo mkuu. Usirudishwe nyuma na changamoto kama hizo.
 
Juzi nilitupia kijiuzi, kuhusu wanaume kugongewa wake zetu,na mwisho kabisa nikatoa maoni yangu ya nini kifanyike ili mradi tuepukane na kadhia hii inayowatafuna wanaume wengi,kwamba ni kukataa ndoa kwa hisia na uchungu sana.

Japo kuna watu walinisimanga kwa namna moja au nyingine,ila msimamo wangu ni ule ule.

Sasa leo nitaeleza kwa nini hasa niliona kuwa hilo ni suluhisho sahihi kabisa.

Miaka kama 6 hivi nilikuwa na demu mmoja ambaye kiukweli tulipendana sana tuu,alitambulika kwetu,nikajulikana kwao.

Mi kiasili ni mkimya sana na huwa sina mambo mengi,hata mtaani sikuwahi kuonekana na mademu,kwa kifupi sijawahi kuwa skendo za mademu mtaani.

Ila kwa nguvu ya mapenzi,yule demu alijulikana vizuri tu mtaani kuwa ni bebe yangu,japo hakuwa anatokea pale mtaani,yeye alikuwa anaishi zenji,mi nilikuwa mkoani.

Kuonana kwetu kulikuwa ni mpaka nipate likizo ya chuo,au yeye apate likizo ya kazi.

Kufupisha story, mahusiano yalidumu kwa muda wa miaka 5,tuliachana kwa amani kabisa kwa sababu ya tofauti za kidini, yeye hakuwa radhi kuhamia kwangu,mimi pia vile vile.

Sikuwahi kuwa karibu naye tena, baada ya kuachana kwetu, sababu naamini x ni x tu hupaswi kumuweka karibu hata dk 1, hata kama mliachana kwa amani.

Nilikuja kupata taarifa mwaka juzi kwa ndugu yake mmoja ambaye ni mshkaji wangu kuwa anaolewa,na ana mtoto tayari,muda huo nmeshamsahau kabisa.

Mwaka jana mwezi julai, nikiwa Dar, alienda home kwa mama,akiwa na mtoto wake kuniulizia,akaambiwa nimehamia dar muda mrefu, akapewa namba zangu ndo akaanza kunitafuta.

Mwaka jana huo huo,hatimaye aliolewa na kabla ya ndoa yake,nakumbuka siku moja nimetoka TRA,kulipia madeni ya kiusafiri changu kilidakwa, nikiwa njiani nakuta namba ngeni,kupokea naskia ananiita jina ambalo alikuwa anapenda kuniita tangu enzi hizo"SIR CHIEF"niliwahi kuhoji kwanini ananiita hivyo akanambia ananifananisha na jamaa moja mkorea sjui kwenye drama zao watoto wa kike.

Jina hilo alikuwa ananiita yeye peke ake dunia nzima,so endapo mtu akiniita hilo jina tu bila hata ya kumuona, akili yangu ingejua tu alikuwa ni yeye.

Hakutakiwa hata kujitambulisha,tukasalimiana pale akaniuliza mwezi december utakuepo home,nikamjibu hapana ntakuwa nimerudi dar,(december nilirudi home mkoani).

Akanambia naomba uwepo cos natarajia kuja huko kwa ajili ya kitchen party,nikamuahidi ntajitahidi,ila sikuweza kuendelea kubaki mkoani mpaka mwezi uishe so nkarudi zangu kwenye majukumu mengine dar.

Mwezi wa pili,ndipo alipoolewa ila hakuwahi kunitafuta baada ya kitchen party na sikuwahi kutaka kujieleza why skuhudhuria cos nazingatia mipaka kati yangu na x.

Juzi kati nipo nyumbani,tena chumbani nimekaa natazama mechi,demu angu amelala naskia simu yangu inaita,kupokea naskia tena "sir chief" nikamsalimia pale kama kawaida akawa anahoji vitu vya kawaida tu kama unaendeleaje,unafanya kazi gani,japo hilo sikumjibu.

akaniuliza "umeoa"?,nikamjibu "hapana ningeoa mbona ungejua tu,cos tupo wote kwenye group la form four leavers?"akasema kule alijitoa tangu kitambo,skumuhoji sababu za kujitoa.

akanambia utakuja lini zenji kumpa hi,uncle wako??nikasema sina biashara ya kunileta huko,(nilimdanganya,cos siku kuu ya idd nimepanga na mwanangu mmoja twende zetu zenji na bebe zetu).

Nikatoka nje,baada ya kuona nampigia kelele bibie aliyelala kwa raha zake,nikaenda choo cha public,huku bado naongea naye, nikamskia anaongea na mtoto wake,nikamwambia awasalimu wote kwao tukaishia hapo.

Nikarudi chumbani demu anawaka huyo aliyepiga simu ni nani,na kwanini ukaongelee nje,na kwanini kauliza kama umeoa,? Nikahoji umejuaje kama kauliza nimeoa,akasema nilikuwa naskia kila kitu,.(wakuu nilidata,kuweni makini na wanawake unaweza sema amelala kumbe anaskia kila kitu unachoongea hawa watu kwa kuigiza aseeee [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]).

Nikajitetea pale na kumwambia ukweli ila hakuonekana kuniamini,yeye alisimamia kauli yake kiwa aliyepiga simu ni x wangu mmoja kwa jina la neema,ambaye yeye ndo anafahamu na aliwahi kuleta noma sana mpaka mtaani ikawa soo. (neema popote ulipo ujikwake ulimi panya wee [emoji38]).

Wakuu jana ananitafuta anasema,kanimiss nanukuu,"sir chief unakumbuka kipindi kile ukiwa zenji,nimemiss sana zile moments unaweza kuja hata one wikiend?".

Nikamjibu,siwezi kuja zanzibar bila sababu ya muhimu,nikipata nitakuja .

Nahitimisha kwa kuhoji je,mkeo ulimkuta bikira,?je hana x?vipi kama mimi ningekuwa mtu wa kutake advantage kwenye hili suala,si ningeleta ufisi kwa mke wa mtu nikaenda kumrukia rukia,Niliwaambia wake zenu wakishapata mtoto tu nini huwa kinatokea???haya endeleeni kuwagusa gusa tu wake zenu wakutane na mafisi huko nje.

#KATAA NDOA,NDOA NI........
 
Back
Top Bottom