Firdaus9
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 1,196
- 2,797
Akili anazo ila wanawake tuna vitimbi vingi inahitajika mtu mwenye akili nyingi na mamlakaYaan unamaanisha mleta mada kwa kupigwa pesa zake hana akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili anazo ila wanawake tuna vitimbi vingi inahitajika mtu mwenye akili nyingi na mamlakaYaan unamaanisha mleta mada kwa kupigwa pesa zake hana akili
Ukitegemea mwanamke akukabie namba yako lazima afungishe tu.😆Kweli kabisa kila mtu acheze no yake sio kipa anataka kwenda mbele kushambulia 😄
SafiMuulize mume wake akwambie[emoji3]
Boss na wewe alipita na mpunga akaenda kujenga gorofa mbili? Hizo pesa zinaibiwa over night?Hayajakukuta wewe, aliyoandika wengine yametukuta ila tuko kimya tuu, sio lazima umwamini lakini kama una la kujifunza chukua linaweza kukusaidia maishani mwako
Therefore it was not hard earned money right? We unafanya kazi ya kuprint pesa au kudownload? Kumbe ni sahihi alivyozipiga huyo bi mdada.Sio kila pesa ni hard earned, and to some of us to make money and to start again is just a game..
BTW sapiosexual nikulize utaiba vitu ambavyo hamna?
International organization perdiem, mileage and hardship ni kama shing ngap kwa siku kwa Miaka mitatu Mrs Sapiosexual?.. lots of hate and envy on your face darling...Therefore it was not hard earned money right? We unafanya kazi ya kuprint pesa au kudownload? Kumbe ni sahihi alivyozipiga huyo bi mdada.
Unazungumzia hizo international per-diem as if ni peke yako unalipwa humu ndani kwamba wote hatujui what it takes!! Kwamba unalundikiwa macash mkononi sio? 🤣
Na kwa taarifa yako hakuna watu wagumu kuwaibia pesa kama walio na pesa tayari, wenye akili ndogo ndio huibiwa kirahisi, tell me you are not the one! 😅
Deuces up man!
A real proud sapio... 🤣International organization perdiem, mileage and hardship ni kama shing ngap kwa siku kwa Miaka mitatu Mrs Sapiosexual?.. lots of hate and envy on your face darling...
Why don't you deal with the fact that you are dating dead broke @$$ niggas in the name of sapiowhat😀😀
I think we really need to meet Sapio.. my dm is open..A real proud sapio... 🤣
Kuhusu hayo mengine, you don't know a damn thing! do you?? Japo ni kweli i never dated a rich guy, neither a broke a** niggas!
where you rich? 😉
Kwahiyo hata hata wewe huko kwenye ndoa umeingia kuzuga ila ni...,...Hzo ni zuga tu,lgbtq wanaingia kwenye ndoa kuzuga tu ila ukweli marinda washatatuliwa na wengi wanaingia ili kutojulikana na kupunguza pressure kwao ila mlioamua kujilipua ndio kama hvyo mmekuja n
We jamaa yaani kufilisiwa na mwanamke, akaamua kutumia pesa zangu kujenga kwa ndugu zake "IS JUST NORMAL"??Do your father and mother share the same idea and stance? Just imagine. If they were as gullible as you are where would you be today? Stop this stupidity of generalizing everything as if all things are the same. What you went through are just normal. What you need to do is move ahead instead of generalizing one incident as if it is a typical replica of every marriage. Try to sit down and ponder on the matter afresh and see another side of it.
Usipambane na nature hutafanikiwa. Unatakiwa uje na takwimu kwamba. Tangu ujue ndoa ni ngap zimeishi na ngapi zimekufa na kutokana na ndoa tumefanikiwa kupata taasisi ya familia au jamii bora ngap au zimefeli ngapi. Usiige huu ujinga wa wazungu. Wao kwanza wamemkataa Mungu kwenye fahamu zao na kuamini sayansi. Pili wakaanza kupambana na taasisi ya ndoa kwa kukataa utawala wa mwanaume na kujifanya wanaleta haki sawa kitu ambacho kwa asili hakiwezekani. Tatu baada ya kuua taasisi ya familia sasa wamekuja na LGBTQ kuua uzao kabisa. Na ukiwasikiliza nyie wote ni kama mna hoja lakin chanzo ni kumkataa Mungu kuwatawala. Mungu ndie aliyeumba hii dunia na akaweka utaratibu ili tuishi vizur lazima ufuatwe. Sasa watu wanapambana na nature matokeo yake wanatokea masingle mothers kibao. Watoto wanalelewa bila baba. Wengine watoto wa maabara. Broda mtoto kwenye ukuaji asipoisikia sauti ya baba na Mama kwenye ukuaji kisaikolojia hayuko sawa. Huko ulaya Asia na Amerika leo hii serikali zinachangangikiwa watu hawazai kisa nini maisha magumu. Broda Rudi kwenye asili acha mbambamba. Hatuumbi dunia mpya. Ulikuwa watu wako hiv usifikir unavumbua dunia nyingine.
Tomb--aaa halafu PITA HIVI...Uko siriazi kweli, na huyu unataka nani amuoe?
View attachment 2546780
Hiyo mbona haijaanza leo mkuu. Usirudishwe nyuma na changamoto kama hizo.Haloo braza kwani wanavyotombew-a wanaume wenzako huko mtaani kwako HUONI?😳😳😳
Yaani:- Wanavyotendewa wenzako huko mtaani kwako HUONI?
#YNWA
Mm siwez kuwa choko km wwKwahiyo hata hata wewe huko kwenye ndoa umeingia kuzuga ila ni...,...
Wew unadhan utajir ni target ya watu woteInawezekana kukaa bila.
Hebu google marriage status za matajiri duniani HAWANA MPANGO NA NDOA.
Na waliokua nazo WAMEACHANA NAZO.
Achana na kuoa upunguze matatizo.
#YNWA
Nani asiyependa hela hii Dunia?Wew unadhan utajir ni target ya watu wote