NCHI INAVIJANA WA OVYO
β€ŠET TUNAKIMBIA MAJUKUMU
MAJUKUMU KWA TAPELI
MAJUKUMU KWA MWIZI
MAJUKUMU KW VBAKA
MAJUKUMU KWA WANAOTUWINDA

KATAA NDOA
 

Attachments

  • Screenshot_20230415-174542.jpg
    32 KB · Views: 4
Kwani na wewe unakuwa influenced na hiyo kataa ndoa yao? Wewe kama unaoa oa tu na wale wanaokataa kuoa waache wakatae kila mtu na mtizamo wake....Mimi nimeoa lakini sijawahi kushawishika na kampeni zao na wala sijawahi kuwapinga kwenye kampeni zao.
 
πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨
 
U

Uku umejichanganya..🐸🐸
Rudi kule kwenye utopolo..🀑🀑
 
Hivi kweli kwa akili zangu timamu nitoe mahari nimnunue mwanamke aje kwangu niingie tena gharama ya kumtunza

Na bado akitaka talaka tugawane mali zangu pasu kwa pasu inahitaji mwanamume ajitoe akili ili aoe

Na bado mwanamke huyohuyo unayemhudumia achepuke na kuliwa kisela na wana nje πŸ˜…

KUOA NI KUCHUKUA SHIDA ZA MWANAMKE ZIWE ZAKO
 
We ni mvulana bado ni ngumu sana kuelewa mwanaume akiongea subiri uvulana ukikutoka ndo utanielewa
 
Mkuu unaweza fanya hivyo vyote bila hata kuwa na ndoa ,kukataa ndoa sio kukataa wanawake , na pia shida sio ndoa shida ni pale sheria za ndoa zilipovamiwa na tamaduni za kizungu na kupenyeza agenda zao za haki sawa , wanaume karibu dunia nzima hawapo salama kwenye sheria za ndoa sisizo simamia misingi ya asili , je wajua wanawake wahuni wengi wanatumia ndoa kama fimbo ya kuwaibia wanaume wapambanaji kisa tu wanafahamu sheria za ndoa zinawabeba? Je wajua wanaume wanao ona ndoa ni tatizo ni wale wanaume wanapenda kutafuta mali zao bila kusaidiana na wanawake ? Naamni kabsa wewe ni wale wanaume mnaosaidiana na mwanamke kujenga uchumi , wewe ni haki yako kabsa kupigwa pin na ndoa .
 
Mwanamke akishakuwa na kipato ni hatari sana....Tena kinachozidi chako ujue umekwisha..
binafsi siwez kuoa mwanamke mtumish et tusaidizane maisha hapana au hata kuwa na mahusiano nae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…