musicarlito JF-Expert Member Joined Dec 29, 2020 Posts 368 Reaction score 556 Feb 14, 2025 #2,281 nyiokunda said: Kwahiyo hutaoa ? Click to expand... Ndoa sio hisia ...tofautisha hisia za mwili wako na ndoa...wapo watu wanasherehekea miaka 50 70 na zaidi ya ndoa...hao nao ni hisia?
nyiokunda said: Kwahiyo hutaoa ? Click to expand... Ndoa sio hisia ...tofautisha hisia za mwili wako na ndoa...wapo watu wanasherehekea miaka 50 70 na zaidi ya ndoa...hao nao ni hisia?
nyiokunda JF-Expert Member Joined Jun 16, 2015 Posts 1,976 Reaction score 1,181 Feb 14, 2025 #2,282 musicarlito said: Ndoa sio hisia ...tofautisha hisia za mwili wako na ndoa...wapo watu wanasherehekea miaka 50 70 na zaidi ya ndoa...hao nao ni hisia? Click to expand... Sasa hapo ungemjibu aliye comment hiyo!
musicarlito said: Ndoa sio hisia ...tofautisha hisia za mwili wako na ndoa...wapo watu wanasherehekea miaka 50 70 na zaidi ya ndoa...hao nao ni hisia? Click to expand... Sasa hapo ungemjibu aliye comment hiyo!
Infropreneur JF-Expert Member Joined Aug 15, 2022 Posts 9,830 Reaction score 20,686 Feb 14, 2025 #2,283 nyiokunda said: Kwahiyo hutaoa ? Click to expand... Kuishi ni mwanamke si lazima kumuoa. Kama mmekutana watu wawili mnaopendana, hakuna haja ya ndoa. Mnaweza kuishi bila ndoa ili mkichokana kila mtu ashike njia yake. Sio mkichokana mmoja aanze kutaka mali za mwenzake kwa kigezo cha ndoa.
nyiokunda said: Kwahiyo hutaoa ? Click to expand... Kuishi ni mwanamke si lazima kumuoa. Kama mmekutana watu wawili mnaopendana, hakuna haja ya ndoa. Mnaweza kuishi bila ndoa ili mkichokana kila mtu ashike njia yake. Sio mkichokana mmoja aanze kutaka mali za mwenzake kwa kigezo cha ndoa.
Infropreneur JF-Expert Member Joined Aug 15, 2022 Posts 9,830 Reaction score 20,686 Feb 14, 2025 #2,284 musicarlito said: Kwa hoyo unapinga kabisa uwepo wa familia? Click to expand... Familia inaweza kuwepo bila ndoa. Kuna familia nyingi sana hazina ndoa. Mimi sipingi familia. Napinga ndoa. ile kuandikishana makaratasi na mkataba.
musicarlito said: Kwa hoyo unapinga kabisa uwepo wa familia? Click to expand... Familia inaweza kuwepo bila ndoa. Kuna familia nyingi sana hazina ndoa. Mimi sipingi familia. Napinga ndoa. ile kuandikishana makaratasi na mkataba.
Mtembezi Kichomi JF-Expert Member Joined Feb 24, 2022 Posts 696 Reaction score 993 Feb 14, 2025 #2,285 Infropreneur said: Familia inaweza kuwepo bila ndoa. Kuna familia nyingi sana hazina ndoa. Mimi sipingi familia. Napinga ndoa. ile kuandikishana makaratasi na mkataba. Click to expand... Mambo yamebadilika Mkuu.
Infropreneur said: Familia inaweza kuwepo bila ndoa. Kuna familia nyingi sana hazina ndoa. Mimi sipingi familia. Napinga ndoa. ile kuandikishana makaratasi na mkataba. Click to expand... Mambo yamebadilika Mkuu.