Kwahiyo hutaoa ?
Kuishi ni mwanamke si lazima kumuoa.

Kama mmekutana watu wawili mnaopendana, hakuna haja ya ndoa.

Mnaweza kuishi bila ndoa ili mkichokana kila mtu ashike njia yake.

Sio mkichokana mmoja aanze kutaka mali za mwenzake kwa kigezo cha ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…