musicarlito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2020
- 368
- 556
Wengi wamekosea lakini hawataki kujisahihisha ngali uwezekano upo...jeuri...ndoa inahitaji unyenyekevuBila ndoa unakuwa haujaishi bado!
Ndoa ina raha yaks bhana!
Ndoa inaheshimisha!
Kuna milango mingine ya riziki haiwezi funguka mpaka single kwenye ndoa!
Ambao hawako kwenye ndoa wanajiita kataa ndoa wanajifariji tu! huenda wajabahatika kupata machaguo sahihi!😊
Wenye makasiriko yao watauponda huu uzi hasa wanawake kurumbembe ambao wanatamani wholesale ila wamekosa watu sahihi wameamaua kujiita kataa ndoa
Wameamua kuiskashifu ndoa
Wan maneno yao ya mkosaji et "walioko kwenye ndoa wanatamani watoke" au wanaionja shubiri"
Hayo ni maneno wanayojipoza nayo!😆
Nways
musicarlito uzi mzuri sana huu umeongea point tupu
Wengine bado hawajakomaa hata kwa mahusiano...only a single heartbreak 💔 analia kataa ndoa...
Hao hao ndo usiku wanalia upweke na kuoshia kuwinda wame wake za watu...na wengine kuangukia katika ulevi na magonjwa ya akili