Nyamwi255
JF-Expert Member
- Dec 2, 2022
- 4,848
- 12,776
Bila ndoa unakuwa haujaishi bado!
Ndoa ina raha yaks bhana!
Ndoa inaheshimisha!
Kuna milango mingine ya riziki haiwezi funguka mpaka uingie kwenye ndoa!
Ambao hawako kwenye ndoa wanajiita kataa ndoa wanajifariji tu! huenda wajabahatika kupata machaguo sahihi!😊
Wenye makasiriko yao watauponda huu uzi hasa wanawake kurumbembe ambao wanatamani waolewe ila wamekosa watu sahihi wameamaua kujiita kataa ndoa
Wameamua kuiskashifu ndoa
Wana maneno yao ya mkosaji et "walioko kwenye ndoa wanatamani watoke" au wanaionja shubiri"
Hayo ni maneno wanayojipoza nayo!😆
Nways
musicarlito uzi mzuri sana huu umeongea point tupu
Ndoa ina raha yaks bhana!
Ndoa inaheshimisha!
Kuna milango mingine ya riziki haiwezi funguka mpaka uingie kwenye ndoa!
Ambao hawako kwenye ndoa wanajiita kataa ndoa wanajifariji tu! huenda wajabahatika kupata machaguo sahihi!😊
Wenye makasiriko yao watauponda huu uzi hasa wanawake kurumbembe ambao wanatamani waolewe ila wamekosa watu sahihi wameamaua kujiita kataa ndoa
Wameamua kuiskashifu ndoa
Wana maneno yao ya mkosaji et "walioko kwenye ndoa wanatamani watoke" au wanaionja shubiri"
Hayo ni maneno wanayojipoza nayo!😆
Nways
musicarlito uzi mzuri sana huu umeongea point tupu