Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
Kama ukiweza kumpagawisha mke wako kitandani ukamkuna kisawa sawa utakuwa na maisha rahisi chini ya jua. I swear lakini kama humridhishi mwanamke wako vizuri hatakuheshimu, hata kuheshimu hata kidogo. Kila siku atakuwa anatafuta sababu ya kugombana na wewe.

Mfanye akutetemekee akuone wewe ni wa thamani chini ya jua.
Umeoa lini!!?

Pole,hiyo ni stage itapita Hadi pale wanaume wenzio wa nje watakapoanza kumfundisha namna ya kuishi na wewe na jinsi ya kuku spin Kwa dharau ndio utaelewa!
 
wewe kama uaona hauna faida unapata kwenye ndoa au ukioa wewe piga puli baba, zoa malaya, endelea na maisha yako hatuwez kufanana naweza kukuaminishanapata kitu flani ww usikipate kila mtu ashinde mechi zake
 
Back
Top Bottom