Let me say it again.
YOU ARE THE MAN.

Sasa kwetu sisi ndoa is a big joke.

mara nyingi huwa tunawaview nyie married fellas as dancing clowns(my bad).
Well and good, its a free world. Ila kikubwa tu hamna kunakokosekana changamoto. But when it comes to proper and accurate decisions being done failure rate is minimal.
 
wow!
wooooow!

mpo wachache sana wa design yako.
 
Hahahahahah umeona tatizo hilo, kuna jamaa alikuwa fogo hatari mwamba ni mwarabu ana trucks na kampuni ilikuwa anaingiza hela kinoma. Kapata mwanamke wa kitanga mwarabu mzuri balaa. Shida ikawa jamaa hela zake zaliwa tu na mwanamke hapo kashamuoa hela ikikata vurugu ndani ya nyumba ila kwa uzuri yule binti ni mashaallah aunt Samia.
Kesi hazikauki yani jamaa aliacha mke mkubwa ila ikabidi arudishe majeshi tu. 😀😀😀
 
Mashoga ndio hamtaki ndoa, mnduku wako umeharibika unadhani utaweza ndoa wewe?


Endelea kupigwa miti wanaume tutaoa.
Unachafua Hadhi ya kuwa verified mkuu kwa comment zako hapa IQ yako inaonesha wewe hata Simu hukutakiwa kumiliki
 
wow!
wooooow!

mpo wachache sana wa design yako.
ndio mana bado nasisitiza nawaweka kwenye maombi yangu Allah awape wanawak sahihi wallahi ndoa ni tamu mno ukimpata mtu sahihi, shida ya wanawake wa kizazi hiki wanajidai hawaijui shida na maisha hayana formula kuna siku neema itawashukia kuna kipindi msoto utawajia had mtaanza kujiuliza kama kuna uwepo wa Mungu lakini mkisimama imara au mwanamke akisimama imara maisha yanakwenda
 

kuna sehemu hujaelewa au umeelewa ila umepuuzia, sasa unapokula kila kibwenye na kukitema wenye vibwenye unatengenezea hali gani akilini ile response yao ndio tuitazame,inaweza isiwe leo wala kesho, soma tena walaka.
 
wengi tukiamua kuishi maisha halisi maisha yatakua mepesi kwamba uhalisia wangu ni huu mtu ana uamuzi wa kwenda nao au kuacha
 
Ndoa na iheshimiwe na watu wote waseme amina.
 
Hao vijana wana hoja nzito wasikilizwe na hoja zao zijibiwe,hata hivyo kama unaweza kupata maziwa bure yanini kufuga ng’ombe.

Tambua mabadiliko ya tabia nchi yanakuja na mengi.

Mabadiliko ya tabia ya nchi ndo inakufanya ukimbie nchii!?
 
Ndio tatizo kubwa na wanaume hatujui yupi sahihi na yupi sio sahihi maana wengine wanakuwa waigizaji.
Sasa wanawake wengi asilimia 80% wa mjini wao wanajifanyaga hawazijui shida ila yote hio ni sababu ya malezi mabovu.

Mama amekuwa akimlea mtoto wake wa kike kwa kudanga leo baba huyu kesho baba yule. Unafikiri akikuwa mkubwa atakuwa na adabu na wanaume. Siongei mbovu ila you can not expect Paula wa Kajala aje kuwa mwanamke wa kutulia na kuvumilia dhiki.

Too bad wanaume tukiwa na upepo wa hela huwa tunahisi we can attract and change anything to be at our favor. Ofcourse hela itasaidia kum fool mwanamke kwa kipindi flani ila when she gets to her senses tatizo linaanza. Mtu kaokota mwanamke mjini huko labda dukani anataka amgeuze mke well mwanamke atakuigizia tu. Akishaipata ndoa you are doomed.
 
Kaa mazingira haya yakudhihirishie Kwanini KATAA Ndoa tuko sahihi
1: Kambi za jeshi,polisi
2: Vyuoni
3;Vikundi vya kwaya

NB; Hutotuelewa Mpaka yakukute
kwani unaishi kwa kumfata mwengine namna anavyoishi?? yan kisa wanafunzi wa chuo hawajatulia wanchukuana wao kwa wao bas unaona watu wote wapo hivyo?? angalia vidole vya mikono kimoja ni kirefu vengine vifupi na Mungu ndio kaiumba hivo dunia kupishana uwiano uwe sawia
 
HATUTAKI NDOA ILA SIO KWAMBA HATUTAKI MBUSUSU.
MBUSUSU TUTAZISUGUA TU ILA SIYO KUFUNGA NAZO PINGU ZA MAISHA.

#KataaNdoaNiUtumwa
#JaliAfyaYakoYaAkili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…