Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
Let me say it again.
YOU ARE THE MAN.

Sasa kwetu sisi ndoa is a big joke.

mara nyingi huwa tunawaview nyie married fellas as dancing clowns(my bad).
Well and good, its a free world. Ila kikubwa tu hamna kunakokosekana changamoto. But when it comes to proper and accurate decisions being done failure rate is minimal.
 
as long as wenyewe wameridhiana sitaingia uhuru wake kabisa, kumuelekeza mtoto atafte mwenye mali nako sio nzuri aolewe hata na anaeuza uono ili mradi wamependana na dini zao ni moja mimi naozesha kwa kweli mam yake sikuingiliwa maamuzi yangu mimi ni nani nije kumuingilia yake?? hata awe ustadhi wa chuoni maadam ameridhia kwa hiari yake na wameridhiana ataolewa maskini naye ana roho kumwambia atate tajiri ni kumuandaa mtoto ambae akipata shida kidogo ndoani ataikimbia ndoa ndio mana napenda kuwazoesha watoto wangu hali zote wajue kuna watu wengine huishi maisha kama hayo
wow!
wooooow!

mpo wachache sana wa design yako.
 
mimi ninaye ndugu wa karibu alioa mke kwa kigezo cha uzuri, na kwa uzuri Allah alimbariki mdada ni mzuri tena sana mashallah lakini ndio hivo mkikaa mkiona mwezi huu kimya hamna kesi mjue mume kasafii siku akiingia tu watu wanagombana hakulaliki lakini hivi sasa ameshamuacha
Hahahahahah umeona tatizo hilo, kuna jamaa alikuwa fogo hatari mwamba ni mwarabu ana trucks na kampuni ilikuwa anaingiza hela kinoma. Kapata mwanamke wa kitanga mwarabu mzuri balaa. Shida ikawa jamaa hela zake zaliwa tu na mwanamke hapo kashamuoa hela ikikata vurugu ndani ya nyumba ila kwa uzuri yule binti ni mashaallah aunt Samia.
Kesi hazikauki yani jamaa aliacha mke mkubwa ila ikabidi arudishe majeshi tu. 😀😀😀
 
Mashoga ndio hamtaki ndoa, mnduku wako umeharibika unadhani utaweza ndoa wewe?


Endelea kupigwa miti wanaume tutaoa.
Unachafua Hadhi ya kuwa verified mkuu kwa comment zako hapa IQ yako inaonesha wewe hata Simu hukutakiwa kumiliki
 
wow!
wooooow!

mpo wachache sana wa design yako.
ndio mana bado nasisitiza nawaweka kwenye maombi yangu Allah awape wanawak sahihi wallahi ndoa ni tamu mno ukimpata mtu sahihi, shida ya wanawake wa kizazi hiki wanajidai hawaijui shida na maisha hayana formula kuna siku neema itawashukia kuna kipindi msoto utawajia had mtaanza kujiuliza kama kuna uwepo wa Mungu lakini mkisimama imara au mwanamke akisimama imara maisha yanakwenda
 
Hapo sijaona hoja yako wewe mleta mada, swala ni kukataa ndoa na sio kukataa Kibwenye

Tofautisha ndoa na Kibwenye, ndoa ni utumwa yanini ujipe stress, hzo ajenda za upinde sema tu wewe mtoa mada ndo unaipush na ushindwe ulegee


KATAA NDOA NI UTUMWA

kuna sehemu hujaelewa au umeelewa ila umepuuzia, sasa unapokula kila kibwenye na kukitema wenye vibwenye unatengenezea hali gani akilini ile response yao ndio tuitazame,inaweza isiwe leo wala kesho, soma tena walaka.
 
Hahahahahah umeona tatizo hilo, kuna jamaa alikuwa fogo hatari mwamba ni mwarabu ana trucks na kampuni ilikuwa anaingiza hela kinoma. Kapata mwanamke wa kitanga mwarabu mzuri balaa. Shida ikawa jamaa hela zake zaliwa tu na mwanamke hapo kashamuoa hela ikikata vurugu ndani ya nyumba ila kwa uzuri yule binti ni mashaallah aunt Samia.
Kesi hazikauki yani jamaa aliacha mke mkubwa ila ikabidi arudishe majeshi tu. 😀😀😀
wengi tukiamua kuishi maisha halisi maisha yatakua mepesi kwamba uhalisia wangu ni huu mtu ana uamuzi wa kwenda nao au kuacha
 
Huu ujinga wa vijana wa hovyo ambao hamtaki kuwa responsible na maisha ya familia ikiwa ni kutunza mke na watoto mnaosambaza humu mitandaoni ni upuuzi wa kiwango cha standard gauge.

Pia kuna kundi la vijana ambao sio riziki pia wanaojihusisha na maswala ya kugawa speaker aina ya "tweeter" naona hii kampeni wanaishabikia sana maana wanaona wingi wa wanawake ni threat kwa soko lao la mitarimbo.

Kama hujajipanga kiakili na kimkakati usije ukathubutu kuoa. Ndoa ni kwa watu strong mentally and physically fit. Wewe ukiwa unaona kabisa mwanamke atakuzidi ujanja basi kaa pembeni kimya na uache kulisha ujinga vijana waliojipanga kukabiliana na ndoa na kutengeneza familia na jamii bora.

Kama ishu ni mali kuna form huwa inajazwa kabla ya kufungishwa ndoa inayo state kama kuna mali zozote ambazo zinamilikiwa kabla ya ndoa.

Hakuna sababu ya kulia lia tafuta mali zako sajili kampuni ziandikie hizo mali za kampuni. Kisha ukioa muende mkaishi kwenye nyumba ya kampuni mbona ishu iko simple. Mwanasheria wako wa kampuni ndio atalinda mali zako kama hutaki mkeo ahusike nazo.

Kama hayo hapo juu yatakushinda basi una haki ya kutafta mashangazi kokote mjini ili uweze kujipatia huduma ya kuaminika bila kujiingiza kwenye mkataba wa ndoa. Acheni ujinga wa kupumbaza wenzenu.
Ndoa na iheshimiwe na watu wote waseme amina.
 
Hao vijana wana hoja nzito wasikilizwe na hoja zao zijibiwe,hata hivyo kama unaweza kupata maziwa bure yanini kufuga ng’ombe.

Tambua mabadiliko ya tabia nchi yanakuja na mengi.

Mabadiliko ya tabia ya nchi ndo inakufanya ukimbie nchii!?
 
ndio mana bado nasisitiza nawaweka kwenye maombi yangu Allah awape wanawak sahihi wallahi ndoa ni tamu mno ukimpata mtu sahihi, shida ya wanawake wa kizazi hiki wanajidai hawaijui shida na maisha hayana formula kuna siku neema itawashukia kuna kipindi msoto utawajia had mtaanza kujiuliza kama kuna uwepo wa Mungu lakini mkisimama imara au mwanamke akisimama imara maisha yanakwenda
Ndio tatizo kubwa na wanaume hatujui yupi sahihi na yupi sio sahihi maana wengine wanakuwa waigizaji.
Sasa wanawake wengi asilimia 80% wa mjini wao wanajifanyaga hawazijui shida ila yote hio ni sababu ya malezi mabovu.

Mama amekuwa akimlea mtoto wake wa kike kwa kudanga leo baba huyu kesho baba yule. Unafikiri akikuwa mkubwa atakuwa na adabu na wanaume. Siongei mbovu ila you can not expect Paula wa Kajala aje kuwa mwanamke wa kutulia na kuvumilia dhiki.

Too bad wanaume tukiwa na upepo wa hela huwa tunahisi we can attract and change anything to be at our favor. Ofcourse hela itasaidia kum fool mwanamke kwa kipindi flani ila when she gets to her senses tatizo linaanza. Mtu kaokota mwanamke mjini huko labda dukani anataka amgeuze mke well mwanamke atakuigizia tu. Akishaipata ndoa you are doomed.
 
Kaa mazingira haya yakudhihirishie Kwanini KATAA Ndoa tuko sahihi
1: Kambi za jeshi,polisi
2: Vyuoni
3;Vikundi vya kwaya

NB; Hutotuelewa Mpaka yakukute
kwani unaishi kwa kumfata mwengine namna anavyoishi?? yan kisa wanafunzi wa chuo hawajatulia wanchukuana wao kwa wao bas unaona watu wote wapo hivyo?? angalia vidole vya mikono kimoja ni kirefu vengine vifupi na Mungu ndio kaiumba hivo dunia kupishana uwiano uwe sawia
 
HATUTAKI NDOA ILA SIO KWAMBA HATUTAKI MBUSUSU.
MBUSUSU TUTAZISUGUA TU ILA SIYO KUFUNGA NAZO PINGU ZA MAISHA.

#KataaNdoaNiUtumwa
#JaliAfyaYakoYaAkili
 
Back
Top Bottom