kabisa kabisa
 
Mungu Akubariki madam, wewe pamoja na Ndoa yako
 
ole wenu wazinzi wa dunia kuna saa itafika mtatamani ndoa ila mtakuwa meshachelewa Mungu aliyeianzisha taasisi ya ndoa hadhihakiwi pigo ni hapahapa
 
Muwapumzishe mashogaa bas, hizo kataa ndoa ni za wazinzi. Msitake kila jambo [emoji2380] wahusike khaaaah.

Wewe hutaweza kuelewa na hata ukielewa hautakuwa tayari kukubali, hivyo we tumia matundu yako kwa amani yako ya “haki za binadamu”…

Wewe kukushauri binafsi siwezi ila tunawashauri wazee wa “kataa ndoa” ili wasitumike kwenye utengenezaji wa watu wengine kama wewe kitabia sio kiuumbaji.
 
Kuna mwingine ni mpiga nyeto maarufu, ndo dalali wao
 
Sasa kama hatuwezi pata watu sahihi unashauri nini madam!!!? Na maandiko hayakutwambia Oaneni mkateseke
hii sikuiona

Mungu alishatuumba kwa pair, yupo amini kwamba sababu bado unapumua bas mkeo yupo somewhere wakat wa Mungu ukifika wewe mwenyewe utaona huyu ndie yule sahihi utaona ana vigezo muhim sio kope ndefu wala miguu ya kujaa ana tabia ambazo zitakupendeza ukumbukue tu ukiolea miguu ya bia au umbo na uzuri wa uso mwanamke ana stage siku akibeba ujauzito akajifungua lazima abadilike, kam atazngatia kunyonyesha lazima masiwa yatabadilika ndio happ umeoa maziwa yamesimama sasa yamelala unaanzakuhaha kutafta mwengine kuna tabia kama huruma, uchaMungu, mapenz yadhati, heshima, kuvumilia hivi hua vinadumu mpaka mtu anakufa


sasa siku ukifa duniani umemaliza, means ndio bastena lakini sababu unapumua utapata tu wa kwako kwa wakati wa Mungu naamini
 
Uongo mtupuu huu, nyie kila kitu ni [emoji2380], ifike hatua muwapumzishe, m deal na wazinzi wapinga ndoa.

Khaaaaaah
 
Yeah hapa mkuu umemaliza kila kitu
 
Its very true wanaume inabidi tuoe ila jipange kwanza 🍯
 
Ya kwao ni maoni na ya kwako pia ni maoni mwisho wa siku kila mtu atachagua anachoona ni sawa kwake
 
Kwanini msikatae zinaa kabla ya ndoa?
 
let me skull you
wakataa ndoa ni wanaume wanaotambua thamani yao, tuna value our freedom, respect and inner peace.
Listen my brother, maisha yako na routine zako kimaisha hazibadilishwi na ishu ya ndoa. You are free to pursue your goals kama kawaida. Ndoa isn't going to be an obstacle ya wewe kuendelea kukua.

If it happens mtu uliyechagua kuwa nae ana stagnant growth yako thats must be your own problem and not a public issue.
 
Hahahahahah wanawake wana nguvu sana ukiingia kwenye 18 zao. The weak fall prey.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…