Ndoa ni dalili moja wapo ya kutokamilika kiakili ndo maana unatafuta mtu akusaidie/akutawale
Odd thinking, mtu anakutawalaje ikiwa una akili timilifu. Malengo ya kuwa pamoja sio mtu kumtawala mwenzie. Unity inayotafutwa ni ya kutengeneza familia bora.
 
yanini uishi kibabe.

ipo hivi mkuu ukisha sign contract role inabadilika.

nikisema ulikuwa mdhaifu kiasi kwamba njia pekee yaku mkeep ni ndoa?

mara paap sex performance zero.
Unaoa kwa ajili ya Sex?🤣
 
Si useme ukweli we mchicha mwiba unafilimbwa! Una elements zote za down low! Shababi hawezi kataa ndoa hata siku moja! keep exposing yo self

Uanaume ni kuongoza familia.
Mtoto atakuwa choklet fleva huyo
 
HATUTAKI NDOA ILA SIO KWAMBA HATUTAKI MBUSUSU.
MBUSUSU TUTAZISUGUA TU ILA SIYO KUFUNGA NAZO PINGU ZA MAISHA.

#KataaNdoaNiUtumwa
#JaliAfyaYakoYaAkili
How ndoa ni utumwa?

Kama kitu kinakataliwa kisa kinaleta utumwa vip hukus pesa upo tiyar kuikataa?
 
Sijui kwan hawakuelew [emoji2369]
 
Je mnafuata kanuni zipi za ndoa?
kutoka wapi?

kama ni za baibo! HAPANA.
Ndoa zenu hazifuati misingi ya baibo hata kidogo.

ndoa=tendo la ndoa

mwanamke anapoliwa for the 1st time ile ndio inakuwa ndoa yenye baibo inaitambua(talk about it?).

kama hujamkuta bikra! utueleze hapa mnachofungaga ni kitu gani?
 
Angalia maisha ya wamarekani kuhusu swala zima la mahusiano utapata picha halisi ya sisi tutakuja kuwaje.
Yakoje mkuu? Give us in a nutshell hasa tuliozaliwa, kusomea na tunaishi Nanguruwe.
 
Yo G?
kuna mwamba huko kaanzisha uzi wake nenda kamsaidie me nimeogopa hata kuufungua,

UZI UNASOMEKA HIVI
"MKE WANGU ANANIPA TENDO KWA MASIMANGO"

twende mkuu nikaone unavyomfundisha jamaa games.
nitapenda kujifunza kutoka kwako mkuu twendee.
🤣 Jamaa anateseka kiasi hicho
 
Hayaja kukuta mkuu
 
Kuna watu wapo kwenye ndoa na kibwenye wanakiona kwenye porn
 
Sheria za ndoa zibadilishwe kataa ndoa kwa sasa ina afya kuliko mauaji na malalamiko ya kila siku kwa baadhi ya wenzetu walipigwa pini kwenye ndoa
 
Sheria za ndoa zibadilishwe kataa ndoa kwa sasa ina afya kuliko mauaji na malalamiko ya kila siku kwa baadhi ya wenzetu walipigwa pini kwenye ndoa
We jinsi gani? Pls
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…