Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
Ndoa ni dalili moja wapo ya kutokamilika kiakili ndo maana unatafuta mtu akusaidie/akutawale
Odd thinking, mtu anakutawalaje ikiwa una akili timilifu. Malengo ya kuwa pamoja sio mtu kumtawala mwenzie. Unity inayotafutwa ni ya kutengeneza familia bora.
 
yanini uishi kibabe.

ipo hivi mkuu ukisha sign contract role inabadilika.

nikisema ulikuwa mdhaifu kiasi kwamba njia pekee yaku mkeep ni ndoa?

mara paap sex performance zero.
Unaoa kwa ajili ya Sex?🤣
 
Si useme ukweli we mchicha mwiba unafilimbwa! Una elements zote za down low! Shababi hawezi kataa ndoa hata siku moja! keep exposing yo self

Uanaume ni kuongoza familia.
Mtoto atakuwa choklet fleva huyo
 
HATUTAKI NDOA ILA SIO KWAMBA HATUTAKI MBUSUSU.
MBUSUSU TUTAZISUGUA TU ILA SIYO KUFUNGA NAZO PINGU ZA MAISHA.

#KataaNdoaNiUtumwa
#JaliAfyaYakoYaAkili
How ndoa ni utumwa?

Kama kitu kinakataliwa kisa kinaleta utumwa vip hukus pesa upo tiyar kuikataa?
 
Sijamaanisha upinde wote wanatokea pale pasipo na ndoa ila nimeisema kama moja consquences ya kukataa ndoa, ambapo hili limekuja kuwa hot sambamba na hii hashtag.

Halafu pia Upinde sio kwa jinsia Me pekee tuwaangalie na jinsia Ke pia.

Endapo zile chapa tembea zikizidi jinsia Ke watayachukia mapenzi halafu wataona bora watembezeane koboleo wao kwa wao, Ukoboaji ukitamalaki huku jinsia Me zitakumbana na scarcity ya Tundus hapo sasa ndipo itakapo kuja kutamalaki na kwa jinsia Me kulana kama Dinosaurs.

Ndio maana nasisitiza kama hii hashtag itawin sio leo wala kesho, Upinde watapata njia rahisi hapa kwetu.
Sijui kwan hawakuelew [emoji2369]
 
Listen my brother, maisha yako na routine zako kimaisha hazibadilishwi na ishu ya ndoa. You are free to pursue your goals kama kawaida. Ndoa isn't going to be an obstacle ya wewe kuendelea kukua.

If it happens mtu uliyechagua kuwa nae ana stagnant growth yako thats must be your own problem and not a public issue.
Je mnafuata kanuni zipi za ndoa?
kutoka wapi?

kama ni za baibo! HAPANA.
Ndoa zenu hazifuati misingi ya baibo hata kidogo.

ndoa=tendo la ndoa

mwanamke anapoliwa for the 1st time ile ndio inakuwa ndoa yenye baibo inaitambua(talk about it?).

kama hujamkuta bikra! utueleze hapa mnachofungaga ni kitu gani?
 
Yo G?
kuna mwamba huko kaanzisha uzi wake nenda kamsaidie me nimeogopa hata kuufungua,

UZI UNASOMEKA HIVI
"MKE WANGU ANANIPA TENDO KWA MASIMANGO"

twende mkuu nikaone unavyomfundisha jamaa games.
nitapenda kujifunza kutoka kwako mkuu twendee.
🤣 Jamaa anateseka kiasi hicho
 
Huu ujinga wa vijana wa hovyo ambao hamtaki kuwa responsible na maisha ya familia ikiwa ni kutunza mke na watoto mnaosambaza humu mitandaoni ni upuuzi wa kiwango cha standard gauge.

Pia kuna kundi la vijana ambao sio riziki pia wanaojihusisha na maswala ya kugawa speaker aina ya "tweeter" naona hii kampeni wanaishabikia sana maana wanaona wingi wa wanawake ni threat kwa soko lao la mitarimbo.

Kama hujajipanga kiakili na kimkakati usije ukathubutu kuoa. Ndoa ni kwa watu strong mentally and physically fit. Wewe ukiwa unaona kabisa mwanamke atakuzidi ujanja basi kaa pembeni kimya na uache kulisha ujinga vijana waliojipanga kukabiliana na ndoa na kutengeneza familia na jamii bora.

Kama ishu ni mali kuna form huwa inajazwa kabla ya kufungishwa ndoa inayo state kama kuna mali zozote ambazo zinamilikiwa kabla ya ndoa.

Hakuna sababu ya kulia lia tafuta mali zako sajili kampuni ziandikie hizo mali za kampuni. Kisha ukioa muende mkaishi kwenye nyumba ya kampuni mbona ishu iko simple. Mwanasheria wako wa kampuni ndio atalinda mali zako kama hutaki mkeo ahusike nazo.

Kama hayo hapo juu yatakushinda basi una haki ya kutafta mashangazi kokote mjini ili uweze kujipatia huduma ya kuaminika bila kujiingiza kwenye mkataba wa ndoa. Acheni ujinga wa kupumbaza wenzenu.
Hayaja kukuta mkuu
 
Ukikataa ndoa inamaana huakika wa kibwenye huna mpaka ulaghai laghai na kununua halafu unakuwa huru kwenye majumba ya starehe huko na kulala popote sababu huna wajibu wala majukumu mwishowe kuna siku nyege zako zitakutana na upinde.

KATAA NDOA inawezekana kweli ni mbinu ya upinde kujiongezea soko. Mwanaume asiye na ndoa ni mwanaume anayeruka ruka, uwezekano wa kuruka na kutua asipotegemea ni mkubwa.
Kuna watu wapo kwenye ndoa na kibwenye wanakiona kwenye porn
 
Sheria za ndoa zibadilishwe kataa ndoa kwa sasa ina afya kuliko mauaji na malalamiko ya kila siku kwa baadhi ya wenzetu walipigwa pini kwenye ndoa
 
Sheria za ndoa zibadilishwe kataa ndoa kwa sasa ina afya kuliko mauaji na malalamiko ya kila siku kwa baadhi ya wenzetu walipigwa pini kwenye ndoa
We jinsi gani? Pls
 
Back
Top Bottom