Ngoja nipate kwanza jagamasta,
nione mapovu ya wavulana wisiotaka kuoa na wasichana wanaotaka kuolewa
 
dr lumilo, swali moja tu kwako.
Je? Bi mkubwa wako alikua Ni single mother?
Jibu Hilo kwanza ili niepuke kukukwaza kwenye maoni ntakayotoa.
 
Naono umewamwua kunjibu ile mithu iliyokuwa inalalaminka jaano kunyimwa paputhi na Semeji yetho hapwa Jamii Flaamo....[emoji4]
 
Dah atakua ashapigwa tukio huyu si bure
 
Aloooh msitupangie namna ya kuishi kama nimeamua kuwa self made TOWASHI.
 
Na wanawake wenyewe hawataki kuolewa na wavulana kama nyie...wataolewa na wanaume wanaojitambua, wanaoutambua uanaume wao na nafasi zao kama wanaume na waume za watu.

Nyie subirini mkue kwanza
Mkuu ngoja tutafute pesa tu wanawake wazuri wapo hakuna mwanamke mzuri atakae kuvumilia uspo kuwa na pesa , hakuna mwanamke mzuri anavumilia shida ukishakuwa na pesa nyingi ndoa ya nini wakati watoto wazur wanazaliwa kila sku.
 
Ni kweli ndoa zimekuwa ndoana ...being single is cool nowadays ...ila nawaasa msikae single mkaanza kutoboana suruali huko
Hakuna kuwa single tunakataa ndoa za vyeti tu , sheria zimebana mno upended wetu bora kukataa ndoa
 
Unapata wapi jjeuri hiyo ya kupinga agizo la MUNGU, wewe nani hata uharibu uumbaji wa Mungu aliagiza mtu na awe na mke wake, unadhani kuacha ndiyo kutatua tatizo?,Kwahiyo unapendekeza waziliane watoto watalelewa na mitaa au majalaa?
Hakuna agizo Mungu aliagiza usaini vyeti na kupigwa Pete kama mbwa , ila lipo agizo tuzaliane tuijaze dunia
 
Vijana wamekuw wa hovyo sana hawataki kuoa, coz hawana nguvu za kuime kwa sababu ya kupiga punyeto mwisho wanaishia kupakwa mafuta ndio wanakuja na hii kampeni ya kukataa ndoa
Ndoa ya kusaini ina husiana vp na kuchakata mkuu mbona tunawachakata mpka wake wa nyie mwenye vyeti
 
Suleiman alivyozichakata wake 700 na masuria 300 alipata laana gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…