weenae kwani nimekuambia tunabishana hapa?tangulini nikabishana nakiumbe dhaifu/mwanamke?...
Mamako ndo dhaifu ndo maana akazaa kiumbe kisichojielewa kama wewe. Mnawasemaga wanawake kwa kuangalia mifano ya wazazi wenu huko😆 yani uzaliwe na housegirl ukatelekezwe ulelewe na bibi uje udhani wanawake wote ndo walivyo kama uliko kulia mbona poleee
 
Mbona unatukana mama za watu ?
 
makasiriko ya nini?kwani hupati hedhi wewe Hadi usiwe dhaifu?kitendo chakutoka midamu/hedhi ni uzaifu tosha.
 
makasiriko ya nini?kwani hupati hedhi wewe Hadi usiwe dhaifu?kitendo chakutoka midamu/hedhi ni uzaifu tosha.
Sibishani na mtu ambae shimo moja likiguswa kwisha habari yake Egonmillion na wewe ungana hapa. Kuparamia visivyokuhusu una tofauti gani na wanaopata hedhi sasa.

Kisa mama zenu dhaifu ndo mnadhani wanawake wote. Isingekua hiyo hedhi nyie mngezaliwa? Au mnadhani mlikuja kwa bao la mkono. Shikeni adabu zenu
 
Hii post imekewe lamination kwa faida ya vizazi vijavyo
 
Mara nyingi watu kama ww aidha ni mtoto wa chupa au mtoto wa mitaani usiyejua umuhimu wa familia. Lastly inawezekana ulitupwa hukuwa na wazazi wa kukulea. Madhara ya mtu asiyewahi kulelewa na wazazi wake ni makubwa sana mara nyingi mnakuwa na rejection spirit. Pole sana aisee
 
Na hili ndio tatizo ni ngumu Sana kumkatalia x kama mmekutana kwenye hali ambayo may be hauko sawa kidg na mmeo ndo matatizo uanza hapo
 
Mimi nimeshasema Kwa sheria zinazoongoza Dunia sasaivi aisee Sioi yan mwanamke akikufanyia ujinga eti inabid umvumilie maan ukitaka kumuacha yeye anakuwahi Kweny Sheria ili mgawane Mali awe amekukomoa.... Kwa hali hyo NDOA NI UTAPELI KWA KARNE HII MIMI SIOI. labda nikae tu na mwanamke ndani bila Makaratasi yoyote yanayoonyesha kwamb huyo ni mke wangu.
 
umefunga Uzi Ndugu Agiza kinywaji chochote hapo Haraka Sana
 
Kitu ambacho hujakielewa ni kwamba Watu hawajakataa Kukaa ndani(kuishi na mwanamke kama mke wako) ila wamekataa kusaini makaratasi/Mikataba yanayoonyesha huyo ni mke wako.... Maan ukishasaini tu hayo makaratasi basi mwanaume umejiweka kitanzini mwenyewe.


Kwahyo ni Kheri umchukue tu mwanamke uishi nae hata miaka yote mpka uzeeni pasipo kufunga naye hizo ndoa za makaratasi maan hizo mzee ni Balaa tupu Zinampa mwanamke Nguvu sana kuliko Mwanaume hizo ndoa ni mpango wa Shetani na Mawakili wake ambao ni Dini wakisaidiana Na machawa ambao ni Sheria za kiserikali za Dunia.
 
Messi ana ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…