Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
weenae kwani nimekuambia tunabishana hapa?tangulini nikabishana nakiumbe dhaifu/mwanamke?...
Mamako ndo dhaifu ndo maana akazaa kiumbe kisichojielewa kama wewe. Mnawasemaga wanawake kwa kuangalia mifano ya wazazi wenu huko😆 yani uzaliwe na housegirl ukatelekezwe ulelewe na bibi uje udhani wanawake wote ndo walivyo kama uliko kulia mbona poleee
 
Mamako ndo dhaifu ndo maana akazaa kiumbe kisichojielewa kama wewe. Mnawasemaga wanawake kwa kuangalia mifano ya wazazi wenu huko😆 yani uzaliwe na housegirl ukatelekezwe ulelewe na bibi uje udhani wanawake wote ndo walivyo kama uliko kulia mbona poleee
Mamako ndo dhaifu ndo maana akazaa kiumbe kisichojielewa kama wewe. Mnawasemaga wanawake kwa kuangalia mifano ya wazazi wenu huko😆 yani uzaliwe na housegirl ukatelekezwe ulelewe na bibi uje udhani wanawake wote ndo walivyo kama uliko kulia mbona poleee
Mbona unatukana mama za watu ?
 
Mamako ndo dhaifu ndo maana akazaa kiumbe kisichojielewa kama wewe. Mnawasemaga wanawake kwa kuangalia mifano ya wazazi wenu huko😆 yani uzaliwe na housegirl ukatelekezwe ulelewe na bibi uje udhani wanawake wote ndo walivyo kama uliko kulia mbona poleee
makasiriko ya nini?kwani hupati hedhi wewe Hadi usiwe dhaifu?kitendo chakutoka midamu/hedhi ni uzaifu tosha.
 
makasiriko ya nini?kwani hupati hedhi wewe Hadi usiwe dhaifu?kitendo chakutoka midamu/hedhi ni uzaifu tosha.
Sibishani na mtu ambae shimo moja likiguswa kwisha habari yake Egonmillion na wewe ungana hapa. Kuparamia visivyokuhusu una tofauti gani na wanaopata hedhi sasa.

Kisa mama zenu dhaifu ndo mnadhani wanawake wote. Isingekua hiyo hedhi nyie mngezaliwa? Au mnadhani mlikuja kwa bao la mkono. Shikeni adabu zenu
 
Hiki kizazi kipo very civilized.

Mfano Mimi ni introvert sipendi kelele Wala kumfokea mtu au Mtu anipigie kelele pia sipendi kukaa karibu na mtu yoyote chumba kimoja.

Maana yake Mimi sihitaji Mwanamke na sio dhambi sisi introvert tumeumbwa hivyo.

Ndoa zinapigiwa chapuo na watu wenye IQ ndogo wanaodhani Furaha yao inatokana na Binadamu.

Mtu makini (Introvert) Hana shida na hizo na kampani fake za kuuana na kutiana Hasara.

Then mtu Kama Mimi sihitaji kuacha Legacy ya Mwanamke na mtoto hela zangu ndogo ntasaidia Yatima ,wafungwa ,wajane nk sio kwa ajili ya Mwanamke.

Nampogeza muhasisi wa kampeni ya Kataa Ndoa Mr Liverpool VPN hakika wewe ni shujaa

Pia tuendelee na No Fap challenge no time to waste.
Hii post imekewe lamination kwa faida ya vizazi vijavyo
 
Hiki kizazi kipo very civilized.

Mfano Mimi ni introvert sipendi kelele Wala kumfokea mtu au Mtu anipigie kelele pia sipendi kukaa karibu na mtu yoyote chumba kimoja.

Maana yake Mimi sihitaji Mwanamke na sio dhambi sisi introvert tumeumbwa hivyo.

Ndoa zinapigiwa chapuo na watu wenye IQ ndogo wanaodhani Furaha yao inatokana na Binadamu.

Mtu makini (Introvert) Hana shida na hizo na kampani fake za kuuana na kutiana Hasara.

Then mtu Kama Mimi sihitaji kuacha Legacy ya Mwanamke na mtoto hela zangu ndogo ntasaidia Yatima ,wafungwa ,wajane nk sio kwa ajili ya Mwanamke.

Nampogeza muhasisi wa kampeni ya Kataa Ndoa Mr Liverpool VPN hakika wewe ni shujaa

Pia tuendelee na No Fap challenge no time to waste.
Mara nyingi watu kama ww aidha ni mtoto wa chupa au mtoto wa mitaani usiyejua umuhimu wa familia. Lastly inawezekana ulitupwa hukuwa na wazazi wa kukulea. Madhara ya mtu asiyewahi kulelewa na wazazi wake ni makubwa sana mara nyingi mnakuwa na rejection spirit. Pole sana aisee
 
Unakuta mwanamke ana ma-ex 16, alafu hapo bado anawasiliano na ma-ex 12. Kwenye hilo kundi wapo vijana hata wanne ambao wakiomba mechi lazima wapewe tu, alafu mimi ndio nakuja kujiokotea huyu mtu namuoa nakua namuita 'mke wangu kipenzi'. Hapo mnaanza kula kwa zamu sasa na kina Juma, Mwamedi, Hans mwishoe mimba kumbe katoto sio kako mhusika ni Jafeti. Hiiii
Na hili ndio tatizo ni ngumu Sana kumkatalia x kama mmekutana kwenye hali ambayo may be hauko sawa kidg na mmeo ndo matatizo uanza hapo
 
Mimi nimeshasema Kwa sheria zinazoongoza Dunia sasaivi aisee Sioi yan mwanamke akikufanyia ujinga eti inabid umvumilie maan ukitaka kumuacha yeye anakuwahi Kweny Sheria ili mgawane Mali awe amekukomoa.... Kwa hali hyo NDOA NI UTAPELI KWA KARNE HII MIMI SIOI. labda nikae tu na mwanamke ndani bila Makaratasi yoyote yanayoonyesha kwamb huyo ni mke wangu.
 
badala ya kuangalia tatizo nini mnaanza kuwafokea hawa vijana sio wajinga wala hawajakataa mahusiano na wanawake wanachokataa wenyewe ni ule mkataba au kiapo (ndoa) ambao kimsingi sheria na kanuni zake haziendani na maisha halisi katika jamii pia ndoa imeingiliwa na mambo za kiserikali
swali la kujiuliza kwanini vijana wa sasa hawaweki paumbele kwenye kuoa tofauti na wazee au vijana wa miaka iliyopita?
jibu ni kwamba ukiangalia wazee wa zamani walikuwa wakioa wanapata mali na ardhi kutoka kwa wazazi wake kama zawadi au urithi,heshima kutoka kwenye jamii na hata kwa mke wake,wengi walikuwa wanapata wake bikra kwa asilimia kubwa,haki ya umiliki wa watoto,full control ya familia yake ni ngumu sana kukuta maamuzi ya baba yanaingiliwa hata serikali hivi ndio vitu vilivyokuwa vina wahamasisha wanaume waoe kwa wakati huo
sasa njoo kwa wanaume wasasa ambao wanatarajia kuoa kwanza inabidi ajiandae gharama za mahari ambayo alipiwi na mzazi kama zamani,
gharama za sherehe ambayo sio kitu cha lazima lakini sasa kwa binti wengi wa sasa ni kama lazima vile,
kusaini na viapo kitu ambacho MUNGU mwenyewe amekataza viapo lakini ndio kinachofanyika kanuni kabisa ya ndoa sio kwenda kuapa na kusaini ilikuwa ni kubaliki na kuwatakia wanandoa maisha mema,
kwa asilimia kwenye shughuri za ndoa asilimia kubwa hamna mali wala zawadi ambayo anapata mtoto wa kiume pale zaidi ya kutoa pesa zake na labad vipongezi vichache ambavyo haviendani na gharama alizotumia,
umiliki watoto asilimia kubwa za sheria za sasa mtoto ni wamama wengi wababa huimizwa kuhudumia watoto lakini tukienda kwenye mahakama haki umiliki wa mtoto ume base sana kwa mama hii unaweza ukaona haipo lakini ukikuta na mwanamke king'anizi ndio unaweza elewa vizuri,control ya familia imebase sana kwenye external force maamuzi na kanuni nyingi za familia inategemea ana serikali,mahakama,dini na mtazamo wa jamiii tofauti na zamani maamuzi ya familia yalikuwa yanatoka kwa baba na hata wanaume wakipindi hicho walikuwa wana haki ya kuwaadhibu wake zao kwa talaka kwa urahisi zaidi tofauti na sasa ambako mpaka serikali,dini na mahakama mpaka vijilizishe bado utakuta lazima ugharamie hiyo talaka,
kuoa wanawake wasio bikra hii mnaweza kuona kama utani yani hipo hivi jinsi mwanamke anavyo feel proud kuolewa na mwanaume tajiri,maarufu na mwenye kipaji basi ndivyo mwanaume anavyofeel kupata na kuoa mke bikra mwanaume anayeoa mke wake akiwa bado mbichi huwa wengi wao hua na furaha sana,
umefunga Uzi Ndugu Agiza kinywaji chochote hapo Haraka Sana
 
Nyie wapinga ndoa hoja zenu zina ukweli na uhalisia hasa kwa mtu aliyekutana na masahibu ya ndoa na kunusurika kuumiza au kuumizwa. Ndoa si kitu cha kukimbilia kutokana na migogoro ya kutisha ilyopo ndani ya ndoa japo mwanzoni ni raha na mapenzi motomoto. Ishu inakuja kama ndoa ikikataliwa ni jamii gani itajengwa? Ina maana wanawake wataishi na watoto wao peke yao? Maana kwa mtazamo wenu wameibuka hata wanawake hawataki ndoa ila mapenzi wanafanya na wanapata watoto bila baba wa kueleweka. Hii kampeni imeanza kimzahazaha itaenea kama moto kwenye msitu wa nyika. Wapo wengi tu wanaona ndoa ni mzigo, kuzaa wanazaa ila hawataki kuishi na waliozaa nao yaani mume na mke
Kitu ambacho hujakielewa ni kwamba Watu hawajakataa Kukaa ndani(kuishi na mwanamke kama mke wako) ila wamekataa kusaini makaratasi/Mikataba yanayoonyesha huyo ni mke wako.... Maan ukishasaini tu hayo makaratasi basi mwanaume umejiweka kitanzini mwenyewe.


Kwahyo ni Kheri umchukue tu mwanamke uishi nae hata miaka yote mpka uzeeni pasipo kufunga naye hizo ndoa za makaratasi maan hizo mzee ni Balaa tupu Zinampa mwanamke Nguvu sana kuliko Mwanaume hizo ndoa ni mpango wa Shetani na Mawakili wake ambao ni Dini wakisaidiana Na machawa ambao ni Sheria za kiserikali za Dunia.
 
Messi ana ndoa
Kijana kataa ndoa , ndoa ni utapeli kwa dunia ya sasa , haina faida yoyote kwa mwanaume wa sasa., afya yako ya akili ni muhimu kuliko ndoa cr7 hana ndoa Messi hana ndoa billgate alikua na ndoa sasaiv anatatizo la akili ,kijana kataa ndoa kabsa hasa hizi za kikristo ni mwiba mkali mno
 
Back
Top Bottom