Ujinga mtupu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 887
- 2,010
Una mnato,........ nije niwekee moto au....We sema tu hudindishi
Maana naona una nyg
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una mnato,........ nije niwekee moto au....We sema tu hudindishi
Ujinga gani mzee.Mnazidi kulishana ujinga mjue ninyi
Hatutaki huu upupuBody language expert naomba taarifa haraka.... Hapa hajaolewa Yuko HV [emoji16]
View attachment 2512923
Nasisitiza NDOA NI UPUMBAVU.Ndoa ni upumbavu tu
Kataa ndoa haija poteza ubora labda ulikua haujui maana ya ndoa.Mmeanza kudelute msemo wenu wa kataa ndoa....aisee,nasema ivi Kila goti litapigwa mtaoa tu[emoji847]
Sio tu kuzaa ovyo tunazaa pia na wake zenu wa ndoaMkikataa ndoa msizae hovyo kima nyie
Hayo ni yako sasa🤗Kataa ndoa haija poteza ubora labda ulikua haujui maana ya ndoa.
Hatuna shida na hilo mtembee na bullet proof na Mafuta msisahauSio tu kuzaa ovyo tunazaa pia na wake zenu wa ndoa
Mkuu siku ikatokea nimebananishwa kuliko nipakwe mafuta nitajiua chap kama wasamarai.Hatuna shida na hilo mtembee na bullet proof na Mafuta msisahau
📢Mnaibrand kwa kuendelea kuiongelea kila siku…
Mnaooa oeni
Wanaokataa waacheni
Mkuu, soma bandiko langu between lines. Unless kama umeamka na hangaover (natania [emoji2])Hujajibu hoja ZAO!!!
Umetoa maoni!!
Waambie KWANINI ndoa siyo utapeli kea wanaume!!?
Waambie kwanini wasiogope kugeukwa na wake zao wapatapo mali NYINGI!?
Waonyeshe pia na takwimu ya wanawake waliofiwa na waume zao na kuachiwa mali NYINGI na wanamiliki kwamba ni za Uongo na vice versa ni true!
Waambie ili kuwatoa wasiwasi!!