Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
Unafikiri tatizo ni ndoa? Ndoa sio tatizo mkuu, tatizo lipo hapo kwenye sheria/haki za kipumbavu zilizowekwa kwa ajili ya kumtetea sana mwanamke na kumuacha mwanaume vulnerable.

Ukitaka kuamini hilo tafuta demu mtaani anzisha mahusiano mtaenda vizuri na furaha tele ila ingia nae kwenye ndoa hautachukua mwezi utakuja na uzi wako unalia lia maana mwanamke anakuwa na kiburi, dharau na kujiamini vibaya mno

Ila hawa wanawake wasiringe sana maana kitu ambacho kinakuja kutokea ni kibaya sana yale maisha ya sodoma na gomora tumeanza kuyaishi, ambapo mwanaume shoga alipewa thamani kuliko mwanamke

Haki za wanawake zitapotea siku si nyingi, kutakuwa na haki za mashoga, thamani ya mwanamke itapotea.

Leo hii shoga akienda ubalozi wa marekani akaomba viza kwenda marekani atapewa viza mapema bila usumbufu wowote, hali inatisha.
 
Mkuu, soma bandiko langu between lines. Unless kama umeamka na hangaover (natania [emoji2])

Kimsingi, nilichoandika siyo maoni, labda utoe tafsiri yako ya msamiati "maoni" kabla sijaenda mbali zaidi.

Nilichosema ni kwamba kama kijana wa Kikristo (ME) akiishi kwenye misingi ya neno la Mungu hawezi kujenga hoja yoyote ya kuwashawishi vijana wenzake wasioe.

Lakini kwasababu Taasisi ya ndoa ni kati ya ME na KE, mtoto wa kike pia ana part ya ku-play ili asiwe chanzo cha lawama kwamba yeye ndiye anasababisha mifarakano kwenye ndoa na kuwafanya vijana wa kiume waogope kuoa.

Nadhani umenielewa sasa.
Mkuu si UOE ??

Watu wanakataa kuoa hawakukatazi wewe kuoa ,,sijui umeelewa!!

Oa mkuu.
 
Hapa umengoea na kundi fulani, hujaongea na wote wapo ambao watakupinga na wewe usipingane nao, ishi unachoamini waache waishi wanachoamini. Hatuwezi kufanana.
Indeed, mkuu. Na ndiyo maana bandiko langu limeanza na phrase, "Kwa sisi Wakristo".

Hata hivyo naamini hata kule upande wa pili mafundisho yao kwenye maswala ya ndoa hayawezi kupishana sana na haya.

Nimependa hapo, "Hatuwezi kufanana".
 
Mnaibrand kwa kuendelea kuiongelea kila siku…
Mnaooa oeni
Wanaokataa waacheni
Kuacha kulizungumzia jambo flani na kuacha "lacuna" hakufanyi jambo hilo kupuuzwa, pengine hatari zaidi inaweza kusababishwa kwa kuvunga tunalipotezea wakati lipo. Ni afadhali vijana waendelee kufundwa ili kuandaa kizazi cha vijana wawajibikaji.

Nimependa tu hapo, "Mnaooa oeni, Wanaokataa waacheni". Period!
 
Kwa sisi Wakristo, ukisoma Kitabu cha Mwanzo 1:28 Biblia inasema, "Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi na kuitiisha;...".

Sikatai kwamba tunaweza tukaziliana bila ndoa, lakini huu ni uzinzi ambao ni dhambi machoni pa Mungu, na watoto ambao ni zao la uzinzi ni chukizo kwa Mungu. Soma 1Wakorintho 7:1-2, neno la Mungu linasema, "...heri mwanamume asimguse mwanamke. Lakini kwasababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe" (mume au mke anayezungumziwa hapa ni yule wa ndoa).

Ukisoma Mithali 18:22 neno linasema, "Apataye mke apata kitu chema, naye ajipatia kibali kwa Bwana".

Kibali ni nini? Kibali ni hali ya kukubalika katika jambo/kitu fulani. Kumbe ukioa unapata kibali kutoka kwa Mungu, hii ina maana hakuna jambo/kitu ambacho utatia mkono wako kisifanikiwe.

Kwanini vijana tunadanganyana kwamba tusioe?

Shida ni moja tu, mifarakano kwenye Taasisi ya ndoa ndiyo imesababisha kampeni hii huku wanaume tukiwatupia lawama wanawake kwamba wao ndiyo chanzo cha mifarakano hii, jambo ambalo si kweli.

Ukisoma 1Petro 3:7 neno linasema, "Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili, na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe". Acha kushindana na mwanamke, Biblia imeshasema kwamba mwanamke ni chombo kisicho na nguvu, usishindane naye.

Sasa ni wanaume wangapi wanakaa na wake zao kwa akili? Wangapi wanawapa wake zao heshima kama neno linavyotufundisha? Wangapi hawashindani nao? Interesting part ya andiko hilo hapo juu ni kwamba ukilitii au ukilitimiza basi KUOMBA KWAKO HAKUTAZUILIWA, yani hakuna kitu utaomba kwa Mungu kisitimie, hapa najifunza kwamba wake zetu wanabeba mafanikio yetu endapo tukiwaheshimu na kuishi nao kwa akili.

Aidha, ukisoma 1Petro 3:1, wanawake wanaaswa KUTUTII WAUME ZAO. Sasa ni wanawake wangapi wanawatii waume zao? Lakini pia ukisoma Mithali 14:1 Biblia inasema "Mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake, bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe". Je, ni wanawake wangapi wenye hekima za kujenga nyumba zao kwa kutofuata ushauri mbaya wanaoshauriwa na marafiki zao ambao pengine wao hawajaolewa?

Hapa najifunza kwamba kila upande (ME na KE) unapaswa kuishi kwenye misingi yake ili Taasisi ya ndoa ilete tija iliyokusudiwa. Shida haiko kwa wanaume au wanawake tu; ingawa kuna upande unaweza ukawa una matatizo zaidi.

Niwe mkweli tu, upande wenye matatizo zaidi ni upande wetu wa ME. Mwanamke ukimpenda, ukimthamini, ukimtunza kwa kadiri ya kipato chako, ukimheshimu, NAKUHAKIKISHIA kwamba mwanamke huyu hawezi kukukosea heshima. Ukiona mwanamke amekengeuka ujue kuna shida mahali, na kwa kawaida mwanamke huwa anapenda mara moja tu, akichoka amechoka, huwa harudi nyuma.

Ni rai yangu kwa wanaume wenzangu kwamba tusiogope kuoa. Na unapomtafuta mwenza nakusihi usitumie macho na hekima ya kibinadamu bali umtangulize Mungu mbele. Usioe makalio, sura n.k. Sura siyo roho; kwamba akiwa na sura nzuri basi ana roho nzuri.

Mimi sijaoa ila I am on the way. Niko single but seriously searching. Mungu atusaidie vijana wote wenye dhamira ya dhati ya kuoa. Muwe na week end njema.

Alisema zaeni mkaongezeke sio mfunge ndoa mana kuzaa unazaa tu bila hata ndoa.
 
Unafikiri tatizo ni ndoa? Ndoa sio tatizo mkuu, tatizo lipo hapo kwenye sheria/haki za kipumbavu zilizowekwa kwa ajili ya kumtetea sana mwanamke na kumuacha mwanaume vulnerable.

Ukitaka kuamini hilo tafuta demu mtaani anzisha mahusiano mtaenda vizuri na furaha tele ila ingia nae kwenye ndoa hautachukua mwezi utakuja na uzi wako unalia lia maana mwanamke anakuwa na kiburi, dharau na kujiamini vibaya mno

Ila hawa wanawake wasiringe sana maana kitu ambacho kinakuja kutokea ni kibaya sana yale maisha ya sodoma na gomora tumeanza kuyaishi, ambapo mwanaume shoga alipewa thamani kuliko mwanamke

Haki za wanawake zitapotea siku si nyingi, kutakuwa na haki za mashoga, thamani ya mwanamke itapotea.

Leo hii shoga akienda ubalozi wa marekani akaomba viza kwenda marekani atapewa viza mapema bila usumbufu wowote, hali inatisha.
Nimekuelewa mkuu.

Kwenye maisha kuna kanuni moja ya asili inasema, "ukianza na Mungu lazima utamaliza na Mungu".

Shida ni moja kwamba, tukiwa kwenye mchakato wa kutafuta wenza wetu huwa hatuanzi na Mungu, matokeo yake Mungu anashindwa kumaliza na sisi.

Ndiyo maana unakutana na msichana kituko ambaye baadaye anakusababishia sonono moyoni sambamba na magonjwa yasiyoambukiza (au hata ya kuambukiza); au pengine hata kifo katika umri mdogo.
 
Mkuu siku ikatokea nimebananishwa kuliko nipakwe mafuta nitajiua chap kama wasamarai.
Kuna mwenzio nilimkosa nilisikia amekuja kwangu kama kwake nikaenda kuazima Gun kwa ndugu yangu nilitaka nimtandike yeye na shemeji yake
 
Kama wewe binafsi umeona CHANGAMOTO ZA NDOA zinakwepwa kwa kutokuoa...basi BAKI HIVYO HIVYO NA UFUSKA WAKO USIOE...

Sio kutwa kushinda kusambaza kampeni ya KISHETANI usioe...eti kisa ndoa ina changamoto nyingi...

Mkimaliza kukimbia changamoto za ndoa kwa wanawake...mtakuja kupiga kampeni juu ya CHANGAMOTO ZA MAMA ZENU...kwa sababu nao ni wanawake...

Kwanza MWANAUME RIJALI KAMILI HAKIMBII CHANGAMOTO...ANAZIKABILI...ANAPAMBANA NAZO...

Isije kuwa nyie mnaopiga kampeni watu wasioe...ni AGENTS WA USHOGA...Kwahiyo kwenye suala la kuoa mnatumia kama njia tu foreplay...ili mfikie malengo yenu ya kusambaza ushoga...

Kwa sababu usipotaka kuishi na mwanamke...basi unataka kuishi na MWANAUME MWENZIO...

Hakuna kuishi mwenyewe...anayeishi mwenyewe ni MAITI TU KABURINI...

MASHEYTWAANI WAKUBWA NINYI...
 
Kwa sisi Wakristo, ukisoma Kitabu cha Mwanzo 1:28 Biblia inasema, "Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi na kuitiisha;...".

Sikatai kwamba tunaweza tukaziliana bila ndoa, lakini huu ni uzinzi ambao ni dhambi machoni pa Mungu, na watoto ambao ni zao la uzinzi ni chukizo kwa Mungu. Soma 1Wakorintho 7:1-2, neno la Mungu linasema, "...heri mwanamume asimguse mwanamke. Lakini kwasababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe" (mume au mke anayezungumziwa hapa ni yule wa ndoa).

Ukisoma Mithali 18:22 neno linasema, "Apataye mke apata kitu chema, naye ajipatia kibali kwa Bwana".

Kibali ni nini? Kibali ni hali ya kukubalika katika jambo/kitu fulani. Kumbe ukioa unapata kibali kutoka kwa Mungu, hii ina maana hakuna jambo/kitu ambacho utatia mkono wako kisifanikiwe.

Kwanini vijana tunadanganyana kwamba tusioe?

Shida ni moja tu, mifarakano kwenye Taasisi ya ndoa ndiyo imesababisha kampeni hii huku wanaume tukiwatupia lawama wanawake kwamba wao ndiyo chanzo cha mifarakano hii, jambo ambalo si kweli.

Ukisoma 1Petro 3:7 neno linasema, "Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili, na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe". Acha kushindana na mwanamke, Biblia imeshasema kwamba mwanamke ni chombo kisicho na nguvu, usishindane naye.

Sasa ni wanaume wangapi wanakaa na wake zao kwa akili? Wangapi wanawapa wake zao heshima kama neno linavyotufundisha? Wangapi hawashindani nao? Interesting part ya andiko hilo hapo juu ni kwamba ukilitii au ukilitimiza basi KUOMBA KWAKO HAKUTAZUILIWA, yani hakuna kitu utaomba kwa Mungu kisitimie, hapa najifunza kwamba wake zetu wanabeba mafanikio yetu endapo tukiwaheshimu na kuishi nao kwa akili.

Aidha, ukisoma 1Petro 3:1, wanawake wanaaswa KUTUTII WAUME ZAO. Sasa ni wanawake wangapi wanawatii waume zao? Lakini pia ukisoma Mithali 14:1 Biblia inasema "Mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake, bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe". Je, ni wanawake wangapi wenye hekima za kujenga nyumba zao kwa kutofuata ushauri mbaya wanaoshauriwa na marafiki zao ambao pengine wao hawajaolewa?

Hapa najifunza kwamba kila upande (ME na KE) unapaswa kuishi kwenye misingi yake ili Taasisi ya ndoa ilete tija iliyokusudiwa. Shida haiko kwa wanaume au wanawake tu; ingawa kuna upande unaweza ukawa una matatizo zaidi.

Niwe mkweli tu, upande wenye matatizo zaidi ni upande wetu wa ME. Mwanamke ukimpenda, ukimthamini, ukimtunza kwa kadiri ya kipato chako, ukimheshimu, NAKUHAKIKISHIA kwamba mwanamke huyu hawezi kukukosea heshima. Ukiona mwanamke amekengeuka ujue kuna shida mahali, na kwa kawaida mwanamke huwa anapenda mara moja tu, akichoka amechoka, huwa harudi nyuma.

Ni rai yangu kwa wanaume wenzangu kwamba tusiogope kuoa. Na unapomtafuta mwenza nakusihi usitumie macho na hekima ya kibinadamu bali umtangulize Mungu mbele. Usioe makalio, sura n.k. Sura siyo roho; kwamba akiwa na sura nzuri basi ana roho nzuri.

Mimi sijaoa ila I am on the way. Niko single but seriously searching. Mungu atusaidie vijana wote wenye dhamira ya dhati ya kuoa. Muwe na week end njema.
WAKRISTO ZINAA KWAO SIO DHAMBI KUBWA...
 
Back
Top Bottom