Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
Mkuu hakuna unachoongelea kwa sababu nina uzoefu wa kumkana mwanamke nilie ishi nae mika mi4 ila sina ndoa nae , nikamkana mchana kweupe hakuna sheria iliyonibana , ingekua hyo sheria ina nguvu hakuna mwanamke angekushawishi mfunge ndoa ya cheti.
Kadanganye wengine sio mm. Mimi kwa siku napokea issues zaidi ya 5 za ndoa hio hadithi za alfuholela holela haibambi.
 
Kadanganye wengine sio mm. Mimi kwa siku napokea issues zaidi ya 5 za ndoa hio hadithi za alfuholela holela haibambi.
Kuwa dr sio kwamba unawza kujua hali ya kansa zaidi ya mgonjwa wa kansa , mimi ni mhanga wa hyo sheria, sheria ya mdomo isyo na mashiko na udhibitisho kimaandishi , na nikashinda , ata kama wewe ni jaji mkuu nilishinda na sitafunga ndoa[emoji3][emoji3] ingekua hiyo sheria ina mashiko mkuu hakimu ndoa ya cheti na mashahidi isingekua na maana mkuu hakimu.
 
Kuwa dr sio kwamba unawza kujua hali ya kansa zaidi ya mgonjwa wa kansa , mimi ni mhanga wa hyo sheria, sheria ya mdomo isyo na mashiko na udhibitisho kimaandishi , na nikashinda , ata kama wewe ni jaji mkuu nilishinda na sitafunga ndoa[emoji3][emoji3] ingekua hiyo sheria ina mashiko mkuu hakimu ndoa ya cheti na mashahidi isingekua na maana mkuu hakimu.
Kushinda kesi haimaanishi uliemshinda Hana haki kisheria.

Kuhusu huo mfano wa kansa pia sio kweli labda mgonjwa atachomzidi daktari ni kujua maumivu tu ya ugomjwa. Lakini sio dawa Wala athari na vyanzo vya ugonjwa.
 
Kushinda kesi haimaanishi uliemshinda Hana haki kisheria.

Kuhusu huo mfano wa kansa pia sio kweli labda mgonjwa atachomzidi daktari ni kujua maumivu tu ya ugomjwa. Lakini sio dawa Wala athari na vyanzo vya ugonjwa.
Mgongwa wa knsa na dr wa kansa yupi anauelewa mkubwa kuhusu Dalili ya kansa ?
 
Kushinda kesi haimaanishi uliemshinda Hana haki kisheria.

Kuhusu huo mfano wa kansa pia sio kweli labda mgonjwa atachomzidi daktari ni kujua maumivu tu ya ugomjwa. Lakini sio dawa Wala athari na vyanzo vya ugonjwa.
Mkuu hakimu mwanamke akitaka kukutapeli kisheria yule uliefunga nae ndoa na yule ulieishi nae miezi mitatu akafanyika mke kisheraia yupi anayo nafasi zaidi yakukupiga za uso?
 
Mgongwa wa knsa na dr wa kansa yupi anauelewa mkubwa kuhusu Dalili ya kansa ?
Daah MB zangu[emoji34].

Inatokea mgonjwa kuhisi dalili za ugonjwa na asijue ugonjwa Gani ?

Dr. atakupa muongozo kuanzia dalili,chanzo, kusambaa na matokeo pamoja na tiba ya ugonjwa.
 
Mkuu hakimu mwanamke akitaka kukutapeli kisheria yule uliefunga nae ndoa na yule ulieishi nae miezi mitatu akafanyika mke kisheraia yupi anayo nafasi zaidi yakukupiga za uso?
Wote wanakupiga tofauti hapo ni silaha tu .
Huyu ulikosea kumuoa atakupiga na silaha uliyompa na yule ulieishi nae tu atakupiga kwa silaha mbili moja uliyompa na nyingine aliyopewa na Sheria .
 
Daah MB zangu[emoji34].

Inatokea mgonjwa kuhisi dalili za ugonjwa na asijue ugonjwa Gani ?

Dr. atakupa muongozo kuanzia dalili,chanzo, kusambaa na matokeo pamoja na tiba ya ugonjwa.
Dr amezikariri tu kichwan hana experience nazo , kuna tofauti kati ya kujua marekani kwa kusimuliwa na kwenda marekani
 
Wote wanakupiga tofauti hapo ni silaha tu .
Huyu ulikosea kumuoa atakupiga na silaha uliyompa na yule ulieishi nae tu atakupiga kwa silaha mbili moja uliyompa na nyingine aliyopewa na Sheria .
Sasa basi wakataa ndoa tunakataa hyo silaha anayopewa na sheria , ili litakapo tokea la kutokea niwe mshindi kama mwanaume na nilishafanya hvyo kama mgonjwa wa kansa mbele ya madactari wa kansa.
 
Mimi hata maisha yangu yawe magumu vipi lazima nitaoa tu.Ubachela sio kitu kizuri kbsa.
 
Kwani ww ulitarajia nini kwa mkeo akupe mpaka ukamuoa ?

NB: Kuishi pamoja na mwanamke kinyumba kwa miezi sita tu hapo itahesabiwa mmeoana Tyr kisheria na ana haki zote za mke. Otherwise aishi kwao .


Pia ukimzalisha Binti wa MTU Tyr ni mzazi mwenzio na utamtunza mtoto wako hata kama Baba wengine wanamla mama wa mtoto wako. (Sad to your Children)
Nilitarajia nini sio swali ni utoto

Lakini Sheria hiyo hiyo itamkataa huko mbeleni..

Nimesoma comments nahisi nabishana na mtoto wa 24 years or less..

Sijaona point hata moja nilioona upo busy kutetea Ndoa ambayo pengine hapo ulipo hata kuishi na mwanamke bado sana
 
Dr amezikariri tu kichwan hana experience nazo , kuna tofauti kati ya kujua marekani kwa kusimuliwa na kwenda marekani
Dr. ana watu wengi wanaomfikia wakiwa na kesi tofauti tofauti kwaio uzoefu anao. Pili ili uwe Doctor kamili lazima ufanye vitendo rasmi vya kurasimisha udoctor wako.

Itategemea na lengo. Mfano mtu anaekwenda marekani kusoma Kisha akafeli, na mtu alieisoma marekani kwa lengo la kupata kazi kwenye ubalozi wao na akafanikiwa. Yupi atakuwa amefikia lengo juu ya marekani kwa alivyokusudia.
 
Mkuu ukiwa peke yako inaweza kuwa shida ndio ila ukiwa na ndoa inaweza kuwa ni kifo chako kabsa.
Kweli kabisa, mfano mimi ningekuwa bado nipo kwenye ile ndoa kuna jambo moja lingekuwa limetokea kati ya mambo mawili

1. Ningekuwa nimeshakufa

au

2. Ningekuwa gerezani sa hivi
 
Sasa basi wakataa ndoa tunakataa hyo silaha anayopewa na sheria , ili litakapo tokea la kutokea niwe mshindi kama mwanaume na nilishafanya hvyo kama mgonjwa wa kansa mbele ya madactari wa kansa.
Ndo nimekwambia kama uliishi na huyo mwanamke kwa miezi sita kiunyumba hapo atakuwa amedhurumiwa tu hakuna kipya. Otherwise useme mlikuwa hamuishi pamoja.
 
Back
Top Bottom