Mtembezi Kichomi
JF-Expert Member
- Feb 24, 2022
- 696
- 993
Kadanganye wengine sio mm. Mimi kwa siku napokea issues zaidi ya 5 za ndoa hio hadithi za alfuholela holela haibambi.Mkuu hakuna unachoongelea kwa sababu nina uzoefu wa kumkana mwanamke nilie ishi nae mika mi4 ila sina ndoa nae , nikamkana mchana kweupe hakuna sheria iliyonibana , ingekua hyo sheria ina nguvu hakuna mwanamke angekushawishi mfunge ndoa ya cheti.