Diwani
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,680
- 2,779
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui husemacho ndoa sio Saini Yako na mwenza.Ndoa lazima iwe kwa mujibu wa sheria na upate cheti chenye saini yako na mashaidi wawili kama mkataba wenu ,hicho ndicho tunakataa na kukipinga kama watu wa mfumo dume .
Funga ndoa ya cheti then ishi nahuyo mwanamke sku mbili mwache ,then nenda kaishi na mwanamke miaka 40 bila cheti ,then yule ulieishi nae sku mbil mwenye cheti akupeleke mahakamani ndio utajua una wake wawili au mmoja.Hujui husemacho ndoa sio Saini Yako na mwenza.
Nimekwambia hata ukiishi na mwanamke kinyumba kwa miezi sita tu hapo itahesabiwa mmeoana Tyr kisheria na ana haki zote za mke.
Ina maana jamii yote inayokuzunguka ndoa ni Mbovu.? Ndani ya ukoo wenu ndoa zote ni Mbovu .?Kwa mifano watu wanayoiona mitaani.... Hata bila ya kampeni vijana Wana mashaka na kuoa.
Hata usipofunga ndoa ukiishi na mwanamke kinyumba kwa miezi sita atakuwa na haki kama hio Tyr , ko sijaona unachokikwepa.Funga ndoa ya cheti then ishi nahuyo mwanamke sku mbili mwache ,then nenda kaishi na mwanamke miaka 40 bila cheti ,then yule ulieishi nae sku mbil mwenye cheti akupeleke mahakamani ndio utajua una wake wawili au mmoja.
Huyo ulieishi nae siku mbili mtakuwa mmejenga Uchumi upi wa kugawana ?Funga ndoa ya cheti then ishi nahuyo mwanamke sku mbili mwache ,then nenda kaishi na mwanamke miaka 40 bila cheti ,then yule ulieishi nae sku mbil mwenye cheti akupeleke mahakamani ndio utajua una wake wawili au mmoja.
Mkuu hakuna unachoongelea kwa sababu nina uzoefu wa kumkana mwanamke nilie ishi nae mika mi4 ila sina ndoa nae , nikamkana mchana kweupe hakuna sheria iliyonibana , ingekua hyo sheria ina nguvu hakuna mwanamke angekushawishi mfunge ndoa ya cheti.Hata usipofunga ndoa ukiishi na mwanamke kinyumba kwa miezi sita atakuwa na haki kama hio Tyr , ko sijaona unachokikwepa.
Hahaha, anipe yeye mali zake tuone, tukiachana akikaa na watoto siwahudumii kwani? Na akiolewa je na mali zangu ziwe za mme wake mpya?! 😂😂Uliezaa nae anakaa wapi ? Kwake, kwako ama kwao ?
Kwani ww ukitoa Mali zote ukampa mwanamke aliekuzalia na anakaa na watoto wako kitakuuma nn ?
Hahaha mkuu unachekesha mno nina uzoefu na ninachoongea.Huyo ulieishi nae siku mbili mtakuwa mmejenga Uchumi upi wa kugawana ?
NB. Itahesabiwa Uchumi mliopata mkiwa pamoja au muda mliokuwa pamoja, hizo nyingine ni story za vijiweni.
Nimeoa huu mwaka wa 7 na nina watoto wa4, kila siku nasumbuliwa nifunge nae ndoa, ila nimegomaa, kataa ndoaTofauti ya kuoa na ndoa ni nini ?
Wazee wa upinde wengi wapo kwnye ndoa ili kujificha mkuuNi kweli ndoa ni changamoto ila hii kampeni inaweza kuwa ina mkono wa wazee wa upinde
Kwaio kwa akili zako mkiachana Hana haki ?Nimeoa huu mwaka wa 7 na nina watoto wa4, kila siku nasumbuliwa nifunge nae ndoa, ila nimegomaa, kataa ndoa
Sasa uzoefu huo vipi wakati mm ndio msimamizi mmoja wapo wa hizo Sheria.Hahaha mkuu unachekesha mno nina uzoefu na ninachoongea.
Anayo haki kama binadamu ila hana haki kma mwna ndoa labda busara itumike tu.Kwaio kwa akili zako mkiachana Hana haki ?
Kama ni msimamizi haijalishi ila mimi hyo kesi niliichomoa mkuu , ila ningekua nina ndoa ungekuta na ishi kwa mashaka mpka leoSasa uzoefu huo vipi wakati mm ndio msimamizi mmoja wapo wa hizo Sheria.