Hiyo 50/50 yao waendelee nayo ila sisi HATUOI.Sheria msumeno.
Ww hata ukitaka kujiua Tyr ni kosa. Na mwili ni wako mwenyewe.
Au ukitishia kuua na haujaua Tyr ni kosa kisheria.
Hio ardhi unayodai unaimiliki ni Mali ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania . Ndo maana mnalipia Kodi.
Mtoto aliefikisha umri wa kwenda shule ni Mali ya Jamhuri ya muungano. Ndo maana usimpompeleka kwa Sasa utachukuriwa hatua tu .
Cha ajabu mnakaza fuvu na 50/50 ya mwanamke, kama sio wivu kwa Wanawake nini,?
Angalia hii jinga nyingine embu soma sheria ya ndoa achana na maneno ya mtaani nenda mahakamni uone kama kuna sheria ya kijinga kama iyoo unaisi watunga sheria ni wajinga kama ww et miezi 6 alafu sheria haifungishi ndoa inaangalia uhalali na vipi unaweza mkompaset uliyeishi naye na siyo kupewa haki kama mwanandoaKwani ww ulitarajia nini kwa mkeo akupe mpaka ukamuoa ?
NB: Kuishi pamoja na mwanamke kinyumba kwa miezi sita tu hapo itahesabiwa mmeoana Tyr kisheria na ana haki zote za mke. Otherwise aishi kwao .
Pia ukimzalisha Binti wa MTU Tyr ni mzazi mwenzio na utamtunza mtoto wako hata kama Baba wengine wanamla mama wa mtoto wako. (Sad to your Children)
Huo ushaidi upo kwa sababu linaweza kutokea la kutokea , kataa huo ushaidi wa ndoa kwa sababu hauna haki kwa wewe mwanaume na hauna faida yoyote.Ndio nimekwambia huyo unaeishi NAE Tyr ni mkeo.
Hicho Cheti ni sehemu tu ya ushahidi wa ndoa .
Huoi ila utaishi na mwanamke? Ama huoi na hauishi nyumba moja na mwanamke? ama huoi na hauhitaji mwanamke kwa chochote?Hiyo 50/50 yao waendelee nayo ila sisi HATUOI.
#KATAANDOA
Kampeni ni kataa ndoa mbona unawawekea watu maneno mdomoni?Huoi ila utaishi na mwanamke? Ama huoi na hauishi nyumba moja na mwanamke? ama huoi na hauhitaji mwanamke kwa chochote?
Kasome nd urudi tubishane.Angalia hii jinga nyingine embu soma sheria ya ndoa achana na maneno ya mtaani nenda mahakamni uone kama kuna sheria ya kijinga kama iyoo unaisi watunga sheria ni wajinga kama ww et miezi 6 alafu sheria haifungishi ndoa inaangalia uhalali na vipi unaweza mkompaset uliyeishi naye na siyo kupewa haki kama mwanandoa
Kukataa ndoa nd kufanya nini? Mbona hueleweki . Unachokikataa ndicho ulichokifanya Sasa ndo niniKampeni ni kataa ndoa mbona unawawekea watu maneno mdomoni?
Kama nimekifanya mbona hyu binti usku kucha ananiambia mume wangu tufunge ndoa na mimi najibu sahau hicho kitu ,hiko anachoomba ni nini au amechanganyikiwa?Kukataa ndoa nd kufanya nini? Mbona hueleweki . Unachokikataa ndicho ulichokifanya Sasa ndo nini
Kwaio kwa akili zako huyo Binti anataka akuibie Mali zako ?Kama nimekifanya mbona hyu binti usku kucha ananiambia mume wangu tufunge ndoa na mimi najibu sahau hicho kitu ,hiko anachoomba ni nini au amechanganyikiwa?
Huyo Binti hataki ndoa maana ndoa kishaipata anataka sherehe (harusi) . Over.Kama nimekifanya mbona hyu binti usku kucha ananiambia mume wangu tufunge ndoa na mimi najibu sahau hicho kitu ,hiko anachoomba ni nini au amechanganyikiwa?
Hahaha mkuu unakaza fuvu tu ww kama mwanaume umeshaelewa hoja ni ipi.Huyo Binti hataki ndoa maana ndoa kishaipata anataka sherehe (harusi) . Over.
Mkuu mengi asingefanya hayo unayonishauri yule kahaba angesumbua familia yake?Kwaio kwa akili zako huyo Binti anataka akuibie Mali zako ?
Labda tu nikuulize unakula chakula anachopika huyo mwanamke? Kama ndio unazani anashindwa kukumudu ikiwa zamira yake ni hio ?
Huyo anataka heshima yake muheshimishe kwa kumtambulisha rasmi kuwa ni mkeo halali. Pia huenda anatamani tu kufanyiwa sherehe yake ya pili (harusi).
Mbona hujiamini ww huo ndo udhaifu ninaozungumzia.
Hujajibu kitu hapo. Nimekwambia mkeo anataka harusi (sherehe ya ndoa) sio ndoa maana ndoa kishaipata. Sasa ww tatizo lako lipo wapi kutojiamini ?Hahaha mkuu unakaza fuvu tu ww kama mwanaume umeshaelewa hoja ni ipi.
Si unaona tatizo Sasa kumbe Demu wako au mzazi mwenzio ni Kahaba. Hilo ndio tatizo na kwa kweli ni tatizo kubwa sana. Na yy ndo sababu ya makasiriko yote haya sio ?Mkuu mengi asingefanya hayo unayonishauri yule kahaba angesumbua familia yake?
Ila uko hapa unashinikiza watu wakatae ndoa wakati wewe na watoto unao. Akili kumkichwaHakuna watu nawapenda kama mabinti zangu watatu mama yao na mama yangu , hyo haibadilishi kwamba kwa sasa ndoa ni utapeli kwa mwanaume.
Kwani ndoa inafaida gani kwa mwanaume nipe faida nitashinikiza watu wafunge ndoaIla uko hapa unashinikiza watu wakatae ndoa wakati wewe na watoto unao. Akili kumkichwa
Hao watoto wako uliwaokota? Wewe unafamilia. Unataka wenzako wasiwe na familia ili?Kwani ndoa inafaida gani kwa mwanaume nipe faida nitashinikiza watu wafunge ndoa
Nilijua una hoja kumbe na ww hauna hoja , mkuu kataa ndoa za sasa, ni utapeli ila kma umeshafunga ww ni kamari umecheza pia mda wowote unaweza kuwa timu kataa ndoa.Si unaona tatizo Sasa kumbe Demu wako au mzazi mwenzio ni Kahaba. Hilo ndio tatizo na kwa kweli ni tatizo kubwa sana. Na yy ndo sababu ya makasiriko yote haya sio ?