kiongozi kwaiyo utafiti wako unaotuoatia apa kumbe ni kwa mwanamke mmoja, kelele zote kumbe ni ako kadem kamoja mmeokotana kwenye vigodoro alaf unamchumbia, dem anayejitambua hawezi kuwa ivyo. jaribu mwingine mkuu achana na mawazo ayo
Mkuu ni wapi nimesema nimefanya utafiti?

Hapa nimezungumzia majanga niliyokutana nayo kwenye ndoa

Haikuishia hapo baadae nikataka kuoa tena nikiwa kwenye uchumba mtu akinigeuza sponsor nikapiga chini faster

Maana alishaanza kuniletea tabia za kibinafsi akaanza kuniletea nduvu zake niwasaidie pesa

Nikaona hili jini nyonyaji nimapiga chini

Nikasema sasa ni mwendo wa kata funua kuoa noooo

Ndo nikakutana na binto mmoja ambaye mpaka sasa ananishawishi kumuoa lakini bado nasita
 
Sioi ila wanawake nnao na wananiburudisha vizuri tu. Naweza kuishi na mwanamke ila siwezi kufunga ndoa.
Ww ndio mkataa Ndoa Sasa.

Sio Hawa wengine waliooa na hawajui kama wameoa . Ww tukutane kwenye dibate nyingine.

Rekebisha tu hapo kuishi pamoja na mwanamke. Walale Kisha uwaache hukohuko. Na kama kuishi NAE usizidi muda wao wa kwenye Sheria zao.

See you.
 
Umeandika vizuri
Wanawake huu mradi wa Ndoa ulikuwa unawapa faida Sana na kurudisha maendeleo ya Mwanaume nyuma

Mfano mtu anachezewa huko kachoka then dakika ya Tisini anavizia ili afunge gori la kisigino Apate huduma zote za msingi kulala kulala kuvaa nk

Mimi nakataa ndoa labda awe bikra naweza mfikiria lakini sio hawa ngumbaru.
 
Kataa ndoa ni mateso
Ili usiteseke kwenye mapenzi, ni kwenda kudungwa Sindano, ya kuwa hanisi, hilo ndiyo suluhisho, ila kama bado inafanya kazi, Utahitaji mwanamke, na kato hutoweza kukwepa mateso yake.

Nilichogundua wengi hamjui mnachokampenia, Changamoto za mahusiano, hazijali mmeona au bado, bila shaka tumeshihudia matukio mengi ya kikatili yakitekelezwa, na watu ambao hawajaoana ni Wapenzi tu.

Hivyo kupinga ndoa huku bado unafanya, mapenzi, ni sawa na mtu, anaekataa kula nyama ila mchuzi wa nyama anakula.
Kupinga ndoa kwa ukweli, ni kuwa hanisi tu.
 
Ndoa ni kwa Mwanamke bikra tu au aliyefiwa na mme wake kwa bahati mbaya na sio kutushauri kuoa Malaya ngumbaru


No Bikra no ndoa
 
Ndoa hata mataifa yaulaya zimewashinda,hizi kampeni za kataa ndoa ukienda kwenye club house mbalimbali utazikuta sisi tu ndo tulibaki nyuma.
 
kataa NDOA
wake za watu tunawagonga Sana huku kitaa
NDOA zilikua zamani sio Sasa
Yani kama unashiriki mapenzi, hujakwepa ndoa, bado changamoto za mapenzi, utaziishi tu, mfano hao wake za watu unaowaginga, wanagarama zake, na ni matumaini yangu, kuna siku utalipa garama zake juu ya hao, wake za watu, Ogopa kupakwa Mafuta.
 
Utamu wa ndoa ni upi zaid ,tofauti na wasio na ndoa wana wanawake na mbususu wanaoga nazo na watoto wanao?
Kama unayaishi yote, ambayo wanandoa wanayaishi, basi kampeni hii ni ya kipumbavu, Ukishiriki na mwanamke huwezi kukwepa garama zake, utaziishi raha zake, utaziishi changamoto zake.

Mimi naona jibu ni kukwepa kushiriki mapenzi tu, kwa kujiondoa nguvu za kiume tu, ila kama unashiriki mapenzi hii kampeni ni Upumbavu hakuna unachokataa.

Unaishi na mpenzi, miaka mitatu, kubadilisha mwanamke kila unapohitaji, lazima huwezi kukwepa garama zake, na kama mapenzi tu ndiyo jibu, mbona mnagombana hata kuchukua hatua ya kuuana.
 
Kataa ndoa ,ndoa ni utapeli
 
Wote wanaokubali na kukataa ndoa kama hawana sababu za msingi , wakamatwe na kupelekwa kwenye uwanja wa vita UKRAINE.
Wana lengo, kuia Tanzania, kwa kuto zaliwa watoto wapya, na ikitokea wazaa, basi huzaliwa watoto, ambao wanakosa malezi bora na matunzo, Kampeni hii ikikubilika Taifa la kesho litakuwa na Watanzania wengi, waliokosa shule maadili.
 
Kataa ndoa ,ndoa ni utapeli
Hoja hujibiwa kwa hoja, hivyo umeshindwa kuitetea hoja, ndoa ni shahada tu, ila maisha ni yale yale, wapo waliona ila wanaishi mbali na wenza wao, wapo ambao hawajaoana na wanaishi pamoja.

Hivyo kama hujakubali kuwa hanisi, hii hoja yenu ni ya kupuuzi maana mnayapinga mnayoyaishi.
 
Mi ndo kwanza nimetoka kuoa mke wa pili but from Zambia.
"Mwanaume rijali ni ngumu kuishi na mwanamke mmoja,na kama ana ana uwezo aoe zaidi" dini inaniruhusu kufanya hivyo.
 
Acha kuruka ruka, sijasema nimekufuma nae, nimetoa mlinganisho kwa mimi kumfania wangu, na wewe kumfumania mkeo.

1.) Mimi wangu naweza kumsusa hapo hapo maana sina mkataba nae, na nikavuta mwingine mpya siku hiyo hiyo, wewe unaweza ilihali unamkataba nae uliosaini mbele ya mashahidi na cheti anacho?

2.) Uliposema mimi nitamlipa fidia kwa kumuacha, namlipaje bila ushahidi wa ndoa? Maana hakuna cheti, na hata ukisema nimeishi nae miezi 6 bado itabidi uthibitishe unyumba kwa kipindi hicho, sasa nikisema tulikuwa na ugomvi kwa miezi mitano kati ya hiyo 6 ila tukaamua kuficha ugomvi ili tulee watoto utabisha?!

Jibu hoja hizo, acha kuruka ruka kama kenge anaeliwa kiboga...
 
Naomba tutumie lugha nzuri jamani, kama ni hoja zitolewe kwa lugha nzuri pasipo kukwazana

NYie mliooa na ambao mpo kwenye ndoa mnapaswa kuzungumza mazuri yanayopatikana kwenye ndoa

Pia mnapaswa kutetea hoja yenu ya kutaka nyuzi za kampeni, "KATAA NDOA" Zipigwe BAN

Kisha na sisi tutaanza kufunguka mabaya yaliyopo kwenye ndoa na misuko suko inayotokea huko
 
Mbona kila mara nakujibu hili swali wewe kiazi.

Nimekwambia unaekaa NAE kwa huo muda Tyr ni mkeo na hata wewe umethibitisha hivyo ndio cheo ulichompa hicho Cheti ni ziada tu. Bado hujakataa Ndoa ww.

Ukikuwa utaacha utoto.

Maana kila mara nakwambia .

Ndoa ni nomino.
Kuoa ni kitenzi.

Kua kua kua, huenda ukaacha utoto.

Kwa level Yako at-least ungekuja na slogan ya #KATAA SHERIA MBOVU ZA NDOA SIO KUOA WALA NDOA.


Kua .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…